Hakuna mtu duniani amewahi kuwekewa mikono kichwani na wazazi wake wakamwombea jambo bila mafanikio.

Hakuna mtu duniani amewahi kuwekewa mikono kichwani na wazazi wake wakamwombea jambo bila mafanikio.

Note; now days ukijisifia tu kidogo umeharibu, watu skuhizi wanapenda kuona ukiwabroken, stressed and with no direction.
😄 umekumbusha kitu niliwahi kusikia nikiwa binti kikakaa na mimi mpaka leo. Walisema, kila siku utasikia wanandoa wanalalamikia mapungufu ya ndoa kana kwamba walifanya makosa kuchagua au kuingia kwenye hiyo taasisi, husikii hata siku moja mtu akisema amesaidika au kufaidika vipi na ndoa. Mazuri hayasemwi, watu wanafurahia kweli kweli ndoa zao lakini nje aaah, ndio wa kwanza kulalamika jinsi walivyo jela. Hata hapa hapa jf tunaona
 
Hello!
Mimi ni mtumishi wa Mungu, I know God. Sio mtumishi wa kuenenda kwa hisia. Hata nikimwombea mtu jambo siishii tu kumwambia amini utaponywa au utatendewa. Nitamwombea mpaka nipate jibu kutoka kwa Mungu kuhusu situation yake.
Nimegundua jambo ambalo watu wengi wakilichukulia maanani watapunguza matatizo ndani ya familia zao kwa % nyingi.
Akija mzazi kuhitaji msaada wa maombi juu ya mwanae technically namwambia amlete mtoto wake then nampigisha magoti halafu namwambia mzazi amtamkie yale anataka yatokee kwa mtoto wake. Hapo mchezo umeisha.
Una kijana shuleni hafanyi vizuri?
Una binti ana karoho ya uesharati?
Una kijana mlevi?
Una kijana kamaliza chuo yupo tu nyumbani kila biashara inamshinda?
Mwambie apige magoti mwekee mkono mtamkie uzima na mafanikio.
Neema ambayo mzazi kaibeba kwaajili ya mtoto wake ni kubwa kuliko kuombewa na Mchungaji au Nabii .
Mzazi ana password za mafanikio ya mtoto wake bila kujalisha huyo mzazi ana mafanikio kiasi gani.
Mpigishe goti mtoto wako mwombee utaona maajabu.
[emoji419]
 
Hello!
Mimi ni mtumishi wa Mungu, I know God. Sio mtumishi wa kuenenda kwa hisia. Hata nikimwombea mtu jambo siishii tu kumwambia amini utaponywa au utatendewa. Nitamwombea mpaka nipate jibu kutoka kwa Mungu kuhusu situation yake.
Nimegundua jambo ambalo watu wengi wakilichukulia maanani watapunguza matatizo ndani ya familia zao kwa % nyingi.
Akija mzazi kuhitaji msaada wa maombi juu ya mwanae technically namwambia amlete mtoto wake then nampigisha magoti halafu namwambia mzazi amtamkie yale anataka yatokee kwa mtoto wake. Hapo mchezo umeisha.
Una kijana shuleni hafanyi vizuri?
Una binti ana karoho ya uesharati?
Una kijana mlevi?
Una kijana kamaliza chuo yupo tu nyumbani kila biashara inamshinda?
Mwambie apige magoti mwekee mkono mtamkie uzima na mafanikio.
Neema ambayo mzazi kaibeba kwaajili ya mtoto wake ni kubwa kuliko kuombewa na Mchungaji au Nabii .
Mzazi ana password za mafanikio ya mtoto wake bila kujalisha huyo mzazi ana mafanikio kiasi gani.
Mpigishe goti mtoto wako mwombee utaona maajabu.
Hii nayo yule jamaa mwenye urafiki na DAB ataikopi very soon utaisikia akiipigia chapuo pale machinjioni maana ni bingwa wa kukopi na kupesti anachukua huku anaweka huku ila yeye ataiongezea udambwi dambwi vijana waende wazazi wao wakawawekee mikono pale pale machinjioni usiku wa pako ni pako mzazi huyu mtoto ni wako mtoto njoo na mzazi wako siku hio mtafunguliwa mtume atawaambia wazazi wawawekee mikono watoto wao kichwani ili waweze kufunguliwa atamtumia Essau na nduguye Yakobo kwa Baba yao Isaka km kielelezo hapo watu watakolezwa na kwenda na wazazi wao kwa Bwana yule bila kujua ile ni steji ya maigizo bwahahaha
 
Hello!
Mimi ni mtumishi wa Mungu, I know God. Sio mtumishi wa kuenenda kwa hisia. Hata nikimwombea mtu jambo siishii tu kumwambia amini utaponywa au utatendewa. Nitamwombea mpaka nipate jibu kutoka kwa Mungu kuhusu situation yake.
Nimegundua jambo ambalo watu wengi wakilichukulia maanani watapunguza matatizo ndani ya familia zao kwa % nyingi.
Akija mzazi kuhitaji msaada wa maombi juu ya mwanae technically namwambia amlete mtoto wake then nampigisha magoti halafu namwambia mzazi amtamkie yale anataka yatokee kwa mtoto wake. Hapo mchezo umeisha.
Una kijana shuleni hafanyi vizuri?
Una binti ana karoho ya uesharati?
Una kijana mlevi?
Una kijana kamaliza chuo yupo tu nyumbani kila biashara inamshinda?
Mwambie apige magoti mwekee mkono mtamkie uzima na mafanikio.
Neema ambayo mzazi kaibeba kwaajili ya mtoto wake ni kubwa kuliko kuombewa na Mchungaji au Nabii .
Mzazi ana password za mafanikio ya mtoto wake bila kujalisha huyo mzazi ana mafanikio kiasi gani.
Mpigishe goti mtoto wako mwombee utaona maajabu.
With all due respect bro, Mambo sio rahisi kiasi hicho, you just can't be blessed to prosperity like that,
Yaani umuwekee Nikon, utamke, kuwa tajiri kama bakheresa, au, eron musk, mwanangu, na itokee,!!! Hizo, ni ndoto za alinacha,
Hakuna mafanikio, nyumba, utajiri,wa, maombi! Kama nyie mnaotoa maombi, kwanini nyie sio ma tajiri, na, maombi yanatoka kwenu, ila mnataka sie "mnaotuombea" Kwa malipo of coz, tuwe ma tajiri, naamini katika kutamka mazuri, kumjengea mtoto roho ya kujiamini, nk, but it takes more than prayers and goodwill, to make it in life, watoto wa More, Bakheresa,, Obama, Samia, Kikwete, hawakufika pale kisa wazazi wao waliwawekea mikono na kuwatabilia makubwa,kuna kazi ilifanyika kujenga uchumi wa familia, na ukwasi,
Kuombea mtoto ni sawa, ila inahitajika kazi, sayansi,
Tujifunze kwa china, Korea, Japan, India, Dubai, Taiwan, wanaimani zao Sana, wanaomba Sana, ila wanatumia bongo Sana, ki sayansi, simu ya Samsung, kutoka Korea, imetengenezwa kwa bongo Kali, zilizoumiza kichwa kuwaza,
Ukisikia hizi, bland, Toyota, Benz, Vx,Ford, hazikuja kwa maombi, kazi, ya bongo,
 
😄 umekumbusha kitu niliwahi kusikia nikiwa binti kikakaa na mimi mpaka leo. Walisema, kila siku utasikia wanandoa wanalalamikia mapungufu ya ndoa kana kwamba walifanya makosa kuchagua au kuingia kwenye hiyo taasisi, husikii hata siku moja mtu akisema amesaidika au kufaidika vipi na ndoa. Mazuri hayasemwi, watu wanafurahia kweli kweli ndoa zao lakini nje aaah, ndio wa kwanza kulalamika jinsi walivyo jela. Hata hapa hapa jf tunaona
🤔 Maisha ni vita, hii nayo Ni mbinu ya kivita.
 
Hello!
Mimi ni mtumishi wa Mungu, I know God. Sio mtumishi wa kuenenda kwa hisia. Hata nikimwombea mtu jambo siishii tu kumwambia amini utaponywa au utatendewa. Nitamwombea mpaka nipate jibu kutoka kwa Mungu kuhusu situation yake.
Nimegundua jambo ambalo watu wengi wakilichukulia maanani watapunguza matatizo ndani ya familia zao kwa % nyingi.
Akija mzazi kuhitaji msaada wa maombi juu ya mwanae technically namwambia amlete mtoto wake then nampigisha magoti halafu namwambia mzazi amtamkie yale anataka yatokee kwa mtoto wake. Hapo mchezo umeisha.
Una kijana shuleni hafanyi vizuri?
Una binti ana karoho ya uesharati?
Una kijana mlevi?
Una kijana kamaliza chuo yupo tu nyumbani kila biashara inamshinda?
Mwambie apige magoti mwekee mkono mtamkie uzima na mafanikio.
Neema ambayo mzazi kaibeba kwaajili ya mtoto wake ni kubwa kuliko kuombewa na Mchungaji au Nabii .
Mzazi ana password za mafanikio ya mtoto wake bila kujalisha huyo mzazi ana mafanikio kiasi gani.
Mpigishe goti mtoto wako mwombee utaona maajabu.

Acha kupotosha Watu.

Wazazi wangekuwa na hiyo power kama unayosema Hakuna Mtu Duniani angetaabika.
 
Ni vizuri ukawapa heshima wazazi.

Ila kufanikiwa kunahitaji juhudi ndani yake.

Power ya kubariki kuna WATU wanayo na sio kila MTU .
 
Back
Top Bottom