Hakuna mwanaume mwenye mwanamke mmoja, mama usijidanganye

Hakuna mwanaume mwenye mwanamke mmoja, mama usijidanganye

Haijalishi kuwa wewe ni dini gani, kabila gani, una kazi gani na cheo gani hapa duniani mfumo wa uzazi wa mwanaume unafanana Na mifumo ya uzazi ya wanaume wengine wa viumbe vingine, hasa wale wenye uti wa mgongo (vertebrate) Na wanaonyonyesha (mamalia). Viumbe walioko kwenye kundi hili wanaume wanakuwa wachache kuliko wanawake kwa sababu mbalimbali za kabla ya kuzaliwa, wakati wa kuzaliwa na baada ya kuzaliwa. Hivyo wanaume wamepewa uwezo mkubwa wa kutamani Na Kumudu kutembea Na kuzaa Na wanawake wengi kwa wakati mmoja.
Usipotoshe, wapo wengi tuuu
 
Yani ukijiona unaamini kwamba "hakuna mwanaume mwenye mke mmoja" basi jua wewe ni mjinga unaelazimisha watu waamini unachokifanya wewe.

Usitake kuwalisha sumu mbaya wanawake waanze kuwa na hofu na waume zao.

Kwani haitoshi kusema kwamba nature ni mwanaume anaweza kuwa na wake wengi lakini sio lazima kila mwanaume aishi kwenye nature hiyo.

Mnasambaza ujinga sana kwa wanawake.

Wapo wanaume hawana habari na kuwa na mademu wengi japokuwa wanawaona wazuri zaidi ya wake zao lakini hilo hata wanawake pia wanawaona wazuri zaidi ya waume zao.

Kama ambavyo nature ya mwanamke ni kuzaa lakini wapo ambao hawazai,sasa usilazimishe kusema kila mwanamke atazaa au anazaa wengiine hawazai eidha kwa dharura au kutaka wenyewe.

Kutaka kuwaaminisha kwamba kila mwanaume lazima awe na wanawake wengi ni ujuha unaopaswa kupigwa vita.

Hakuna anaekataa kwamba nature iko hivyo lakini kinachokataliwa ni kuwa sio kila mmoja kwamba lazima afuate nature hiyo.

Ziko nature nyingi sana lakini wengine hawaendi sambamba nazo,usijaze watu ujinga kwamba lazima "KILA MWANAUME"

Kuna wanawake wametulia na waume zao wakiinjoi maisha acha kuwa na negativity kiasi hiki.

Usilazimishe kwamba lazima kwa kkla mwanaume iwe hivyo,sema kwa wanaume wengi iiko hivyo,uwingi sio kwamba ni wote.

Badili mitazamo yako aisee.
Kaka huwezi kwenda against nature. Huwezi kuamua wewe usiende haja kubwa wala ndogo, usijisikie baridi au joto, usijisikie joto, usitamani, usidise na nk labda wewe una shida ya nguvu za kiume. Nature haipingiki labda kama unamdanganya mkeo. Je mkeo ulimkuta na bikra.??
 
Kaka huwezi kwenda against nature. Huwezi kuamua wewe usiende haja kubwa wala ndogo, usijisikie baridi au joto, usijisikie joto, usitamani, usidise na nk labda wewe una shida ya nguvu za kiume. Nature haipingiki labda kama unamdanganya mkeo. Je mkeo ulimkuta na bikra.??
Najadili hoja mkuu.

Sijadili misimamo.
 
Mungu kashindane naye kwa maana umejiumba.
Rejea mwanzo Mungu aliumba hawa na adam.
Na walipodanganywa wakapewa adhabu halafu wakaenda kuishi wenyewe nje ya bustani iliojaa kila kitu.
Halafu wewe tamaa zenu ndio mnazipigia debe .
Mxiuuu lione hata haya huna basi kwa taarifa yako hata wanawake wanaojitambua wao nao wanaume zaidi ya mmoja .
Wanaume wengi Wana kasoro nyingi (wivu, harufu mbaya, gubu, vibamia, zakari kubwa mno, ushamba, uhanidhi, ugumba, ulemavu, sura mbaya nk) wasizozipenda wanawake pia. Wanawake wanawavumilia TU kwaajili ya ndoa, pesa zako, heshima lakini sio kwamba wanalidhishwa kuwa nawewe.

Variety is the spice of life
 
Sikuungi mkono usitake kugeneralize mambo kama wewe umeshindwa wenzio wanaweza sana(usiwasemeee )na hizo ni kauli za short minded people na pia usione shida sana kuwa na wanawake wengi we fanya kimpango wako usiwahusishe wengine kwenye upuuzi wako na kutaka kuhalalisha upuuzi wako
 
Hayo majogoo na mabeberu hayajui kulima, kubeba zege n.k. Sasa wewe endekeza kwichikwichi wewe unakonda wenyewe wananenepa.
Usifanye kitu ukamkufuru Mungu kwa kuukosoa uumbaji wake. Hebu jiulize ni kwanini mwanaume ameumbwa na mbege nyiiiingi za kiume zinazozalishwa Hadi uzeeni. Jiulize kwanini mwanaume hawi na mayai mengi, akifika miaka 45 yanakwisha. Mungu sio mjinga wa kiasi hivyo. Mke mmoja haziwezi mbegu zote alizonazo mumewe asilani.
 
Kiukweli bora tuchangamshane akilo tu, ukisema ugandane na uliyenae unaweza ukafa na magonjwa ya moyo..
Maisha yatuchanganye hadi mapenzi? Haiwezekani[emoji847]
 
Funny fact. Waislamu wengi sana huwa wanatetea dini imeruhusu mke zaidi ya mmoja. Ni kweli..lakini sasa mbona huwa hawatimizi hili agizo.

Inaruhusiwa wake hadi wanne ikiwa wewe mwanaume una nguvu sana na spidi ambayo yule mke mmoja haiwezi. Kwa lugha nyingine mke anakuwa hawezi kutimiza haja zako maana mwanaume unakuwa rijali extra extra. Hapo tu ndo dini inaruhusu kuongeza mke.

Ila sasa wanaume wa leo. Kimoko chali. Mavi ya bata kabisa. Af eti dini inaruhusu kwa nguvu gani babu. Tena wewe mshindia makange, kvant, na biriani friday my foot kabisa. Mazoezi huyajui. Zaidi unaujua mkongo hahahha...embu nipishe bwana.

Mnahangaisha hizo mb** zenu tu jamani. Nguvu hamna. Mkija kwa wake zenu kimoko chali mwanamke anakesha kutafuta madildo tu ajiridhishe. Afu uko nje mnategemea mkongo, sijui puturuu na kvant jamani jamani bado na viagra hahahah.

Af mwanaume haridhiki na mwanamke mmoja jamani....wenzenu akina suleiman walikuwa fire bi moto nyinyi sasa....poooh!!! Haya hangaikeni mkichoka na viuno vimevurugika mnatembea tafkiri gani iliyokatika centre bolt!!😂😂😂😂

#povuruksahuundoukwelihamnalolote#mafikunuka
 
Usifanye kitu ukamkufuru Mungu kwa kuukosoa uumbaji wake. Hebu jiulize ni kwanini mwanaume ameumbwa na mbege nyiiiingi za kiume zinazozalishwa Hadi uzeeni. Jiulize kwanini mwanaume hawi na mayai mengi, akifika miaka 45 yanakwisha. Mungu sio mjinga wa kiasi hivyo. Mke mmoja haziwezi mbegu zote alizonazo mumewe asilani.
Kwa hiyo Ile amri aliyotoa Mungu "usizini" alikuwa anamaanisha nini?
 
Funny fact. Waislamu wengi sana huwa wanatetea dini imeruhusu mke zaidi ya mmoja. Ni kweli..lakini sasa mbona huwa hawatimizi hili agizo.

Inaruhusiwa wake hadi wanne ikiwa wewe mwanaume una nguvu sana na spidi ambayo yule mke mmoja haiwezi. Kwa lugha nyingine mke anakuwa hawezi kutimiza haja zako maana mwanaume unakuwa rijali extra extra. Hapo tu ndo dini inaruhusu kuongeza mke.

Ila sasa wanaume wa leo. Kimoko chali. Mavi ya bata kabisa. Af eti dini inaruhusu kwa nguvu gani babu. Tena wewe mshindia makange, kvant, na biriani friday my foot kabisa. Mazoezi huyajui. Zaidi unaujua mkongo hahahha...embu nipishe bwana.

Mnahangaisha hizo mb** zenu tu jamani. Nguvu hamna. Mkija kwa wake zenu kimoko chali mwanamke anakesha kutafuta madildo tu ajiridhishe. Afu uko nje mnategemea mkongo, sijui puturuu na kvant jamani jamani bado na viagra hahahah.

Af mwanaume haridhiki na mwanamke mmoja jamani....wenzenu akina suleiman walikuwa fire bi moto nyinyi sasa....poooh!!! Haya hangaikeni mkichoka na viuno vimevurugika mnatembea tafkiri gani iliyokatika centre bolt!!😂😂😂😂

#povuruksahuundoukwelihamnalolote#mafikunuka
Nyie wasasa hivi hamuwezi hata mbili tu kazi
 
Ukishaolewa na ukioa nimbaya ukichepuka kwa maana ni unatakiwa kuwa na mtu mmoja tu.
 
Haijalishi kuwa wewe ni dini gani, kabila gani, una kazi gani na cheo gani hapa duniani mfumo wa uzazi wa mwanaume unafanana Na mifumo ya uzazi ya wanaume wengine wa viumbe vingine, hasa wale wenye uti wa mgongo (vertebrate) Na wanaonyonyesha (mamalia). Viumbe walioko kwenye
Dah bora wewe umesema ukweli ,n kweli 120%. Nmekuelewa mm mwenyewe hili swala nmekuja kuliamini umri wangu umeishaenda sa
 
Usifanye kitu ukamkufuru Mungu kwa kuukosoa uumbaji wake. Hebu jiulize ni kwanini mwanaume ameumbwa na mbege nyiiiingi za kiume zinazozalishwa Hadi uzeeni. Jiulize kwanini mwanaume hawi na mayai mengi, akifika miaka 45 yanakwisha. Mungu sio mjinga wa kiasi hivyo. Mke mmoja haziwezi mbegu zote alizonazo mumewe asilani.
Uko sahihi kavulata kama ni kuingiza tu na kuacha mbegu kama jogoo afanyavyo nakubaliana na wewe kwamba kila siku mwanaume anaweza kutia mimba akikutana na wanawake walioko siku ya ovulation tu, na kwa hiyo kwa mwaka anaweza kuwa na watoto 365.
Lakini tusisahau mwanamke anahitaji afikishwe kileleni, na watoto wanahitaji huduma sio kama kuku na mbuzi ambao hawadaiwi kufikishana kileleni wala kutunza watoto.
 
Sawa mkuu nimekuelewa sasa unatakiwa uache kutumia hoja ya uislamu kwa sababu unapotumia hoja hiyo utaulizwa maswali ukashindwa kuyajibu.

Mambo hayaendi kwa jinsi unavyoona wewe,kila mtu ana uoni wake.

Kinachotakiwa kama ni ioni wako sema unaona kwa mujibu wa uoni wako usiegemeze uoni wako katika dini fulani ili ikupe sapoti.

Sasa uache kusema au kusapoti kwamba kila mwanaume lazima awe na wanawake wengi hiku ukiegemeza maneno hayo kwamba hata Allah kakusudia hivyo alafu ukiulizwa unasema wewe sio muislamu.

Hujajibu swali.

Ili uwe rijali unatakiwa uwe na sifa gani,uwe vipi ?

Sasa ahpo ndo uone kwamba hata hao vinara wa uislamu hapo nyuma ambao waliishi na mtume alioleta uislamu kwa wakati huo hawakyona ulazima kama mabao unataka kutuaminisha hapa.

Kutoa thawabu haifidishi ama haioneshi kwamba jambo hilo ni lazima kwa watu wote kwamba hawawezi kuliepuka.

Mfano Allah anamlipa thawabu mtu ambae ataswali swala ya sunna.

Unaweza kuthubutu kusema kwamba sala ya sunna ni lazima kila mtu kuisali ?

Allah anamlipa thawabu mtu ambaye atafunga sunna za jumatatu na alhamisi.

Unaweza kuthubutu kusema kuwa kufunga suna ya j3 na alhamisi ni lazima kila mtu afunge ?

Haya maswali ninayokuuliza sitarajii useme kwamba wewe sio muislamu.

Kama huna majawabu ya maswali haya hoja zako egemeza kwa mambo mengine usiegemeze kwa uislamu kwa sababu utakuwa jnashindwa kutetea hoja zako.

Hivyo suala la mathna Allah anatulipa kwa sababu ndivyo alivyopanga kama ambavyo Allah hutulipa kwa ibada zingine za sunna kwa sababu ndivyo alivyopanga na kutupendelea kwetu heri.
Kwa nini Allah atoe thawabu kwa suala ambalo halina umuhimu?

Kama hilo suala la mathna lingekuwa kawaida tu kama unavyosema hapo basi Allah asingelitoa thawabu.

Kwa Allah kutoa thawabu basi mathna ni jambo la muhimu, na Allah anahimiza hilo lifanyike.

Nikupe mfano, kwenye saikolojia kuna nadharia fulani inaitwa conditioning kiswahili uzoeshi.

Katika nadharia hii kuna kitu kinaitwa reward and punishment. Hapa tunaangalia adhabu na zawadi.

Kwa mujibu wa nadharia hii, adhabu hutolewa kuzuia tabia fulani mbaya isijirudie.

Upande wa pili zawadi hutolewa ili kuhamasisha tabia nzuri kuendelea kuwa nzuri.

Sasa ndugu safuher Allah anavyotoa thawabu (zawadi kwa yale mema) kwenye suala na mathna maana yake lina umuhimu na anahimiza hata kama ni option.
 
Back
Top Bottom