Hakuna mwanaume mwenye mwanamke mmoja, mama usijidanganye

Hakuna mwanaume mwenye mwanamke mmoja, mama usijidanganye

Wapo hakika!
Mungu anawatu!

Kuna dhambi nyingine watu hawahusiki kabisa.

Kuna watu hawajawahi kuonja pombe hata siku moja hadi uzeeni kamwe hawanywi pombe.

Kuna watu hawajawahi kwenda kwa waganga wa kienyeji maisha yao yote hata siku moja.
Hivyo kwenye dhambi ya ushirikina huwapati.

Vivyo hivyo kwenye dhambi ya uasherati na uzinzi kuna watu hawahusiki kabisa maisha yao yote.

Mungu ana watu wa kariba tofauti tofauti sana, lisilowezekana kwako kwa mwenzio linawezekana.

Kuna watu wananguvu za kushinda tamaa za kujiendekeza.
 
Isemee nafsi yako tu @ Mleta mada lakini usiwasemee wengine.

Wenzio wanaweza!

Ni notion tu yakutana kuwaaminisha watu kuwa haiwezekani ili wajichanganye waukwae.

Haiwezekani kuweza kueleweka kwenye jamii kwa kutaka kuhalalisha uzinzi na uasherati.
 
Kwa hiyo Ile amri aliyotoa Mungu "usizini" alikuwa anamaanisha nini?
Usipomuoa eti unamuogopa mkeo atasema nini ndio dhana ya kuzini inapokuja.

Hizo dini zina miaka 100 TU tangu zifike Tanganyika, kabla ya hapo miaka 2 mil iliyopita babu zetu hawakuwa na shida hizo za amri kumi. Watu walidanganywa, Sasa hivi wanawake wa kizungu wanakuja afrika kuteka wanaume wa kuwaoa.

Kumbuka wanaume wanazaliwa wachache, watoto wa kiume wanaKufa wengi kuliko dada zao, wanaume wamefungwa wengi magerezani kuliko wanawake, wanaume wanaKufa wengi kwenye ajali na majeshini, wanaume wengine ni mahanidhi, wengine ni wagumba, wengine ni mafukara, wengine ni wagonjwa. Hivyo idadi ya wanaume wenye uwezo wa kuoa ni ndogo sana
 
Wapo hakika!
Mungu anawatu!

Kuna dhambi nyingine watu hawahusiki kabisa.

Kuna watu hawajawahi kuonja pombe hata siku moja hadi uzeeni kamwe hawanywi pombe.

Kuna watu hawajawahi kwenda kwa waganga wa kienyeji maisha yao yote hata siku moja.
Hivyo kwenye dhambi ya ushirikina huwapati.

Vivyo hivyo kwenye dhambi ya uasherati na uzinzi kuna watu hawahusiki kabisa maisha yao yote.

Mungu ana watu wa kariba tofauti tofauti sana, lisilowezekana kwako kwa mwenzio linawezekana.

Kuna watu wananguvu za kushinda tamaa za kujiendekeza.
Unachokisema ni kwamba Kuna binadamu wanaoweza Kula chakula kimoja TU na wasitamani kingine milele.
 
Isemee nafsi yako tu @ Mleta mada lakini usiwasemee wengine.

Wenzio wanaweza!

Ni notion tu yakutana kuwaaminisha watu kuwa haiwezekani ili wajichanganye waukwae.

Haiwezekani kuweza kueleweka kwenye jamii kwa kutaka kuhalalisha uzinzi na uasherati.
Duuh, kaka wewe unamuogopa mkeo na wakwezo sijui watasemaje, lakini kiuhalisia wewe huna sifa zote anazozihitaji mkeo. Mkeo anaziona baadhi ya sifa anazozipenda kutoka kwa mwanaume mwingine kama shemeji take, rafiki yako wa karibu, muumini mwenzako, mfanyakazi mwenzako, nk. Na mwanamke wako pia hana sifa zote, tabia umbo, sauti, na rangi zinazo zitakazokutosheleza wewe milele usimtamani mwanamke mwingine.
 
Wapo hakika!
Mungu anawatu!

Kuna dhambi nyingine watu hawahusiki kabisa.

Kuna watu hawajawahi kuonja pombe hata siku moja hadi uzeeni kamwe hawanywi pombe.

Kuna watu hawajawahi kwenda kwa waganga wa kienyeji maisha yao yote hata siku moja.
Hivyo kwenye dhambi ya ushirikina huwapati.

Vivyo hivyo kwenye dhambi ya uasherati na uzinzi kuna watu hawahusiki kabisa maisha yao yote.

Mungu ana watu wa kariba tofauti tofauti sana, lisilowezekana kwako kwa mwenzio linawezekana.

Kuna watu wananguvu za kushinda tamaa za kujiendekeza.
Pombe, waganga wa kienyeji sio maumbile, ila suala la kupenda wanawake ni maumbile (nature)

Ni ngumu sana kubadili nature mkuu
 
Haijalishi kuwa wewe ni dini gani, kabila gani, una kazi gani na cheo gani hapa duniani mfumo wa uzazi wa mwanaume unafanana Na mifumo ya uzazi ya wanaume wengine wa viumbe vingine, hasa wale wenye uti wa mgongo (vertebrate) Na wanaonyonyesha (mamalia). Viumbe walioko kwenye kundi hili wanaume wanakuwa wachache kuliko wanawake kwa sababu mbalimbali za kabla ya kuzaliwa, wakati wa kuzaliwa na baada ya kuzaliwa. Hivyo wanaume wamepewa uwezo mkubwa wa kutamani Na Kumudu kutembea Na kuzaa Na wanawake wengi kwa wakati mmoja.

Kama mfugaji anavyohitaji majogoo, mabeberu, madume wachache kwa majike wengi bandani au zizini ndivyo hivyohivyo unavyohitaji mwanaume mmoja kwa wanawake zaidi ya mmoja, na hiki kinafanyika utake usitake, ujue usijue, uambiwe ausiambiwe.

Kiuhalisia wanyama wote akiwemo binadamu wana wivu mkubwa, hawapendi kuchanganywa, lakini kama kila mume angebaki na Mke mmoja yafuatayo yangetokea kwenye jamii:

1. Wanawake wengi wasingepata mabwana, wangebaki bikra.
2. Hasira na chuki kwenye jamii ingekuwa kubwa.
3. Sonona, depression ingekuwa kubwa.
4. Population, idadi ya watu ingepungua.
5. Idadi ya watu wanaozaliwa na hitilafu ingekuwa kubwa sana.
6. Wanawake wangebweteka sana hadi kuwa wachafu, wavivu, na wajeuri kupindukia.
7. Wanawake wangeuana wenyewe kwa wenyewe ili wapate nafasi itakayoachwa wazi.

Asitokee mwanamke atakaejigamba kuwa yuko peke yake, hata wanaume pia kwa kiasi Fulani.

Kinachotofautiana ni idadi ya wanawake alionao mwanaume na kiwango cha kujificha, usiri mkewe au mumewe alichokuwa nacho.

Jamii ihalalishe ndoa za wake wengi ili iwe huru badala ya kuendesha mambo kwa kificho.

Jisemee mwenyewe, acha kutusemea na sisi mkuu [emoji1]
 
Swali hapa ni kwa nini aliweka hiyo option? Lakini pia ukumbuke ni Sunnah kuoa mke zaidi ya mmoja.
Nadhani aliweka hiyo option kwa wanaume fake, yaani wanaume dhaifu wasio na uwezo wa kuhimili na kudhibiti hisia zao!

Kaka huwezi kwenda against nature. Huwezi kuamua wewe usiende haja kubwa wala ndogo, usijisikie baridi au joto, usijisikie joto, usitamani, usidise na nk labda wewe una shida ya nguvu za kiume. Nature haipingiki labda kama unamdanganya mkeo. Je mkeo ulimkuta na bikra.??
Naamini unaweza ku"control" nature! Mungu amekupa uwezo huo! Ndiyo maana mwanadamu amebuni namna mbalimbali za kuishi maeneo mbalimbali ambayo mengine kiasili tusingeweza kuishi! Mfano maeneo yenye baridi sana au joto Sana nk!
 
Nadhani aliweka hiyo option kwa wanaume fake, yaani wanaume dhaifu wasio na uwezo wa kuhimili na kudhibiti hisia zao!


Naamini unaweza ku"control" nature! Mungu amekupa uwezo huo! Ndiyo maana mwanadamu amebuni namna mbalimbali za kuishi maeneo mbalimbali ambayo mengine kiasili tusingeweza kuishi! Mfano maeneo yenye baridi sana au joto Sana nk!
Unakosea sana, hayo maeneo ya baridi au joto sana unayosema pia wanaishi viumbe wengine, kwanini unamsifu binadamu badala ya Mungu mwenyewe? Hiyo ni adaption ya kawaida TU kwa viumbe wote. Credit ni kwa Mungu
 
Unakosea sana, hayo maeneo ya baridi au joto sana unayosema pia wanaishi viumbe wengine, kwanini unamsifu binadamu badala ya Mungu mwenyewe? Hiyo ni adaption ya kawaida TU kwa viumbe wote. Credit ni kwa Mungu
Mimi sizungumzii ku"adapt" mazingira. Mfano, maeneo ya joto akabuni ac na fan ili zimsaidie kupambana na hali yake! Au maeneo ya baridi akabuni masweta, blankets, electric heater nk ili tu apambane na hali ya baridi!
 
una sehemu yako kabisa kule kwenye ufalme wa milele!!
 
Pombe, waganga wa kienyeji sio maumbile, ila suala la kupenda wanawake ni maumbile (nature)

Ni ngumu sana kubadili nature mkuu
Mungu sio mjinga akupe mbegu nyiiiingi kwenye korodani zako eti kwaajili ya kimwanamke kimoja. Mbona hakufanya hivyo kwa ndege, wanyama na viumbe vingine? Yaani unahalalisha woga kwa mkeo. Yaani unaongea udhaifu wako uliokithiri dhidi ya mkeo. Unasahau kuwa wewe, beberu, jogoo wote mna wivu, mnatongoza, mnakula, mnaenda haja ndogo na kubwa, mnahema, mnasikia njaa, mnalala usingizi, mnajisikia kiu pamoja. Mbona wewe huachi kufanya hivyo vingine vyote Ila unachagua eti kuacha kugawa mbegu ulizopewa kwa wanaozihitaji. Eti mwanamke mmoja TU, unamfanya Mungu zezeta kukupa mbegu nyiiiingi.
 
Mimi sizungumzii ku"adapt" mazingira. Mfano, maeneo ya joto akabuni ac na fan ili zimsaidie kupambana na hali yake! Au maeneo ya baridi akabuni masweta, blankets, electric heater nk ili tu apambane na hali ya baridi!
Hivyo vitu alivyobuni ili kwenda against nature yake ndio udhaifu wake, chanzo Cha magonjwa yake na kifo chake. Kutumia magari badala ya kutembea kwa miguu yetu, kunywa sukari badala ya kula miwa, kutumia mafuta ya kupikia badala ya kutumia mbegu za mafuta kama karanga na ufuta ni chanzo Cha magonjwa yetu.

Mbona kinyonga pia amebuni kujigeuza rangi? mbona ngamia anaishi jangwani?, mbona nyuki anatengeneza asali wewe huwwzi, mbona kunguru anaruka angani wewe huwezi, mbona mchwa anatengeneza vichuguu wewe huwezi. Bro, acha dharau kwa Mungu wako. Kwa Mungu hakuna kiumbe dhaifu wala chenye akili kupita kingine, tofauti yao ni kwaajili ya kazi aliyotumwa kuifanya na kuepuka mgongano kwenye kupata mahitaji ya kuishi basi.

Majokofu, magari, ndege, bodaboda, ndio chanzo Cha vifo vyetu.
 
Nilikuwa na mpenzi mwenye wivu sana aliwahi kunionyesha bandiko kama hili akiniambia roho inamuuma kwamba nna wanawake wengi

Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
 
Nilikuwa na mpenzi mwenye wivu sana aliwahi kunionyesha bandiko kama hili akiniambia roho inamuuma kwamba nna wanawake wengi

Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
Mwambie nakupenda sana pia, usikimbie kwakuwa Nina wengine. Hebu na yeye avae viatu vya wale wanawake ambao hawajaolewa na wanataka kuzaa watoto kabla umri wao haujawaacha
 
Kwani kuna shida gani (kwa sauti ya Ndugai)
Shida ni kwamba wanaume wa siku hizi wanawaogopa sana wake zao kiasi Cha kushindwa kuwaleta nyumbani watoto wao wa nje ya ndoa (kama wapo). Watoto hao wanaozea hukohuko walikozaliwa kwa kufichwa,kukataliwa au mimba zao kutolewa. Mwanaume anatetemeka simu yake ikiguswa na mkewe, mwanaume anahangaika kama demu lake likimpigia simu wakati Yuko na mkewe.

Wanawake huwa wanatingisha kiberiti waone ulivyo bwege na unavyomuogopa. Mwanamke hata uwe na wanawake 4 bado atakupenda sana kama kitandani na mfukoni uko vizuri, huna gubu, unampenda na kumjali.
 
Back
Top Bottom