π umekumbusha kitu niliwahi kusikia nikiwa binti kikakaa na mimi mpaka leo. Walisema, kila siku utasikia wanandoa wanalalamikia mapungufu ya ndoa kana kwamba walifanya makosa kuchagua au kuingia kwenye hiyo taasisi, husikii hata siku moja mtu akisema amesaidika au kufaidika vipi na ndoa. Mazuri hayasemwi, watu wanafurahia kweli kweli ndoa zao lakini nje aaah, ndio wa kwanza kulalamika jinsi walivyo jela. Hata hapa hapa jf tunaonaNote; now days ukijisifia tu kidogo umeharibu, watu skuhizi wanapenda kuona ukiwabroken, stressed and with no direction.
[emoji419]Hello!
Mimi ni mtumishi wa Mungu, I know God. Sio mtumishi wa kuenenda kwa hisia. Hata nikimwombea mtu jambo siishii tu kumwambia amini utaponywa au utatendewa. Nitamwombea mpaka nipate jibu kutoka kwa Mungu kuhusu situation yake.
Nimegundua jambo ambalo watu wengi wakilichukulia maanani watapunguza matatizo ndani ya familia zao kwa % nyingi.
Akija mzazi kuhitaji msaada wa maombi juu ya mwanae technically namwambia amlete mtoto wake then nampigisha magoti halafu namwambia mzazi amtamkie yale anataka yatokee kwa mtoto wake. Hapo mchezo umeisha.
Una kijana shuleni hafanyi vizuri?
Una binti ana karoho ya uesharati?
Una kijana mlevi?
Una kijana kamaliza chuo yupo tu nyumbani kila biashara inamshinda?
Mwambie apige magoti mwekee mkono mtamkie uzima na mafanikio.
Neema ambayo mzazi kaibeba kwaajili ya mtoto wake ni kubwa kuliko kuombewa na Mchungaji au Nabii .
Mzazi ana password za mafanikio ya mtoto wake bila kujalisha huyo mzazi ana mafanikio kiasi gani.
Mpigishe goti mtoto wako mwombee utaona maajabu.
Hii nayo yule jamaa mwenye urafiki na DAB ataikopi very soon utaisikia akiipigia chapuo pale machinjioni maana ni bingwa wa kukopi na kupesti anachukua huku anaweka huku ila yeye ataiongezea udambwi dambwi vijana waende wazazi wao wakawawekee mikono pale pale machinjioni usiku wa pako ni pako mzazi huyu mtoto ni wako mtoto njoo na mzazi wako siku hio mtafunguliwa mtume atawaambia wazazi wawawekee mikono watoto wao kichwani ili waweze kufunguliwa atamtumia Essau na nduguye Yakobo kwa Baba yao Isaka km kielelezo hapo watu watakolezwa na kwenda na wazazi wao kwa Bwana yule bila kujua ile ni steji ya maigizo bwahahahaHello!
Mimi ni mtumishi wa Mungu, I know God. Sio mtumishi wa kuenenda kwa hisia. Hata nikimwombea mtu jambo siishii tu kumwambia amini utaponywa au utatendewa. Nitamwombea mpaka nipate jibu kutoka kwa Mungu kuhusu situation yake.
Nimegundua jambo ambalo watu wengi wakilichukulia maanani watapunguza matatizo ndani ya familia zao kwa % nyingi.
Akija mzazi kuhitaji msaada wa maombi juu ya mwanae technically namwambia amlete mtoto wake then nampigisha magoti halafu namwambia mzazi amtamkie yale anataka yatokee kwa mtoto wake. Hapo mchezo umeisha.
Una kijana shuleni hafanyi vizuri?
Una binti ana karoho ya uesharati?
Una kijana mlevi?
Una kijana kamaliza chuo yupo tu nyumbani kila biashara inamshinda?
Mwambie apige magoti mwekee mkono mtamkie uzima na mafanikio.
Neema ambayo mzazi kaibeba kwaajili ya mtoto wake ni kubwa kuliko kuombewa na Mchungaji au Nabii .
Mzazi ana password za mafanikio ya mtoto wake bila kujalisha huyo mzazi ana mafanikio kiasi gani.
Mpigishe goti mtoto wako mwombee utaona maajabu.
With all due respect bro, Mambo sio rahisi kiasi hicho, you just can't be blessed to prosperity like that,Hello!
Mimi ni mtumishi wa Mungu, I know God. Sio mtumishi wa kuenenda kwa hisia. Hata nikimwombea mtu jambo siishii tu kumwambia amini utaponywa au utatendewa. Nitamwombea mpaka nipate jibu kutoka kwa Mungu kuhusu situation yake.
Nimegundua jambo ambalo watu wengi wakilichukulia maanani watapunguza matatizo ndani ya familia zao kwa % nyingi.
Akija mzazi kuhitaji msaada wa maombi juu ya mwanae technically namwambia amlete mtoto wake then nampigisha magoti halafu namwambia mzazi amtamkie yale anataka yatokee kwa mtoto wake. Hapo mchezo umeisha.
Una kijana shuleni hafanyi vizuri?
Una binti ana karoho ya uesharati?
Una kijana mlevi?
Una kijana kamaliza chuo yupo tu nyumbani kila biashara inamshinda?
Mwambie apige magoti mwekee mkono mtamkie uzima na mafanikio.
Neema ambayo mzazi kaibeba kwaajili ya mtoto wake ni kubwa kuliko kuombewa na Mchungaji au Nabii .
Mzazi ana password za mafanikio ya mtoto wake bila kujalisha huyo mzazi ana mafanikio kiasi gani.
Mpigishe goti mtoto wako mwombee utaona maajabu.
π€ Maisha ni vita, hii nayo Ni mbinu ya kivita.π umekumbusha kitu niliwahi kusikia nikiwa binti kikakaa na mimi mpaka leo. Walisema, kila siku utasikia wanandoa wanalalamikia mapungufu ya ndoa kana kwamba walifanya makosa kuchagua au kuingia kwenye hiyo taasisi, husikii hata siku moja mtu akisema amesaidika au kufaidika vipi na ndoa. Mazuri hayasemwi, watu wanafurahia kweli kweli ndoa zao lakini nje aaah, ndio wa kwanza kulalamika jinsi walivyo jela. Hata hapa hapa jf tunaona
Hello!
Mimi ni mtumishi wa Mungu, I know God. Sio mtumishi wa kuenenda kwa hisia. Hata nikimwombea mtu jambo siishii tu kumwambia amini utaponywa au utatendewa. Nitamwombea mpaka nipate jibu kutoka kwa Mungu kuhusu situation yake.
Nimegundua jambo ambalo watu wengi wakilichukulia maanani watapunguza matatizo ndani ya familia zao kwa % nyingi.
Akija mzazi kuhitaji msaada wa maombi juu ya mwanae technically namwambia amlete mtoto wake then nampigisha magoti halafu namwambia mzazi amtamkie yale anataka yatokee kwa mtoto wake. Hapo mchezo umeisha.
Una kijana shuleni hafanyi vizuri?
Una binti ana karoho ya uesharati?
Una kijana mlevi?
Una kijana kamaliza chuo yupo tu nyumbani kila biashara inamshinda?
Mwambie apige magoti mwekee mkono mtamkie uzima na mafanikio.
Neema ambayo mzazi kaibeba kwaajili ya mtoto wake ni kubwa kuliko kuombewa na Mchungaji au Nabii .
Mzazi ana password za mafanikio ya mtoto wake bila kujalisha huyo mzazi ana mafanikio kiasi gani.
Mpigishe goti mtoto wako mwombee utaona maajabu.