Tunatakiwa kujua kilamtu kina muda wake ndoa,kazi ,watoto pia hata mafanikio pia Iko hivoDunia ina mengi na vita kubwa ipo kwenu KE. Mna vita kubwa Ukiachana na haya mashindano ya sijui flani kaolewa flani bila bila.... Kuna vita nyingi.
Maza Huwa ananiambia mengi sana.
Hata huku hakuna. Mwanamke mwenye sifa nzuri na uzuri wa sura ataolewa hata akiwa kwenye foleni ya kujiandikisha (registration) pale chuoSema kuna exception.
Wengine ni Masomo.
Kabisa mkuuWaoaji kimya tunacheki mtanange kumbe napaswa kuoa under 25 ili nipate mzuri
YesTunatakiwa kujua kilamtu kina muda wake ndoa,kazi ,watoto pia hata mafanikio pia Iko hivo
Jifumbie tu mdomo baki kuwa shuhuda mana maneno hayarudi ukiyatoa.Tunatakiwa kujua kilamtu kina muda wake ndoa,kazi ,watoto pia hata mafanikio pia Iko hivo
Hata Nazi mbovu , nyanya huweza kuuzwa na ikabakia nzuriUmeona eeh! Waswahili wana msemo usemao "nazi mbovu ndiyo hubakia mezani".
Kumbe umeolewa?Kabisa mkuu
wewe malizia.... wamebaki madungaembe wanahangaikaWanawake wazuri wazuri washaolewa wamebaki ...................wanaangaika
Sio Mimi mtoa mada ndo kawasema
Ila kuna ka ukweli hapa. Haiwezekana binti mrembo na tabia nzuri akakosa mwanaume wakumuoa. Huo ndio ukweliIssue siyo kushukuru Mungu. Mungu hapa huwa anapewa lawama za bure.
Wote ambao hawapati wachumba mpka 25 Wana tabia mbovu ama Wana sura mbovu
Wanataka kuolewa na waliyempenda tu......π€π€...Wapo wazuri wenye tabia njema ambao wana ujinga wa kupoteza muda.
Anamsubiri boyfriend wake aje kumuoa
Eti kumweka mwanamke mzuri ni kujitafutia ugonjwa wa moyo nyie mkisikiza maneno ya mtumishi mnaamini tu au maneno ya watukwahiyo wenye sura za baba zetu tusali sana na kufunga
Ila tambua kumuweka mwanamke mzur ndan nikujitafutia ugonjwa wa moyo dogo
tuombeane uzima nipo nimekaa pale
Kibaya chajitembeza kizuri chajiuza umekosea huu msemo π¬Kibaya chajiuza na kizuri chajitembeza
Unatafuta ugomvi na wanawake wa Jf hapa wote humu hawajaolewawewe malizia.... wamebaki madungaembe wanahangaika
Ngoja nikatafute hii nyimbo dah kitambo sana
Ngoja nijipange vizuri kumbe uko single.No natafuta mume mkuu? Unataka ujitolee?
Nawewe unanishauri hivyo?Kabisa mkuu