Hakuna mwanaume mwenye mwanamke mmoja, mama usijidanganye

Hakuna mwanaume mwenye mwanamke mmoja, mama usijidanganye

Ahsantee! Mleta mada usijidai kama hujaona hii comment hapa.

Ni wewe peke yako ndiye huna mke 1, wanaume wengine ni wastaarabu
Ustaarabu uko kwenye usiri, kukuzuga, kujificha na kutumza Siri. Hakuna mwanamke mwenye sifa na tabia zote anazotaka mwanaume. Tabia ya mwanamke inadumu kwa masaa au siku chache TU tayari imeshamkinaisha mwanaume. Ndio maana mwanamke usiishi kwa mazoea lazima ubadilike kIla wakati kupika, usafi, kulala, kuvaa na hata kucheka. Harufu ya mdomo, uchi au nywele inatosa kumkinaisha mwanaume.
 
Mungu sio mjinga akupe mbegu nyiiiingi kwenye korodani zako eti kwaajili ya kimwanamke kimoja. Mbona hakufanya hivyo kwa ndege, wanyama na viumbe vingine? Yaani unahalalisha woga kwa mkeo. Yaani unaongea udhaifu wako uliokithiri dhidi ya mkeo. Unasahau kuwa wewe, beberu, jogoo wote mna wivu, mnatongoza, mnakula, mnaenda haja ndogo na kubwa, mnahema, mnasikia njaa, mnalala usingizi, mnajisikia kiu pamoja. Mbona wewe huachi kufanya hivyo vingine vyote Ila unachagua eti kuacha kugawa mbegu ulizopewa kwa wanaozihitaji. Eti mwanamke mmoja TU, unamfanya Mungu zezeta kukupa mbegu nyiiiingi.
Hata Adam alipewa mbegu nyingi sana kama wewe lakini mbona alipewa mke mmoja tu ambaye ni Eva!!!! Acha kutuongepea!
 
Sasa hivi unawashuhulikia TU, mwanaume mwenye akili timamu hafungi ndoa ya kanisani, maana mashrti ya Mke na mume mmoja hayatatimia. Kwenye mapenzi hakuna dini, elimu, tajiri Wala kabila. Mke wa tajiri analiwa na Mke wa maskini analiwa, mlokole analiwa na changudoa analiwa, mweupe analiwa na mweusi analiwa, kilema analiwa na mzima analiwa pia, mke wa mbunge analiwa na Mke wa balozi wa nyumba kumi analiwa. Ukimbia mshale n ukisimama mshale.
Ahsante kwa mwongozo, okay nitaanza kuwapelekea moto tu sioi tena
 
Hata Adam alipewa mbegu nyingi sana kama wewe lakini mbona alipewa mke mmoja tu ambaye ni Eva!!!! Acha kutuongepea!
Hiyo habar
Hata Adam alipewa mbegu nyingi sana kama wewe lakini mbona alipewa mke mmoja tu ambaye ni Eva!!!! Acha kutuongepea!
Hiyo habari ya Adam na Eva ni hadidhi tamu TU iliyosimuliwa na kukubaliwa na wengi, lakini hakuna ushahidi wa kutosha kuwa mwanamke alitokana na ubavu wa mwanaume. Je, na inzi wa kike walitoka kwenye ubavu wa inzi wa kiume? Mchwa je, mbuzi je nao wanawake wao walitoka kwenye ubavu wa beberu? Hizi ni hadithi zinazo watweza wanawake na kuwakuza wanaume ndani ya jamii, zIna nia ovu kwa wanawake. Haiwekani iwe wanawake wa binadamu TU ndio watoke kwenye ubavu wa wanaume lakini wale wa Kobe, nyani, tumbili, nguruwe na jongoo watoke kwingine lakini Leo hii wote wanazaana kwa kujamiana. Kwanini watu wasiendelee na kuchomoana mbavu na kuwaacha wanyama na viumbe wengine waendelee na kujamiana na kuzaa? Kusema tuache hadithi za Napoleon na kubuni ilimradi liende.
 
Halafu wanakuja kutuongopea humwawa

aHalafu wanakuja kutuongopea humu
Wawaongopee haohao wake zao. Wanawake ni ulimbo unaonasa kIla mtu na utelezi unaoangusha hata Marais na maaskofu sembuse yeye. Nabii suileymani hakua dafu kwa yule mwanamke mhabesh, Queen wa Sheba sembuse yeye karunguyeye. Mwanamke akikudhamilia kukupata hakukosi labda uwe hanithi. Wanamuziki wote duniani wanahubiri uzuri na ubaya wa wanawake. Wahubiri kIla siku wanahubiri zinanaa zinanaa zinaa kwanini? Ni utelezi wwa wote
 
I
Nakazia...
Unafiki wa kiwango cha sgr
Narudia tena hakuna mwanamke mwenye sifa zote anazohitaji mwanaume hata kama mwanamke huyo awe mzuri kama malaika au tajiri namna gani, utimamu wa mwili, akili na uchumi wa mwanaume ndio utakaoamua mume awe na wanawake wangapi
 
Ngoja tuone...
Wangapi simu zao hazina password nyumbani? Wangapi wanaweza kuziacha simu zao nyumbani wakaenda kazini siku nzima bila kuwa na wasiwasi? Wangapi wamewapa ruhusa wake zao au waume zao kupokea simu zao zinapoita?
 
I

Narudia tena hakuna mwanamke mwenye sifa zote anazohitaji mwanaume hata kama mwanamke huyo awe mzuri kama malaika au tajiri namna gani, utimamu wa mwili, akili na uchumi wa mwanaume ndio utakaoamua mume awe na wanawake wangapi
Ni wachache ila wapo
 
Ni wachache ila wapo
Kama Nani, toa mfano ili watu wajifunze kutoka kwake.

Binadamu ana tabia ya kukinai (fatigue) kitu hata kionekane kizuri kwa asiyekiwa nacho. Mitumba mingi unayoiona huku mingi ni ya watu walioikinai. Ukisema wa nini wako wanaosema watampata lini. Wewe unamtamani wa mwingine na mwingine anamtamani wa kwako. Na hiyo ndiyo dunia na nature ya Mungu. Hakuna mzuri na hakuna mbaya. Uzuri na ubaya ni social construction, inategemea umeangalia pembe ipi.
 
Jamii zetu nyingi hili lilikuwepo na wanalijua. Shida ni hizi dini tulizopokea! Ati mwisho mmoja! Au wanne! Babu zetu kabla ya hizi dini waliona "busara" ya kuwa na wake wengi (hakukuwa na limits, ukiwa na uwezo wa mali na afya, unaoa zaidi).
 
Kwa hiyo Mungu alivyoagiza kwenye vitabu vitakatifu watu kuacha zinaa na uasherati ameagiza huku akijua kuwa haiwezekani kuacha sababu ya nature?
Mimi ninaishi uhalisia,hayo maagizo yapo na sijui kwa nini Mungu aliyaweka.

Hata hivyo hayo mafundisho ya uzinzi na uasherati yamekuja karibuni.

Kabla ya hapo nadhani unajua Africa tulikuwaje kuhusu suala la wanawake.

Mafundisho yapo lakini amini nakwambia linapokuja suala la wanawake hakuna cha mchungaji wala padri wala sheikh as long as ni mwanaume rijali anayesimamisha.

Najua unatetea hapa ila nafsi yako unaijua kama wewe ni mwanaume
 
Mungu sio mjinga akupe mbegu nyiiiingi kwenye korodani zako eti kwaajili ya kimwanamke kimoja. Mbona hakufanya hivyo kwa ndege, wanyama na viumbe vingine? Yaani unahalalisha woga kwa mkeo. Yaani unaongea udhaifu wako uliokithiri dhidi ya mkeo. Unasahau kuwa wewe, beberu, jogoo wote mna wivu, mnatongoza, mnakula, mnaenda haja ndogo na kubwa, mnahema, mnasikia njaa, mnalala usingizi, mnajisikia kiu pamoja. Mbona wewe huachi kufanya hivyo vingine vyote Ila unachagua eti kuacha kugawa mbegu ulizopewa kwa wanaozihitaji. Eti mwanamke mmoja TU, unamfanya Mungu zezeta kukupa mbegu nyiiiingi.
Kuna watu hapa wako nyuma ya keyboard kujifanya watakatifu wana mke mmoja na wametulia.

Huyo mwanaume HAYUPO na sijawahi muona tangu nizaliwe, labda uwe mgonjwa au una mapungufu fulani
 
Jamii zetu nyingi hili lilikuwepo na wanalijua. Shida ni hizi dini tulizopokea! Ati mwisho mmoja! Au wanne! Babu zetu kabla ya hizi dini waliona "busara" ya kuwa na wake wengi (hakukuwa na limits, ukiwa na uwezo wa mali na afya, unaoa zaidi).
Ndio maana hakukua na lose girls mitaani. Leo hii unaweza kunywa maziwa kwa urahisi sana, dini zimeharibu equilibrium, wanawake wanateseka mitaani inawabidi watembee nusu uchi ili kuvutia wanaume ambao wameshikiliwa na dini zao kwa kiijianamke kimoja kinachotumia uzazi wa mpango eti kiwe na watoto 2 TU na ngono basi. Mwanaume nae kwa woga wa mkewe na maisha eti anaatamia kiianamke kimoja na watoto 2 humo ndani na kuning'iniza kende zenye mbugu nyingi kwenye suruali ambazo zingeweza kutumiwa na wanawake 3 au 6 wengine.

Rais Magufuli RIP alivyosema zaeni alimaanisha zaeni kweli.
 
  • Thanks
Reactions: SMU
Back
Top Bottom