Na zipo nyingi Sana,Mkuu wauaji wote wangelikuwa wanakamatwa.
Kuna mauaji mengine hata Polisi hukosa pa kuanzia, kesi za nmna hiyo zipo.
Ni suala la muda tu labda police waamue tu kuacha kwa sababu mbalimbali kumbuka mambo ya ufatiliaji ni gharama zinatumika je bajeti hio ipo.Pia interest ya wenye kesi hio mfano kama hakuna anaefatilia police watashughulikaje nayo kwa faida ipi.Mkuu wauaji wote wangelikuwa wanakamatwa.
Kuna mauaji mengine hata Polisi hukosa pa kuanzia, kesi za nmna hiyo zipo.
Bongo unaweza kutwa na hatia ya jinai mara , na ukafungwa miaka 15, ila baada ta mda kidogo,ukakutwa huko nachingwea unazurura tu.π€Aaah wapi,
Kwanza Tanzania ndo rahisi kufanya uhalifu na ukapotea kimya kimya
maana uku ata serikali yenyewe Haina bajeti ya kufanya upelelezi.
Yaani upelelezi WA bongo unategemea na mfuko WA aliefanyiwa uhalifu ukoje.
Bongo Sio ajabu umepeleka kesi kituoni, afu afande mwenye kesi Yako anakuomba Ela ya vocha ampigie mgambo ili muongozane mkamkamate mhalifu
Na usipotoa Ela ya vocha, mhalifu akamatwi π
Bado Kesi nyingi hazijafahamikaMatukio mengi ya mauji hufanyika sirini lakini huja kuwa dhahiri tena kwenye mwanga mkali
Wazungu wanasema " no perfect murder"
Murder ikitendeka na isijulikane labda vyombo vya uchunguzi visiamuwe kuingia kazini
Ukitenda jinai ya murder Kuna uhakika asilimia π― utajulikana na ushahidi utakutia hatiani
Jiweke mbali na jinai hii
Kesi na upelelezi vinaweza chukua hata miaka 30 lakini amini wapelezi watakutia hatia na uovu utawekwa wazi
Hapa nitatoa baadhi ya hujuma maarufu hapa Tanzania
1. Mauaji ya Milembe Suleimani
Hawa wauaji walikuwa smart, jinsi walivyo mlaghai hadi kumpeleka site,
Kuzuia mawasiliano, kuficha simu na vifaa au silaha
Lakini wakasahau chupa ya fanta, na wapelelezi walivoikuta wakachukua vinasaba na kugundulika kuwa aliishika mmoja wa mtuhumiwa na kilichofuata mambo yalikuwa kwenye mwanga wa jua kali
2. Hukumu ya Kunyongwa hadi kufa ya KHamis Luwoga.
Huyu bwana alimuuwa mke wake huko Kigomboni kwenye jumba lake kifahari.
Vyote alicheza smart, kuanzia kuchoma mwili moto na kutupa majibu shambani Kwake Kibiti
Tatizo akapanic na kujitumia SMS Kwa kutumia simu yake wake
Sms zilivyofutiliwa ikandulika alituma sms wakiwa umbali mdogo yani kama walikaa pamoja
Vile ku report kesi 1 vituo tofauti vya police
Na kuacha mkoba wa mkewe ambao alikuwa hawezi kuuacha
Ushahidi ulivopeleka mahakamani Luwoga alicheka na kukiri kosa mwenyewe
3 Mauaji ya RPC Barlow 2012 Mwanza
Hapa wauaji walivamia na kumuua kamanda nakufanikiwa KutorokA eneo la tukio
Kipengele kikaja walishika gari na maganda ya risasi
Finger Print zilivochukulia, mambo yakawa dhahiri na hukumu ya kifo Kwa watu 4 ikafuata
4 Mauaji ya dada wa Msuya
Huyu Binti alikuwa kwenye migogoro ya mirathi na mjane wa Msuya
Huyu Binti alichinjwa kama mbuzi wa Vingunguti
Wauaji wakitenda yote, lakini wakasahau panga
Uchunguzi ukaanza Kwa watuhumiwa na mke wa Hayati Msuya alikutwa na hatia ya kufadhili na hivo alihukumiwa kunyongwa hadi kufa, lakini hali iliyotuacha mdomo wazi alishinda rufaa yake na kuachiwa huru na mahakama
5. Hukumu ya Kunyongwa hadi kufa ya Bageni 2006
Bageni alikuwa RCO kinondoni
Alipanga njama za kuwauwa wafanya biashara 4, kati ya hao watatu walikuwa ndugu wa damu
Inasemekana aliwapora million 200 na madini
Kwa mamlaka yake aliita press na kutangaza kuwauwa majambazi waliokuwa na silaha
Rais Kikweta alivopewa za kikachero aliunda time ya majaji kuchunguza na mambo Bageni aliyotenda gizani yalikuwa wazi kama uchi wa mbuzi
Hizi ni baadhi ya kesi maarufu ila zipo nyingi mtaani ambazo watenda jinai ya murder hawakutoboa licha ya kufanya uhalifu huu sirini na gizani
Hapa nasubiri hukumu ya mtoto Asimwe wa Muleba Kagera aliyekuwa albino, ambayo mauaji hayo alihusishwa baba yake mzizi na Padre wa Kanisa katoliki
Uongo mtupuMkuu wauaji wote wangelikuwa wanakamatwa.
Kuna mauaji mengine hata Polisi hukosa pa kuanzia, kesi za nmna hiyo zipo.
Kila jambo lifanyikalo huacha traces.Hiyo ni kwa bongo tu
Refer to Jamal khashoggi assassinated 2 Oct 2018 in Instanbul Turkey aliingia ubalozini tu na hakutoka tena huko mkewe mtarajiwa akimsuburi nje ya ubalozi for many hours
πππkwamba kama mfuko wako mbovu kesi yako ndio basi tenaYaani upelelezi WA bongo unategemea na mfuko WA aliefanyiwa uhalifu ukoje.
Hizo zinapigwa Dana dana tu. Mauwaji unless wamekulinda tu lakini huwezi pona hata kidogo.Jamaa haelewi uyo, perfect murder zipo kibao, ndo maana Kuna Hadi kesi Zina zaidi ya miaka 80 Bado upelezi wake haujawai kukamilika
πππkwamba kama mfuko wako mbovu kesi yako ndio basi tena
Na kama mtuhumiwa ana koneksheni na watu wakubwa waliohusika utasikka alikufa ghafla akiwa jela.Kiukweli,
Bongo hatuna wapelelezi hodari,
Na Ukitaka kuamini hili,
Chunguza watuhumiwa wanapopelekwa mahakamani.
Asilimia kubwa unakuta wamekiri makosa Baada ya kichapo kikali na Sio uchunguzi ule WA kitaalam, tunaita kuunganisha DOTS
YAANI Mtuhumiwa anaenda mahakamani kusomewa Mashtaka, tayari Hana jino, mguu umevunjika,kang'olewa kucha, katumbukiziwa spoku kwny uume n.k
ππππni njama za kukwamisha upeleleziHakika mkuu, Niliwai kuibiwa simu, Ila gharama za upelelezi polisi ili kuirudisha simu Yako ni Bora ukanunue mpyaπ,
Sio danadana mkuu, Kuna kesi unakuta inakupasua kichwa balaa.Hizo zinapigwa Dana dana tu. Mauwaji unless wamekulinda tu lakini huwezi pona hata kidogo.
Wengine Hawaii jela,bali anahamishwa nchi au mkoa, afu ndo imetoka hiyoNa kama mtuhumiwa ana koneksheni na watu wakubwa waliohusika utasikka alikufa ghafla akiwa jela.
Hii sio perfect murder bali watu wamelindwa kiaina
Kuna mda sio unakuta Hata sio njama, Bali askali nae binadamu, kipato chake hakimtoshi, hivyo nae anataka kula mule mule kwenye kesi Yako.ππππni njama za kukwamisha upelelezi
Traces zinaweza kuachwa Sana tu,Kila jambo lifanyikalo huacha traces.
Yaani uku ni holela tuBongo unaweza kutwa na hatia ya jinai mara , na ukafungwa miaka 15, ila baada ta mda kidogo,ukakutwa huko nachingwea unazurura tu.π€
Gary francis poste? Kama ni huyo jamaa basi jua bado haijawa officially confirmed maana kwa muda mredu walikuwa proposed watu tofauti tofauti lakini hakuna hata mmoja aliyethibitika .Uyo zodiak mbona alishadakwa kitambo Sana