Hakuna murder case isiyoacha alama/ushahidi

Mkuu wauaji wote wangelikuwa wanakamatwa.

Kuna mauaji mengine hata Polisi hukosa pa kuanzia, kesi za nmna hiyo zipo.
Ni suala la muda tu labda police waamue tu kuacha kwa sababu mbalimbali kumbuka mambo ya ufatiliaji ni gharama zinatumika je bajeti hio ipo.Pia interest ya wenye kesi hio mfano kama hakuna anaefatilia police watashughulikaje nayo kwa faida ipi.
Zipo fact nyingi
 
Bongo unaweza kutwa na hatia ya jinai mara , na ukafungwa miaka 15, ila baada ta mda kidogo,ukakutwa huko nachingwea unazurura tu.πŸ€”
 
Bado Kesi nyingi hazijafahamika

1. Ali Kibao
2. Deus Soka na wenzake akina Mrai
3. Ben Saanane
4. Azory Gwanda
5. Mo
6. Kesi ya Lissu
7. Aliyemteka Roma
 
Kiukweli,
Bongo hatuna wapelelezi hodari,

Na Ukitaka kuamini hili,
Chunguza watuhumiwa wanapopelekwa mahakamani.

Asilimia kubwa unakuta wamekiri makosa Baada ya kichapo kikali na Sio uchunguzi ule WA kitaalam, tunaita kuunganisha DOTS

YAANI Mtuhumiwa anaenda mahakamani kusomewa Mashtaka, tayari Hana jino, mguu umevunjika,kang'olewa kucha, katumbukiziwa spoku kwny uume n.k
 
Na kama mtuhumiwa ana koneksheni na watu wakubwa waliohusika utasikka alikufa ghafla akiwa jela.

Hii sio perfect murder bali watu wamelindwa kiaina
 
Hizo zinapigwa Dana dana tu. Mauwaji unless wamekulinda tu lakini huwezi pona hata kidogo.
Sio danadana mkuu, Kuna kesi unakuta inakupasua kichwa balaa.

Yaani kesi ina dead ends kibao,

Yaani unajikuta unachunguza kesi afu unajihisi kama vile inakuja mule mule unakowaza, unajihisi tayar ushamdaka mhalifu kabisa.

Ila unafika mbele,tena hatua za mwishoni kabisa, unajikuta kumbe kote ulikokua unapeleleza ilkua unapoteza muda. UNAEMDHANIA SIYE KABISA.

Na hapo tayar ushapoteza muda na rasilimali fedha na ushawamiinisha maboss wako kesi imekwisha.

Sasa kesi za hivi, ndo wale wapelelezi uchwara WASIO na weledi huamua kumuangushia jumba bovu asiyehusika ili aonekane kweli umepelelezi umekamilika na aliekamatwa ndo mhusika.

Kesi za hivi Mara nyingi huishia mahakamani kamashtakiwa atakua na wakili mzuri, au anafungwa asiye na hatia.
 
Na kama mtuhumiwa ana koneksheni na watu wakubwa waliohusika utasikka alikufa ghafla akiwa jela.

Hii sio perfect murder bali watu wamelindwa kiaina
Wengine Hawaii jela,bali anahamishwa nchi au mkoa, afu ndo imetoka hiyo
 
πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€ni njama za kukwamisha upelelezi
Kuna mda sio unakuta Hata sio njama, Bali askali nae binadamu, kipato chake hakimtoshi, hivyo nae anataka kula mule mule kwenye kesi Yako.
 
T
Kila jambo lifanyikalo huacha traces.
Traces zinaweza kuachwa Sana tu,
Ila je, ni wote mnaweza kuziona ?,

Hapa ndo levo ya wapelelezi hutofautiana mkuu.

Umesahau lile tukio la ugaidi Zanzibar?

Bongo na Zanzibar walifeli kumpata mhalifu, wakaomba msaada FBI,

Yule mhalifu aliodakwa Kwa picha ya kuchorwa na penseli ambako Shahid pekee aliekua aliemuona mhalifu alkua ni Mtoto WA miaka 4.
 
Nikiwaga na wasaa wa kuangalia TV moja ya channel zangu pendwa ni DISCOVERY ID pale mjini DSTV

Kuna mapindi ya upelelezi wa case mbali mbali kuanzia za mauaji, wizi, utekaji nk
Zipo zilizo kuwa solved na ambazo ni unsolved

Ila ukiangalia hiyo channeli ndio utajua law enforcers wa wenzetu wanafanya kazi kweli kweli sio utani
Jamaa wanachungunza hadi unaogopa

Njoo bongo sasa
 
Ukitaka kujua bongo ni holela holela,
Angalia jinsi crime scene inavokua treated Baada TU ya tukio kutokea.

1. Ni Mara chache Sana kukuta utepe kuzunguka eneo la tukio ili kuzuia kuharibu ushahidi.

2. Unakuta mpelelezi Hata hajamaliza Hata kukusanya ushahidi eneo la tukio, tayar keshaita press conference na hapo hapo anatamka wazi kua mtuhumiwa anaehisiwa na mashahidi eneo la tukio atafikishwa mahakamani kujibu Mashtaka yanayomkabili.
 
Uyo zodiak mbona alishadakwa kitambo Sana
Gary francis poste? Kama ni huyo jamaa basi jua bado haijawa officially confirmed maana kwa muda mredu walikuwa proposed watu tofauti tofauti lakini hakuna hata mmoja aliyethibitika .
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…