Vishu Mtata
JF-Expert Member
- Dec 15, 2019
- 15,954
- 35,415
Hana mkuu, japo wanafanya ila sio kwa kiwango kikubwa kama wanaume.Ha haaa eti uwezo hana. Sawa baba
Ndio maana unaweza kuta babu wa miaka 70 ana mchepuko 😁😁, ila si rahisi kukuta mwanamke wa miaka hiyo eti ana mchepuko ni ajabu sana.
Ni nature tu, daima itadumu ivo