Hakuna mtu duniani amewahi kuwekewa mikono kichwani na wazazi wake wakamwombea jambo bila mafanikio.

Hakuna mtu duniani amewahi kuwekewa mikono kichwani na wazazi wake wakamwombea jambo bila mafanikio.

Mwamuzi wa Tanzania

JF-Expert Member
Joined
Apr 7, 2020
Posts
15,486
Reaction score
45,256
Hello!
Mimi ni mtumishi wa Mungu, I know God. Sio mtumishi wa kuenenda kwa hisia. Hata nikimwombea mtu jambo siishii tu kumwambia amini utaponywa au utatendewa. Nitamwombea mpaka nipate jibu kutoka kwa Mungu kuhusu situation yake.
Nimegundua jambo ambalo watu wengi wakilichukulia maanani watapunguza matatizo ndani ya familia zao kwa % nyingi.
Akija mzazi kuhitaji msaada wa maombi juu ya mwanae technically namwambia amlete mtoto wake then nampigisha magoti halafu namwambia mzazi amtamkie yale anataka yatokee kwa mtoto wake. Hapo mchezo umeisha.
Una kijana shuleni hafanyi vizuri?
Una binti ana karoho ya uesharati?
Una kijana mlevi?
Una kijana kamaliza chuo yupo tu nyumbani kila biashara inamshinda?
Mwambie apige magoti mwekee mkono mtamkie uzima na mafanikio.
Neema ambayo mzazi kaibeba kwaajili ya mtoto wake ni kubwa kuliko kuombewa na Mchungaji au Nabii .
Mzazi ana password za mafanikio ya mtoto wake bila kujalisha huyo mzazi ana mafanikio kiasi gani.
Mpigishe goti mtoto wako mwombee utaona maajabu.
 
Hello!
Mimi ni mtumishi wa Mungu, I know God. Sio mtumishi wa kuenenda kwa hisia. Hata nikimwombea mtu jambo siishii tu kumwambia amini utaponywa au utatendewa. Nitamwombea mpaka nipate jibu kutoka kwa Mungu kuhusu situation yake.
Nimegundua jambo ambalo watu wengi wakilichukulia maanani watapunguza matatizo ndani ya familia zao kwa % nyingi.
Akija mzazi kuhitaji msaada wa maombi juu ya mwanae technically namwambia amlete mtoto wake then nampigisha magoti halafu namwambia mzazi amtamkie yale anataka yatokee kwa mtoto wake. Hapo mchezo umeisha.
Una kijana shuleni hafanyi vizuri?
Una binti ana karoho ya uesharati?
Una kijana mlevi?
Una kijana kamaliza chuo yupo tu nyumbani kila biashara inamshinda?
Mwambie apige magoti mwekee mkono mtamkie uzima na mafanikio.
Neema ambayo mzazi kaibeba kwaajili ya mtoto wake ni kubwa kuliko kuombewa na Mchungaji au Nabii .
Mzazi ana password za mafanikio ya mtoto wake bila kujalisha huyo mzazi ana mafanikio kiasi gani.
Mpigishe goti mtoto wako mwombee utaona maajabu.
Miracle hizo.. mtandike chini mwanao muombee awe waziri. Nimekaa pale
 
MTU mwenye hiyo karama hawezi kujitangaza kwa style Kama yako. Amini kwamba.
 
Hello!
Mimi ni mtumishi wa Mungu, I know God. Sio mtumishi wa kuenenda kwa hisia. Hata nikimwombea mtu jambo siishii tu kumwambia amini utaponywa au utatendewa. Nitamwombea mpaka nipate jibu kutoka kwa Mungu kuhusu situation yake.
Nimegundua jambo ambalo watu wengi wakilichukulia maanani watapunguza matatizo ndani ya familia zao kwa % nyingi.
Akija mzazi kuhitaji msaada wa maombi juu ya mwanae technically namwambia amlete mtoto wake then nampigisha magoti halafu namwambia mzazi amtamkie yale anataka yatokee kwa mtoto wake. Hapo mchezo umeisha.
Una kijana shuleni hafanyi vizuri?
Una binti ana karoho ya uesharati?
Una kijana mlevi?
Una kijana kamaliza chuo yupo tu nyumbani kila biashara inamshinda?
Mwambie apige magoti mwekee mkono mtamkie uzima na mafanikio.
Neema ambayo mzazi kaibeba kwaajili ya mtoto wake ni kubwa kuliko kuombewa na Mchungaji au Nabii .
Mzazi ana password za mafanikio ya mtoto wake bila kujalisha huyo mzazi ana mafanikio kiasi gani.
Mpigishe goti mtoto wako mwombee utaona maajabu.
Barikiwa sana hili neno kubwa sana juu ya ustawi wa familia zetu.
 
Wazazi wengine ni walevi, wakwepa majukumu, wapo wanaotupa watoto bila kusahau wale wanaowatoa watoto kafara kwa minajiri ya kusaka mafanikio, JE, HAO PIA WANA BARAKA?
 
Wazazi wengine ni walevi, wakwepa majukumu, wapo wanaotupa watoto bila kusahau wale wanaowatoa watoto kafara kwa minajiri ya kusaka mafanikio, JE, HAO PIA WANA BARAKA?
Mzazi ni mzazi mambo mengine ni binafsi .
 
Hello!
Mimi ni mtumishi wa Mungu, I know God. Sio mtumishi wa kuenenda kwa hisia. Hata nikimwombea mtu jambo siishii tu kumwambia amini utaponywa au utatendewa. Nitamwombea mpaka nipate jibu kutoka kwa Mungu kuhusu situation yake.
Nimegundua jambo ambalo watu wengi wakilichukulia maanani watapunguza matatizo ndani ya familia zao kwa % nyingi.
Akija mzazi kuhitaji msaada wa maombi juu ya mwanae technically namwambia amlete mtoto wake then nampigisha magoti halafu namwambia mzazi amtamkie yale anataka yatokee kwa mtoto wake. Hapo mchezo umeisha.
Una kijana shuleni hafanyi vizuri?
Una binti ana karoho ya uesharati?
Una kijana mlevi?
Una kijana kamaliza chuo yupo tu nyumbani kila biashara inamshinda?
Mwambie apige magoti mwekee mkono mtamkie uzima na mafanikio.
Neema ambayo mzazi kaibeba kwaajili ya mtoto wake ni kubwa kuliko kuombewa na Mchungaji au Nabii .
Mzazi ana password za mafanikio ya mtoto wake bila kujalisha huyo mzazi ana mafanikio kiasi gani.
Mpigishe goti mtoto wako mwombee utaona maajabu.
Nakubaliana na wewe 100%
 
Wazazi wengine ni walevi, wakwepa majukumu, wapo wanaotupa watoto bila kusahau wale wanaowatoa watoto kafara kwa minajiri ya kusaka mafanikio, JE, HAO PIA WANA BARAKA?
Ndio, wanayo mamlaka (by natural law) kuombea watoto wao mambo mema na yakafanikiwa

Huoni watoto wengi wanaokataliwa/wasiokubalika kwa wazazi wao wanapambana sana wanatumia nguvu nyingi sana kufikia mafanikio?
 
Note; now days ukijisifia tu kidogo umeharibu, watu skuhizi wanapenda kuona ukiwabroken, stressed and with no direction.
 
Back
Top Bottom