Hakuna mwanaume mwenye mwanamke mmoja, mama usijidanganye

Hakuna mwanaume mwenye mwanamke mmoja, mama usijidanganye

Yani ukijiona unaamini kwamba "hakuna mwanaume mwenye mke mmoja" basi jua wewe ni mjinga unaelazimisha watu waamini unachokifanya wewe.

Usitake kuwalisha sumu mbaya wanawake waanze kuwa na hofu na waume zao.


Usilazimishe kwamba lazima kwa kkla mwanaume iwe hivyo,sema kwa wanaume wengi iiko hivyo,uwingi sio kwamba ni wote.

Badili mitazamo yako aisee.
Sidhani kama ni mtazamo, ila ndio nature kubali ukatae. Mimi ni mwanaume, rafiki zangu ni wanaume, kaka zangu ni wanaume namuelewa sana mleta mada.

Huyo mwanaume ambaye ana mwanamke mmoja huenda ana shida fulani katika mwili wake.

Wewe ni muislamu kama sikosei, unadhan Allah alivyoruhusu mwanaume kuoa mke zaidi ya mmoja alikosea?
 
Mungu ameruhusu ndani ya Qur'an kuoa mke zaidi ya mmoja (4), Mungu kisha amuru sasa unataka nani mwingine aamuru??---- Uisilamu raha sana.🤣
Mkuu huyu jamaa hujamuelewa.

Mungu kuruhusu jambo haina maana kwamba hauwezi kuishi bila jambo hilo.

Na laiti ingelikuwa haiwezekani mtu kuishi na mke zaidi ya mmoja basi mungu angesema ni LAZIMA KUOA WAKE WENGI.

Lakini hata Mungu mwenyewe anajua kwamba sio lazima KILA mwanaume aqe na wake wengi lakinni akaruhusu kwamba atakae tena afannye kwa wale wanaotaka.

lakini pia Mungu akaweka kigezo kwamba ikiwa utahofia uadilifu nasi ukae na mke mmoja.

Hapa kigezo cha kuhofia kuwa na wake wengi ni uadilifu.

Hii maana yake uadilifu kwa mwanamume ni jambo la lazima analotakiwa awe nalo ili aishi nna wake wengi.

Hivyo uadilifu ni kigezo kinachotangulizwa zaidi kwa mtu kuwa na wake wengi kuliko matamanio.

Kama una matamanio ya wake wengi na uadilifu huna basi dini inakukataza kuongeza wake.
 
Sidhani kama ni mtazamo, ila ndio nature kubali ukatae. Mimi ni mwanaume, rafiki zangu ni wanaume, kaka zangu ni wanaume namuelewa sana mleta mada.


Huyo mwanaume ambaye ana mwanamke mmoja
unadhan Allah alivyoruhusu mwanaume kuoa mke zaidi ya mmoja alikosea?
Unatakiwa kujua maana ya RUHUSA.

Laiti kama ingekuwa haiwezekani mwanaume kishi na mke mmoja basi Allah angelisema NI LAZIMA KUOA WAKE WENGI.

Kwa nini hakusema ni lazima sisi tuoe wake wengi wakati jambo la kutamani wake wengi ni lazima kwa mwanaume badala yake akatoa option kwa atakae ?
 
Unatakiwa kujua maana ya RUHUSA.

Laiti kama ingekuwa haiwezekani mwanaume kishi na mke mmoja basi Allah angelisema NI LAZIMA KUOA WAKE WENGI.

Kwa nini hakusema ni lazima sisi tuoe wake wengi wakati jambo la kutamani wake wengi ni lazima kwa mwanaume badala yake akatoa option kwa atakae ?
Swali hapa ni kwa nini aliweka hiyo option? Lakini pia ukumbuke ni Sunnah kuoa mke zaidi ya mmoja.
 
Sio kweli, hujawahi kumjua mke mwingine huko nyuma? yaani kufumba na kufumbua ni huyo tu. Na huyo mke uliyenae unadhani wewe ndiye wa kwanza kumkwichi? Usijidanganye mwenyewe.
HZO NI HARAKATI ZA KUTAFUTA HYO MMOJA ALIYENAYE NA ASHAPATA!
 
Usitufananishe sisi na wewe, sisi wengine tumeridhika na mke 1. Usitusemeee wewe sio msemaji wetu
Wewe utakuwa ni mwanaume tu na siyo MWANAUME!!

MWANAUME kuwa na mke mmoja ni udhaifu mkubwa! Muhimu ni heshima tu kwa mke halali! Mfano kwa sisi wakristu. Aamini kama yuko peke yake, kwa namna anavyopendwa na kuthaminiwa.
 
Swali hapa ni kwa nini aliweka hiyo option? Lakini pia ukumbuke ni Sunnah kuoa mke zaidi ya mmoja.
Ameweka hiyo option kwa sababu wapo wengi watakaotaka jambo hilo na wala sio wote.

Laiti kama ingelikuwa ni lazima wote tuishi kwenye option hiyo basi mungu angelisema ni lazima kwa sababu usipofanya hivyo utatoka nje ya ndoa.

Sasa kwa nini Mungu hakulazimisha jambo ambalo lazima kila mtu mwanaume alifanye ?


Sunnah kuoa mke zaidi ya mmoja.
Naam ni sunna lakini sio lazima kwa maana usipofanya hivyo haupati dhambi.

Kwa nini iwe sunna jambo ambalo ni la maumbile kwa mwanaume lazima alifanye ?
 
Sio kweli, hujawahi kumjua mke mwingine huko nyuma? yaani kufumba na kufumbua ni huyo tu. Na huyo mke uliyenae unadhani wewe ndiye wa kwanza kumkwichi? Usijidanganye mwenyewe.
Sasa kwa wanawake ambao walipita na wanaume kadhaa kabla ya kuolewa unataka kusema nao ni nature yao kutokuridhika na mwanaume mmoja hivyo wanahitaji wanaume wengi au sivyo ?
 
Sio kweli kabisa unachosema, lazima wewe una kasoro ya kiume, tena kubwa. Walishindwa hata manabii, maaskofu, masheikh, marais wakubwa, nk, sembuse wewe?
Hawa ndiyo wale wazee wa kulea vitambi! Akipiga kamoja tu, tena ndani ya dakika 2! yuko hoi anakoroma!! Kwa hali hiyo huwezi kumiliki Koloni!

Na mbaya zaidi asipokuwa makini, yeye sasa ndiyo atakua anachapiwa na wale jamaa wanao wapaka rangi na kuwaosha miguu, na kuwasafisha kucha hao wake zao.
 
Ameweka hiyo option kwa sababu wapo wengi watakaotaka jambo hilo na wala sio wote.

Laiti kama ingelikuwa ni lazima wote tuishi kwenye option hiyo basi mungu angelisema ni lazima kwa sababu usipofanya hivyo utatoka nje ya ndoa.

Sasa kwa nini Mungu hakulazimisha jambo ambalo lazima kila mtu mwanaume alifanye ?



Naam ni sunna lakini sio lazima kwa maana usipofanya hivyo haupati dhambi.

Kwa nini iwe sunna jambo ambalo ni la maumbile kwa mwanaume lazima alifanye ?
Sunnah usipofanya hupati dhambi ila ukifanya wapata thawabu.

Aliweka option kwa sababu alijua kuna wanaume wengine wana shida mbali mbali ambazo huenda zikawafanya washindwe kumudu mke zaidi ya mmoja.

Nadhani mleta mada angeweka sahihi kwamba kwa mwanaune aliyekamilika hawezi kuwa na mwanamke mmoja. Na huo ndo msimamo wangu.

Narudia tena mimi ni mwanaume naongea uhalisia.
 
Haijalishi kuwa wewe ni dini gani, kabila gani, una kazi gani Na cheo gani hapa duniani mfumo wa uzazi wa mwanaume unafanana Na mifumo ya uzazi ya wanaume wengingine wa viumbe vingine, hasa wale wenye uti wa mgongo (vertebrate) Na wanaonyonyesha (mamalia). Viumbe walioko kwenye

Mkuu umesema ukweli mtupu.

Vile vile ukiona unashindwa kuoa wanawake wengi kwa vile jamii haijahalalisha, basi uje tatizo ni Wewe.
 
Well explained.

Mimi kila nikijitahidi mwili unakuwa dhaifu wakati roho i radhi kubaki na mama yoyo. Najikuta nimeshafanya tendo la huruma kwa mwili kwa wenzake.
 
Sunnah usipofanya hupati dhambi ila ukifanya wapata thawabu.
Naam basi ujue kwamba na jambo hili wapo ambao hawatofanya na hawapati dhambi kwa sababu sio kwamba wote ni lazima wawe hivyo.

Ingelikuwa wote lazima wawe hivyo basi ingekuwa ni lazima kwa wanaume wote.
option kwa sababu alijua kuna wanaume wengine wana shida mbali mbali ambazo huenda zikawafanya washindwe kumudu mke zaidi ya mmoja.
Ukitizama katika aya mbalimbali utaona namna gani wenye shida mbalimbali wametolewa...

Mfano Allah ksbainisha kwamba funga ni lazima

Isipokuwa kwa wagonjwa au walioko safarini.

Maana yake hii ni lazima na wale wenye matatizo wametajwa lakini nature kwamba kila mmoja anaweza kufunga isipokuwa hao ndo wameruhusiwa.

Sasa katika hili la ndoa usitake kusema kwqmba Allah alisahau kusema "lazima muoe wake wengi sipokuwa kwa wenye shida mbali mbali"

Hapa unataka kumfundisha Allah bila shaka.

Kwa sababu laiti kama ingelikuwa hivyo Allah asingesahau kusema kwamba hili jambo ni lazima isipokuwa wenye shida mbalimbali.

Kwa sababu hao wenye shida mbalimbali wametajwa katika aya zingine,hivyo na aya hii ya kuoa wake wengi ingelikuwa awataje na wala hakushindwa kufanya hivyo.

Lakini kwa kuwa mnataka kumfundisha Allah busara na hekima na kwamba nyinyi mnamjua mwanaume basi endeleeni tu.
hawezi kuwa na mwanamke mmoja
Mwanaume aliyekamilika anakuwa na sifa gani za kimaumbile ?
Na huo ndo msimamo wangu.
Msimamo sio hoja mkuu,wapo waislamu wenye misimamo ya hovyo tu ambayo haina tija.

Misomamo sio hoja,hatujadili misimamo tunajadili hoja ambazo zitasapoti misimamo hiyo.
Nadhani mleta mada angeweka sahihi kwamba kwa mwanaune aliyekamilika hawezi kuwa na mwanamke mmoja. Na huo ndo msimamo wangu.
Wapo masahaba walikuwa na mke mmoja na walizaa watoto.

Mwanaume aliyekamilika anakuwa na sifa gani kwa mujibu wa uislamu na sio kwa mujibu wako kwa sababu kila mtu ana tafsiri zake...

Nipe sifa ya mwanaume iyekamilika kwa mujibu wa uislamu
 
Haijalishi kuwa wewe ni dini gani, kabila gani, una kazi gani na cheo gani hapa duniani mfumo wa uzazi wa mwanaume unafanana Na mifumo ya uzazi ya wanaume wengine wa viumbe vingine, hasa wale wenye uti wa mgongo (vertebrate) Na wanaonyonyesha (mamalia). Viumbe walioko kwenye kundi hili wanaume wanakuwa wachache kuliko wanawake kwa sababu mbalimbali za kabla ya kuzaliwa, wakati wa kuzaliwa na baada ya kuzaliwa.
Mkuu sanamu yako iwekwe ikulu magogoni!!
 
Back
Top Bottom