Hakuna msichana mzuri wa sura na tabia anafikisha miaka 25 hajaolewa

Hakuna msichana mzuri wa sura na tabia anafikisha miaka 25 hajaolewa

Huu Ni ukweli mchungu kwa shemale over 25+...
Dada zangu,shangazi zangu na binamu walikuwa wakiolewa tu wakimaliza primary kipindi iko kana wahuni walkua wanasubiri😄😄

Ila familia jiranii Sasa😢😢😢😭
 
raraa reree 😬😬😬😬😬
Punguz speed kidogo
 

Attachments

  • Screenshot_20230324-223210.png
    Screenshot_20230324-223210.png
    47 KB · Views: 7
  • Screenshot_20230324-223200.png
    Screenshot_20230324-223200.png
    46.6 KB · Views: 7
  • Screenshot_20230324-223153.png
    Screenshot_20230324-223153.png
    48 KB · Views: 5
  • Screenshot_20230324-223143.png
    Screenshot_20230324-223143.png
    46.8 KB · Views: 6
Kwa jamii za kiafrica, nakuunga mkono mia mia, ukiona mdada above 30 hajaolewa ujue anachangamoto hasa tabia, ila kwa wenzetu wa magharibi wao ndoa si kipaumbele regardless ya uzuri wa shepu, sura ama tabia.
Vipi kuhusu 'bahati' ? Yaani kutokuwa na bahati ya kuolewa. Hii haipo?
 
TATIZO siku izi hamna SUBMISSIVE WOMAN ANAWEZA AKAWA NA ELA NA WEWE PIA UNA ELA ,ILA MWISHO WA SIKU WHAT IS SHE BRINGING TO THE TABLE!!!?IS SHE CARING FOR YOU,IS SHE COOKING FOOD FOR YOU ,IS SHE RESPONSIBLE FOR MAKING SURE EVERYTHING IS GOING WELL IN THE HOUSE EVEN IF SHE IS BUSY AT LEAST ONCE A WEEK IF YOU KNOW WHAT I MEAN ....SIKU IZI WANAWAKE WA IVYO NI WACHACHE SANA MWANAMKE NI SUPERVISOR WA FAMILIA ILA MWANAUME NDIO KIONGOZI SASA SUPERVISOR AKIZINGUA INAKUWA SHIDA
 
Msichana aliyeumbika na kubarikiwa tabia nzuri huwa anagombewa na wachumba tangu akiwa na miaka 15.

Hivyo haiwezekani popote pale duniani msichana mrembo na mwenye tabia njema kufika miaka 25 hajaolewa.

Nataka kusema nn? Wadada wote wenye miaka 25+ na hawajaolewa, wana mapungufu makubwa Sana ya kimaumbile ama kitabia.

Nimemaliza!
Mhh 👀👀
 
Msichana aliyeumbika na kubarikiwa tabia nzuri huwa anagombewa na wachumba tangu akiwa na miaka 15.

Hivyo haiwezekani popote pale duniani msichana mrembo na mwenye tabia njema kufika miaka 25 hajaolewa.

Nataka kusema nn? Wadada wote wenye miaka 25+ na hawajaolewa, wana mapungufu makubwa Sana ya kimaumbile ama kitabia.

Nimemaliza!
Hey give me a break
 
Mi sijamsema mtu I'm talking from experience

Madam hao wanawake above 25 sio wa kuweka ndani ni wa kusuuzia rungu na kusepa

Na hii kitu naona kwa watu wanaonizunguka sanasana

Hivyo si sengenyi huo ndo ukweli ulio mkuu


Na ubaya najua unauma sana ila ndo hivyo we kubali tu


Kama we ni mwanamke na huna sura nzuri au shepu nzuri basi afadhali hata uwe mtu wa Mungu kwelikweli

Mungu ndo anaeweza kukuokoa kwenye hili janga la kutokuolewa acha niishie hapo 😬😬😬
Ushauri murua✊🔥
Mungu ndo kimbilio
 
TATIZO siku izi hamna SUBMISSIVE WOMAN ANAWEZA AKAWA NA ELA NA WEWE PIA UNA ELA ,ILA MWISHO WA SIKU WHAT IS SHE BRINGING TO THE TABLE!!!?IS SHE CARING FOR YOU,IS SHE COOKING FOOD FOR YOU ,IS SHE RESPONSIBLE FOR MAKING SURE EVERYTHING IS GOING WELL IN THE HOUSE EVEN IF SHE IS BUSY AT LEAST ONCE A WEEK IF YOU KNOW WHAT I MEAN ....SIKU IZI WANAWAKE WA IVYO NI WACHACHE SANA MWANAMKE NI SUPERVISOR WA FAMILIA ILA MWANAUME NDIO KIONGOZI SASA SUPERVISOR AKIZINGUA INAKUWA SHIDA
Hii ni kweli
Na haya yote yamemkuta ndugu yangu acha awe singo maza ili akomae vizuri kisa kimshahara chake cha 6m ndo ajikute kidume kwenye nyumba ya mwanaume bladfakeni tu 😬😬😬

Nasemaje watapata tabu sana
 
Kuna mwamba hapo juu kakupinga kwa uchungu sana ...bila shaka atakua na madada wengi sana wanazagaa zagaa tu nyumbambani au ana mabinti debe Saba na visado vitatu wanaranda randa ru nyumbani [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] pole mkuu
😂😂😂😂😂😂😂😂😂
 
Yap TATIZO wanawake wengi wanahisi ishu ni pesa tu kwenye mapenzi kumbe Kuna wajibu wake kama mwanamke inabidi afanye sio Kila kitu msichana wa kazi mtu MWINGINE anakuacha tu yaan
Hii ni kweli
Na haya yote yamemkuta ndugu yangu acha awe singo maza ili akomae vizuri kisa kimshahara chake cha 6m ndo ajikute kidume kwenye nyumba ya mwanaume bladfakeni tu 😬😬😬

Nasemaje watapata tabu sana
 
Binti anafika kwenye maximam uzuri akiwa na 22 na katika age hiyo wajuba kibao wanammezea mate na yeye kwakuwa beki hazikabi anaacha mlango wazi wageni wanagonga sana ,sasa wageni wakigonga sana title yake inabadilika na anakuwa malaya then hakuna mwanamme anayeoa malaya hence wanaokuja watakuwa hit and run akija kustuka 30s hii no ndoa.
Pick ya uzuri wa binti huwa inafika kikomo umri gani mkuu King Kong III ? Ina onesha mwanamke akifika 30 bila ndoa, automatically chance ya kuolewa inapungua.
 
Back
Top Bottom