Hakuna mwenye akili timamu atakayemuamini Mbowe na Chadema kuchangia hela? Kwanini hazindui ujenzi Arusha au Moshi?

Hakuna mwenye akili timamu atakayemuamini Mbowe na Chadema kuchangia hela? Kwanini hazindui ujenzi Arusha au Moshi?

Status
Not open for further replies.
Hivi kabla ya yote, huyo "Mbowe" ni nani?
Mwenyekiti wa chama anayekosa kura ndani ya jimbo lake mwenyewe anawezaje kuwa na impact kwa Watanzania milioni 60?
 
Kwanza ninaamini Hana ushahidi wa anachokisema,

Pili, amekuwa na siasa za chuki na kichochezi zisizovumilka kwa kila mtanzania mwenye akili timamu na mwenye kupenda amani na utulivu

Tatu, mpeni miezi mitatu tu Mbele, tayari itajidhihirisha kwamba dishi lilishaanza kuyumba kitambo tu, si bure hapo alipo

Na kama JPM kama anavyodai bwana Mbowe kwamba alikuwa na agenda ya Siri kuhakikisha kwamba Sisi wachaga hatupati ajira serikalini, na wakati Mimi nimepata ajira yangu miaka mitatu tu nyuma Kwa serikali hiyo anayosema wachaga hawakutakiwa kupewa ajira na serikali ya JPM, huo ni uwongo, Kwa vile yeye anadai serikali ya JPM ilikuwa na agenda mbaya Kwa wachaga tena Ni kwa Siri, ameshindwa nini naye kulifanya Jambo hilo kuwa ni la Siri Kwa sababu Kwa kufanya hivyo, litatuweka kwenye Amani Yetu na kudhihirisha hekima ya bwana Mbowe na kama mkongwe wa siasa za kimageuzi nchini??

Kwa nini yeye atamke waziwazi Mbele ya kada mnasi na wakati huohuo akijua aliyekuwa akifanya Jambo Hilo tayari hatuko naye duniani, amejiuliza taharuki inayoweza kutokea ambapo hata mwenye chuki na wachaga hayuko duniani,

Bwana Mbowe atapata faida ipi Sisi wachaga Tulianza kunununiana na wasukuma ili Hali mgombanishi wetu hayupo?

Kwa nini hakutaja kulimeza Hilo Jambo ambalo Kwanza ninauhakika 💯% sio Kweli Bali chuki zake tu zilizosababishwa na ukwepaji Kodi wake?

Ogopa Sana mwanasiasa anapoelekea mwisho wa umarufu wake na mwisho wa kukubalika kisiasa, huamua hata kuchonganisha jamii ili ajipatie umarufu wa kijinga na kipumbavu kama anavyotaka kufanya huyu mkongwe wa siasa za upinzani aliyejizolea umaarufu kipindi cha JK.

Mbowe anaelekea kubaya, mpeni miazi yake mitano tu muone anavyovurugikiwa kichwani!!

Mbowe hawezi kuongoza watu wa Kada mbalimbali kutoka pande za Tanzania, Isipokuwa Uongozi wake inafaa aongoze watu wa kanda yake

Anasema maneno magumu Mbele ya wasukuma ambao nao wamo ndani ya Chama chake??

Hao wasukuma waliomo chamani kwake wanajisikiaje kusikia eti utawala uliokuwepo wachaga pekee hawakupewa ajira, Wakati kina mnyika mpaka Leo hii hata mishahara hawalipwi na chadema Kwa muda sasa, Magufuli kama msukuma, alishindwa nini kumfuata mnyika ili ampe hata ukurugenzi Kwa kuwa ni msukuma?

Mambo ya kipuuzi Sana haya
Ndiyo demokrasia kukosoa mambo mabaya wacha aseme waliopo wasirudie tena mambo mabaya
 
Haya ngoja niendelee kusubiri hiyo miezi mitano nione itakuwaje!
Nalog off
 
Kama kweli mbowe anefikia hatua ya kutoa. Matamshi hayo bas anataka kuligawa hili taifaa
 
Kwanza ninaamini Hana ushahidi wa anachokisema,

Pili, amekuwa na siasa za chuki na kichochezi zisizovumilka kwa kila mtanzania mwenye akili timamu na mwenye kupenda amani na utulivu

Tatu, mpeni miezi mitatu tu Mbele, tayari itajidhihirisha kwamba dishi lilishaanza kuyumba kitambo tu, si bure hapo alipo

Na kama JPM kama anavyodai bwana Mbowe kwamba alikuwa na agenda ya Siri kuhakikisha kwamba Sisi wachaga hatupati ajira serikalini, na wakati Mimi nimepata ajira yangu miaka mitatu tu nyuma Kwa serikali hiyo anayosema wachaga hawakutakiwa kupewa ajira na serikali ya JPM, huo ni uwongo, Kwa vile yeye anadai serikali ya JPM ilikuwa na agenda mbaya Kwa wachaga tena Ni kwa Siri, ameshindwa nini naye kulifanya Jambo hilo kuwa ni la Siri Kwa sababu Kwa kufanya hivyo, litatuweka kwenye Amani Yetu na kudhihirisha hekima ya bwana Mbowe na kama mkongwe wa siasa za kimageuzi nchini??

Kwa nini yeye atamke waziwazi Mbele ya kada mnasi na wakati huohuo akijua aliyekuwa akifanya Jambo Hilo tayari hatuko naye duniani, amejiuliza taharuki inayoweza kutokea ambapo hata mwenye chuki na wachaga hayuko duniani,

Bwana Mbowe atapata faida ipi Sisi wachaga Tulianza kunununiana na wasukuma ili Hali mgombanishi wetu hayupo?

Kwa nini hakutaja kulimeza Hilo Jambo ambalo Kwanza ninauhakika [emoji817]% sio Kweli Bali chuki zake tu zilizosababishwa na ukwepaji Kodi wake?

Ogopa Sana mwanasiasa anapoelekea mwisho wa umarufu wake na mwisho wa kukubalika kisiasa, huamua hata kuchonganisha jamii ili ajipatie umarufu wa kijinga na kipumbavu kama anavyotaka kufanya huyu mkongwe wa siasa za upinzani aliyejizolea umaarufu kipindi cha JK.

Mbowe anaelekea kubaya, mpeni miazi yake mitano tu muone anavyovurugikiwa kichwani!!

Mbowe hawezi kuongoza watu wa Kada mbalimbali kutoka pande za Tanzania, Isipokuwa Uongozi wake inafaa aongoze watu wa kanda yake

Anasema maneno magumu Mbele ya wasukuma ambao nao wamo ndani ya Chama chake??

Hao wasukuma waliomo chamani kwake wanajisikiaje kusikia eti utawala uliokuwepo wachaga pekee hawakupewa ajira, Wakati kina mnyika mpaka Leo hii hata mishahara hawalipwi na chadema Kwa muda sasa, Magufuli kama msukuma, alishindwa nini kumfuata mnyika ili ampe hata ukurugenzi Kwa kuwa ni msukuma?

Mambo ya kipuuzi Sana haya

Mkuu zama za kupambana na upinzani upate uteuzi serikalini umepitwa na wakati,wewe endelea kuwa popoma
 
Zama za wachaga tra na tanesco zimekwisha mlijazana. Snaa kipindi hicho tokea kamishna mkuu wa tra bwana hery kittilya na kina mrmba wa tanesco lkn Hakuna mtu Alie ongeaa Hilo sas HV mnaona Kanda ya ziwa ikitawala maeneo nyeti mnaanza kuleta maneno eti wachaga hampati ajira serekalini ....
 
Mnachokisikia ni sehemu ya Uchafu mwingi ambao Mwendazake alifanya,tatizo mlishamgeuza Mungu wenu ndio maana hamuamini,

Watu wangapi wamekufa au kupotea kwa maagizo yake tu?Sabaya alikuwa anatekeleza maagizo ya nani kule hai?Kama hamtaki kusikia kamfufueni huyo Magufuli wenu aje ajibu sasa.
 
Kwanza ninaamini Hana ushahidi wa anachokisema,

Pili, amekuwa na siasa za chuki na kichochezi zisizovumilka kwa kila mtanzania mwenye akili timamu na mwenye kupenda amani na utulivu

Tatu, mpeni miezi mitatu tu Mbele, tayari itajidhihirisha kwamba dishi lilishaanza kuyumba kitambo tu, si bure hapo alipo

Na kama JPM kama anavyodai bwana Mbowe kwamba alikuwa na agenda ya Siri kuhakikisha kwamba Sisi wachaga hatupati ajira serikalini, na wakati Mimi nimepata ajira yangu miaka mitatu tu nyuma Kwa serikali hiyo anayosema wachaga hawakutakiwa kupewa ajira na serikali ya JPM, huo ni uwongo, Kwa vile yeye anadai serikali ya JPM ilikuwa na agenda mbaya Kwa wachaga tena Ni kwa Siri, ameshindwa nini naye kulifanya Jambo hilo kuwa ni la Siri Kwa sababu Kwa kufanya hivyo, litatuweka kwenye Amani Yetu na kudhihirisha hekima ya bwana Mbowe na kama mkongwe wa siasa za kimageuzi nchini??

Kwa nini yeye atamke waziwazi Mbele ya kada mnasi na wakati huohuo akijua aliyekuwa akifanya Jambo Hilo tayari hatuko naye duniani, amejiuliza taharuki inayoweza kutokea ambapo hata mwenye chuki na wachaga hayuko duniani,

Bwana Mbowe atapata faida ipi Sisi wachaga Tulianza kunununiana na wasukuma ili Hali mgombanishi wetu hayupo?

Kwa nini hakutaja kulimeza Hilo Jambo ambalo Kwanza ninauhakika [emoji817]% sio Kweli Bali chuki zake tu zilizosababishwa na ukwepaji Kodi wake?

Ogopa Sana mwanasiasa anapoelekea mwisho wa umarufu wake na mwisho wa kukubalika kisiasa, huamua hata kuchonganisha jamii ili ajipatie umarufu wa kijinga na kipumbavu kama anavyotaka kufanya huyu mkongwe wa siasa za upinzani aliyejizolea umaarufu kipindi cha JK.

Mbowe anaelekea kubaya, mpeni miazi yake mitano tu muone anavyovurugikiwa kichwani!!

Mbowe hawezi kuongoza watu wa Kada mbalimbali kutoka pande za Tanzania, Isipokuwa Uongozi wake inafaa aongoze watu wa kanda yake

Anasema maneno magumu Mbele ya wasukuma ambao nao wamo ndani ya Chama chake??

Hao wasukuma waliomo chamani kwake wanajisikiaje kusikia eti utawala uliokuwepo wachaga pekee hawakupewa ajira, Wakati kina mnyika mpaka Leo hii hata mishahara hawalipwi na chadema Kwa muda sasa, Magufuli kama msukuma, alishindwa nini kumfuata mnyika ili ampe hata ukurugenzi Kwa kuwa ni msukuma?

Mambo ya kipuuzi Sana haya
Toa ushahidi kama hayo unayosema ni maneno ya Mbowe?
 
Kwanza ninaamini Hana ushahidi wa anachokisema,

Pili, amekuwa na siasa za chuki na kichochezi zisizovumilka kwa kila mtanzania mwenye akili timamu na mwenye kupenda amani na utulivu

Tatu, mpeni miezi mitatu tu Mbele, tayari itajidhihirisha kwamba dishi lilishaanza kuyumba kitambo tu, si bure hapo alipo

Na kama JPM kama anavyodai bwana Mbowe kwamba alikuwa na agenda ya Siri kuhakikisha kwamba Sisi wachaga hatupati ajira serikalini, na wakati Mimi nimepata ajira yangu miaka mitatu tu nyuma Kwa serikali hiyo anayosema wachaga hawakutakiwa kupewa ajira na serikali ya JPM, huo ni uwongo, Kwa vile yeye anadai serikali ya JPM ilikuwa na agenda mbaya Kwa wachaga tena Ni kwa Siri, ameshindwa nini naye kulifanya Jambo hilo kuwa ni la Siri Kwa sababu Kwa kufanya hivyo, litatuweka kwenye Amani Yetu na kudhihirisha hekima ya bwana Mbowe na kama mkongwe wa siasa za kimageuzi nchini??

Kwa nini yeye atamke waziwazi Mbele ya kada mnasi na wakati huohuo akijua aliyekuwa akifanya Jambo Hilo tayari hatuko naye duniani, amejiuliza taharuki inayoweza kutokea ambapo hata mwenye chuki na wachaga hayuko duniani,

Bwana Mbowe atapata faida ipi Sisi wachaga Tulianza kunununiana na wasukuma ili Hali mgombanishi wetu hayupo?

Kwa nini hakutaja kulimeza Hilo Jambo ambalo Kwanza ninauhakika 💯% sio Kweli Bali chuki zake tu zilizosababishwa na ukwepaji Kodi wake?

Ogopa Sana mwanasiasa anapoelekea mwisho wa umarufu wake na mwisho wa kukubalika kisiasa, huamua hata kuchonganisha jamii ili ajipatie umarufu wa kijinga na kipumbavu kama anavyotaka kufanya huyu mkongwe wa siasa za upinzani aliyejizolea umaarufu kipindi cha JK.

Mbowe anaelekea kubaya, mpeni miazi yake mitano tu muone anavyovurugikiwa kichwani!!

Mbowe hawezi kuongoza watu wa Kada mbalimbali kutoka pande za Tanzania, Isipokuwa Uongozi wake inafaa aongoze watu wa kanda yake

Anasema maneno magumu Mbele ya wasukuma ambao nao wamo ndani ya Chama chake??

Hao wasukuma waliomo chamani kwake wanajisikiaje kusikia eti utawala uliokuwepo wachaga pekee hawakupewa ajira, Wakati kina mnyika mpaka Leo hii hata mishahara hawalipwi na chadema Kwa muda sasa, Magufuli kama msukuma, alishindwa nini kumfuata mnyika ili ampe hata ukurugenzi Kwa kuwa ni msukuma?

Mambo ya kipuuzi Sana haya
Mtu anamsusiaga mtu aliyekuwa na ushirikia/ mahusiano na yeye. Wewe ni ccm mpaka damu yako ni ya kijani uataanzaje kumsusia mbowe? Labda nikufundushe namna ya kutunga hoja. Hapa ulitakiwa useme kwamba nawaombeni sana wanachama wenzangu wa CCM msijiunge na Chadema ila si kuwaambia wasusie wakati hawapo ndani ya chama chetu. Mbowe shikilia hapo hapo maana wameshaanza kuchanganyikiwa 🤣🤣🤣
Kwanza ninaamini Hana ushahidi wa anachokisema,

Pili, amekuwa na siasa za chuki na kichochezi zisizovumilka kwa kila mtanzania mwenye akili timamu na mwenye kupenda amani na utulivu

Tatu, mpeni miezi mitatu tu Mbele, tayari itajidhihirisha kwamba dishi lilishaanza kuyumba kitambo tu, si bure hapo alipo

Na kama JPM kama anavyodai bwana Mbowe kwamba alikuwa na agenda ya Siri kuhakikisha kwamba Sisi wachaga hatupati ajira serikalini, na wakati Mimi nimepata ajira yangu miaka mitatu tu nyuma Kwa serikali hiyo anayosema wachaga hawakutakiwa kupewa ajira na serikali ya JPM, huo ni uwongo, Kwa vile yeye anadai serikali ya JPM ilikuwa na agenda mbaya Kwa wachaga tena Ni kwa Siri, ameshindwa nini naye kulifanya Jambo hilo kuwa ni la Siri Kwa sababu Kwa kufanya hivyo, litatuweka kwenye Amani Yetu na kudhihirisha hekima ya bwana Mbowe na kama mkongwe wa siasa za kimageuzi nchini??

Kwa nini yeye atamke waziwazi Mbele ya kada mnasi na wakati huohuo akijua aliyekuwa akifanya Jambo Hilo tayari hatuko naye duniani, amejiuliza taharuki inayoweza kutokea ambapo hata mwenye chuki na wachaga hayuko duniani,

Bwana Mbowe atapata faida ipi Sisi wachaga Tulianza kunununiana na wasukuma ili Hali mgombanishi wetu hayupo?

Kwa nini hakutaja kulimeza Hilo Jambo ambalo Kwanza ninauhakika 💯% sio Kweli Bali chuki zake tu zilizosababishwa na ukwepaji Kodi wake?

Ogopa Sana mwanasiasa anapoelekea mwisho wa umarufu wake na mwisho wa kukubalika kisiasa, huamua hata kuchonganisha jamii ili ajipatie umarufu wa kijinga na kipumbavu kama anavyotaka kufanya huyu mkongwe wa siasa za upinzani aliyejizolea umaarufu kipindi cha JK.

Mbowe anaelekea kubaya, mpeni miazi yake mitano tu muone anavyovurugikiwa kichwani!!

Mbowe hawezi kuongoza watu wa Kada mbalimbali kutoka pande za Tanzania, Isipokuwa Uongozi wake inafaa aongoze watu wa kanda yake

Anasema maneno magumu Mbele ya wasukuma ambao nao wamo ndani ya Chama chake??

Hao wasukuma waliomo chamani kwake wanajisikiaje kusikia eti utawala uliokuwepo wachaga pekee hawakupewa ajira, Wakati kina mnyika mpaka Leo hii hata mishahara hawalipwi na chadema Kwa muda sasa, Magufuli kama msukuma, alishindwa nini kumfuata mnyika ili ampe hata ukurugenzi Kwa kuwa ni msukuma?

Mambo ya kipuuzi Sana haya
 
Kwanza ninaamini Hana ushahidi wa anachokisema,

Pili, amekuwa na siasa za chuki na kichochezi zisizovumilka kwa kila mtanzania mwenye akili timamu na mwenye kupenda amani na utulivu

Tatu, mpeni miezi mitatu tu Mbele, tayari itajidhihirisha kwamba dishi lilishaanza kuyumba kitambo tu, si bure hapo alipo

Na kama JPM kama anavyodai bwana Mbowe kwamba alikuwa na agenda ya Siri kuhakikisha kwamba Sisi wachaga hatupati ajira serikalini, na wakati Mimi nimepata ajira yangu miaka mitatu tu nyuma Kwa serikali hiyo anayosema wachaga hawakutakiwa kupewa ajira na serikali ya JPM, huo ni uwongo, Kwa vile yeye anadai serikali ya JPM ilikuwa na agenda mbaya Kwa wachaga tena Ni kwa Siri, ameshindwa nini naye kulifanya Jambo hilo kuwa ni la Siri Kwa sababu Kwa kufanya hivyo, litatuweka kwenye Amani Yetu na kudhihirisha hekima ya bwana Mbowe na kama mkongwe wa siasa za kimageuzi nchini??

Kwa nini yeye atamke waziwazi Mbele ya kada mnasi na wakati huohuo akijua aliyekuwa akifanya Jambo Hilo tayari hatuko naye duniani, amejiuliza taharuki inayoweza kutokea ambapo hata mwenye chuki na wachaga hayuko duniani,

Bwana Mbowe atapata faida ipi Sisi wachaga Tulianza kunununiana na wasukuma ili Hali mgombanishi wetu hayupo?

Kwa nini hakutaja kulimeza Hilo Jambo ambalo Kwanza ninauhakika 💯% sio Kweli Bali chuki zake tu zilizosababishwa na ukwepaji Kodi wake?

Ogopa Sana mwanasiasa anapoelekea mwisho wa umarufu wake na mwisho wa kukubalika kisiasa, huamua hata kuchonganisha jamii ili ajipatie umarufu wa kijinga na kipumbavu kama anavyotaka kufanya huyu mkongwe wa siasa za upinzani aliyejizolea umaarufu kipindi cha JK.

Mbowe anaelekea kubaya, mpeni miazi yake mitano tu muone anavyovurugikiwa kichwani!!

Mbowe hawezi kuongoza watu wa Kada mbalimbali kutoka pande za Tanzania, Isipokuwa Uongozi wake inafaa aongoze watu wa kanda yake

Anasema maneno magumu Mbele ya wasukuma ambao nao wamo ndani ya Chama chake??

Hao wasukuma waliomo chamani kwake wanajisikiaje kusikia eti utawala uliokuwepo wachaga pekee hawakupewa ajira, Wakati kina mnyika mpaka Leo hii hata mishahara hawalipwi na chadema Kwa muda sasa, Magufuli kama msukuma, alishindwa nini kumfuata mnyika ili ampe hata ukurugenzi Kwa kuwa ni msukuma?

Mambo ya kipuuzi Sana haya

Ni hivi Mbowe ameongea ukweli uliopo. Pia Magufuli aliteua kwenye vyeo kwa kuangalia kanda ya ziwa na wakristo. Huo ndio ukweli.
 
Yaani propaganda ya chama kile ndio imefikia level hii.

Nilitegemea baada ya kubadilisha team kocha na magers nilitarjia better and focused approach lakini matokeo yake.

Naona watu wale wale na propaganda zile zile zilizoshindwa kwa kipindi chote.
 
makabia yako 120 lakini lipo kabila moja tu mhimu tz, kuna madhebu mbeng sana tz lakn yao madhebu mawili muhimu.tz tunahitaji
 
Ameshaanza kuchanganyikiwa sio bure,Kwa maneno hayo anaamini anajenga Chama, kumbe ni upumbavu tu

Tunachojua Mbowe kaongea ukweli, kwenye hicho chama hakihitaji kujengwa kwa kuficha ukweli. Ni hivi, dhalimu alikuwa na siasa za kibaguzi hilo halina mjadala.
 
Mleta post,unaongelea Chadema gani ,mbona ilishakufa jamani?

Na ilizikwa Chato kipindi Cha uchaguzi.

20210506_192521.jpg
 
Tumehubiriwa bila matokeo kwa miaka 32 sasa na hata wengine tuli fukuza chuo mwaka 1994 na UDSM kufungwa wote kufukuzwa.

Kuchelewa kupata matokeo na mabadiliko yemefanya munkari wa mageuzi upungue nguvu sana. Na sasa hivi mtu yeyote akwambiae Chadema ina nguvu Kilimanjaro kama ilivyokuwa zamani anakudanganya.
Kufukuzwa chuo tu mkuu ! Mandela kafungwa, tz watu wako magereza, wengine wamepigwa marisasi 36, wengine hatujui Kama wapo hai au la , Mbowe kalala gerezani mala kibao nje ya mateso mengine.

Kujikomboa kutoka utumwani sio KAZI nyepesi ,that's unalialia hapa maana hujui nini wakipigania ,ulitakiwa kua na tabasam maana maisha ya hapa duniani ni mafupi Sana , siku zote fanya Jambo hata Kama siku umekufa vizazi vikukumbuke sio unakufa hata kwenye tarafa hujulikani.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom