Son of Gamba
JF-Expert Member
- Oct 26, 2012
- 4,720
- 6,957
Ndiyo demokrasia kukosoa mambo mabaya wacha aseme waliopo wasirudie tena mambo mabayaKwanza ninaamini Hana ushahidi wa anachokisema,
Pili, amekuwa na siasa za chuki na kichochezi zisizovumilka kwa kila mtanzania mwenye akili timamu na mwenye kupenda amani na utulivu
Tatu, mpeni miezi mitatu tu Mbele, tayari itajidhihirisha kwamba dishi lilishaanza kuyumba kitambo tu, si bure hapo alipo
Na kama JPM kama anavyodai bwana Mbowe kwamba alikuwa na agenda ya Siri kuhakikisha kwamba Sisi wachaga hatupati ajira serikalini, na wakati Mimi nimepata ajira yangu miaka mitatu tu nyuma Kwa serikali hiyo anayosema wachaga hawakutakiwa kupewa ajira na serikali ya JPM, huo ni uwongo, Kwa vile yeye anadai serikali ya JPM ilikuwa na agenda mbaya Kwa wachaga tena Ni kwa Siri, ameshindwa nini naye kulifanya Jambo hilo kuwa ni la Siri Kwa sababu Kwa kufanya hivyo, litatuweka kwenye Amani Yetu na kudhihirisha hekima ya bwana Mbowe na kama mkongwe wa siasa za kimageuzi nchini??
Kwa nini yeye atamke waziwazi Mbele ya kada mnasi na wakati huohuo akijua aliyekuwa akifanya Jambo Hilo tayari hatuko naye duniani, amejiuliza taharuki inayoweza kutokea ambapo hata mwenye chuki na wachaga hayuko duniani,
Bwana Mbowe atapata faida ipi Sisi wachaga Tulianza kunununiana na wasukuma ili Hali mgombanishi wetu hayupo?
Kwa nini hakutaja kulimeza Hilo Jambo ambalo Kwanza ninauhakika 💯% sio Kweli Bali chuki zake tu zilizosababishwa na ukwepaji Kodi wake?
Ogopa Sana mwanasiasa anapoelekea mwisho wa umarufu wake na mwisho wa kukubalika kisiasa, huamua hata kuchonganisha jamii ili ajipatie umarufu wa kijinga na kipumbavu kama anavyotaka kufanya huyu mkongwe wa siasa za upinzani aliyejizolea umaarufu kipindi cha JK.
Mbowe anaelekea kubaya, mpeni miazi yake mitano tu muone anavyovurugikiwa kichwani!!
Mbowe hawezi kuongoza watu wa Kada mbalimbali kutoka pande za Tanzania, Isipokuwa Uongozi wake inafaa aongoze watu wa kanda yake
Anasema maneno magumu Mbele ya wasukuma ambao nao wamo ndani ya Chama chake??
Hao wasukuma waliomo chamani kwake wanajisikiaje kusikia eti utawala uliokuwepo wachaga pekee hawakupewa ajira, Wakati kina mnyika mpaka Leo hii hata mishahara hawalipwi na chadema Kwa muda sasa, Magufuli kama msukuma, alishindwa nini kumfuata mnyika ili ampe hata ukurugenzi Kwa kuwa ni msukuma?
Mambo ya kipuuzi Sana haya
Nadhani ndio itakuwa furaha kwako.Ameshaanza kuchanganyikiwa sio bure,Kwa maneno hayo anaamini anajenga Chama, kumbe ni upumbavu tu
Kwanza ninaamini Hana ushahidi wa anachokisema,
Pili, amekuwa na siasa za chuki na kichochezi zisizovumilka kwa kila mtanzania mwenye akili timamu na mwenye kupenda amani na utulivu
Tatu, mpeni miezi mitatu tu Mbele, tayari itajidhihirisha kwamba dishi lilishaanza kuyumba kitambo tu, si bure hapo alipo
Na kama JPM kama anavyodai bwana Mbowe kwamba alikuwa na agenda ya Siri kuhakikisha kwamba Sisi wachaga hatupati ajira serikalini, na wakati Mimi nimepata ajira yangu miaka mitatu tu nyuma Kwa serikali hiyo anayosema wachaga hawakutakiwa kupewa ajira na serikali ya JPM, huo ni uwongo, Kwa vile yeye anadai serikali ya JPM ilikuwa na agenda mbaya Kwa wachaga tena Ni kwa Siri, ameshindwa nini naye kulifanya Jambo hilo kuwa ni la Siri Kwa sababu Kwa kufanya hivyo, litatuweka kwenye Amani Yetu na kudhihirisha hekima ya bwana Mbowe na kama mkongwe wa siasa za kimageuzi nchini??
Kwa nini yeye atamke waziwazi Mbele ya kada mnasi na wakati huohuo akijua aliyekuwa akifanya Jambo Hilo tayari hatuko naye duniani, amejiuliza taharuki inayoweza kutokea ambapo hata mwenye chuki na wachaga hayuko duniani,
Bwana Mbowe atapata faida ipi Sisi wachaga Tulianza kunununiana na wasukuma ili Hali mgombanishi wetu hayupo?
Kwa nini hakutaja kulimeza Hilo Jambo ambalo Kwanza ninauhakika [emoji817]% sio Kweli Bali chuki zake tu zilizosababishwa na ukwepaji Kodi wake?
Ogopa Sana mwanasiasa anapoelekea mwisho wa umarufu wake na mwisho wa kukubalika kisiasa, huamua hata kuchonganisha jamii ili ajipatie umarufu wa kijinga na kipumbavu kama anavyotaka kufanya huyu mkongwe wa siasa za upinzani aliyejizolea umaarufu kipindi cha JK.
Mbowe anaelekea kubaya, mpeni miazi yake mitano tu muone anavyovurugikiwa kichwani!!
Mbowe hawezi kuongoza watu wa Kada mbalimbali kutoka pande za Tanzania, Isipokuwa Uongozi wake inafaa aongoze watu wa kanda yake
Anasema maneno magumu Mbele ya wasukuma ambao nao wamo ndani ya Chama chake??
Hao wasukuma waliomo chamani kwake wanajisikiaje kusikia eti utawala uliokuwepo wachaga pekee hawakupewa ajira, Wakati kina mnyika mpaka Leo hii hata mishahara hawalipwi na chadema Kwa muda sasa, Magufuli kama msukuma, alishindwa nini kumfuata mnyika ili ampe hata ukurugenzi Kwa kuwa ni msukuma?
Mambo ya kipuuzi Sana haya
Toa ushahidi kama hayo unayosema ni maneno ya Mbowe?Kwanza ninaamini Hana ushahidi wa anachokisema,
Pili, amekuwa na siasa za chuki na kichochezi zisizovumilka kwa kila mtanzania mwenye akili timamu na mwenye kupenda amani na utulivu
Tatu, mpeni miezi mitatu tu Mbele, tayari itajidhihirisha kwamba dishi lilishaanza kuyumba kitambo tu, si bure hapo alipo
Na kama JPM kama anavyodai bwana Mbowe kwamba alikuwa na agenda ya Siri kuhakikisha kwamba Sisi wachaga hatupati ajira serikalini, na wakati Mimi nimepata ajira yangu miaka mitatu tu nyuma Kwa serikali hiyo anayosema wachaga hawakutakiwa kupewa ajira na serikali ya JPM, huo ni uwongo, Kwa vile yeye anadai serikali ya JPM ilikuwa na agenda mbaya Kwa wachaga tena Ni kwa Siri, ameshindwa nini naye kulifanya Jambo hilo kuwa ni la Siri Kwa sababu Kwa kufanya hivyo, litatuweka kwenye Amani Yetu na kudhihirisha hekima ya bwana Mbowe na kama mkongwe wa siasa za kimageuzi nchini??
Kwa nini yeye atamke waziwazi Mbele ya kada mnasi na wakati huohuo akijua aliyekuwa akifanya Jambo Hilo tayari hatuko naye duniani, amejiuliza taharuki inayoweza kutokea ambapo hata mwenye chuki na wachaga hayuko duniani,
Bwana Mbowe atapata faida ipi Sisi wachaga Tulianza kunununiana na wasukuma ili Hali mgombanishi wetu hayupo?
Kwa nini hakutaja kulimeza Hilo Jambo ambalo Kwanza ninauhakika [emoji817]% sio Kweli Bali chuki zake tu zilizosababishwa na ukwepaji Kodi wake?
Ogopa Sana mwanasiasa anapoelekea mwisho wa umarufu wake na mwisho wa kukubalika kisiasa, huamua hata kuchonganisha jamii ili ajipatie umarufu wa kijinga na kipumbavu kama anavyotaka kufanya huyu mkongwe wa siasa za upinzani aliyejizolea umaarufu kipindi cha JK.
Mbowe anaelekea kubaya, mpeni miazi yake mitano tu muone anavyovurugikiwa kichwani!!
Mbowe hawezi kuongoza watu wa Kada mbalimbali kutoka pande za Tanzania, Isipokuwa Uongozi wake inafaa aongoze watu wa kanda yake
Anasema maneno magumu Mbele ya wasukuma ambao nao wamo ndani ya Chama chake??
Hao wasukuma waliomo chamani kwake wanajisikiaje kusikia eti utawala uliokuwepo wachaga pekee hawakupewa ajira, Wakati kina mnyika mpaka Leo hii hata mishahara hawalipwi na chadema Kwa muda sasa, Magufuli kama msukuma, alishindwa nini kumfuata mnyika ili ampe hata ukurugenzi Kwa kuwa ni msukuma?
Mambo ya kipuuzi Sana haya
Mtu anamsusiaga mtu aliyekuwa na ushirikia/ mahusiano na yeye. Wewe ni ccm mpaka damu yako ni ya kijani uataanzaje kumsusia mbowe? Labda nikufundushe namna ya kutunga hoja. Hapa ulitakiwa useme kwamba nawaombeni sana wanachama wenzangu wa CCM msijiunge na Chadema ila si kuwaambia wasusie wakati hawapo ndani ya chama chetu. Mbowe shikilia hapo hapo maana wameshaanza kuchanganyikiwa 🤣🤣🤣Kwanza ninaamini Hana ushahidi wa anachokisema,
Pili, amekuwa na siasa za chuki na kichochezi zisizovumilka kwa kila mtanzania mwenye akili timamu na mwenye kupenda amani na utulivu
Tatu, mpeni miezi mitatu tu Mbele, tayari itajidhihirisha kwamba dishi lilishaanza kuyumba kitambo tu, si bure hapo alipo
Na kama JPM kama anavyodai bwana Mbowe kwamba alikuwa na agenda ya Siri kuhakikisha kwamba Sisi wachaga hatupati ajira serikalini, na wakati Mimi nimepata ajira yangu miaka mitatu tu nyuma Kwa serikali hiyo anayosema wachaga hawakutakiwa kupewa ajira na serikali ya JPM, huo ni uwongo, Kwa vile yeye anadai serikali ya JPM ilikuwa na agenda mbaya Kwa wachaga tena Ni kwa Siri, ameshindwa nini naye kulifanya Jambo hilo kuwa ni la Siri Kwa sababu Kwa kufanya hivyo, litatuweka kwenye Amani Yetu na kudhihirisha hekima ya bwana Mbowe na kama mkongwe wa siasa za kimageuzi nchini??
Kwa nini yeye atamke waziwazi Mbele ya kada mnasi na wakati huohuo akijua aliyekuwa akifanya Jambo Hilo tayari hatuko naye duniani, amejiuliza taharuki inayoweza kutokea ambapo hata mwenye chuki na wachaga hayuko duniani,
Bwana Mbowe atapata faida ipi Sisi wachaga Tulianza kunununiana na wasukuma ili Hali mgombanishi wetu hayupo?
Kwa nini hakutaja kulimeza Hilo Jambo ambalo Kwanza ninauhakika 💯% sio Kweli Bali chuki zake tu zilizosababishwa na ukwepaji Kodi wake?
Ogopa Sana mwanasiasa anapoelekea mwisho wa umarufu wake na mwisho wa kukubalika kisiasa, huamua hata kuchonganisha jamii ili ajipatie umarufu wa kijinga na kipumbavu kama anavyotaka kufanya huyu mkongwe wa siasa za upinzani aliyejizolea umaarufu kipindi cha JK.
Mbowe anaelekea kubaya, mpeni miazi yake mitano tu muone anavyovurugikiwa kichwani!!
Mbowe hawezi kuongoza watu wa Kada mbalimbali kutoka pande za Tanzania, Isipokuwa Uongozi wake inafaa aongoze watu wa kanda yake
Anasema maneno magumu Mbele ya wasukuma ambao nao wamo ndani ya Chama chake??
Hao wasukuma waliomo chamani kwake wanajisikiaje kusikia eti utawala uliokuwepo wachaga pekee hawakupewa ajira, Wakati kina mnyika mpaka Leo hii hata mishahara hawalipwi na chadema Kwa muda sasa, Magufuli kama msukuma, alishindwa nini kumfuata mnyika ili ampe hata ukurugenzi Kwa kuwa ni msukuma?
Mambo ya kipuuzi Sana haya
Kwanza ninaamini Hana ushahidi wa anachokisema,
Pili, amekuwa na siasa za chuki na kichochezi zisizovumilka kwa kila mtanzania mwenye akili timamu na mwenye kupenda amani na utulivu
Tatu, mpeni miezi mitatu tu Mbele, tayari itajidhihirisha kwamba dishi lilishaanza kuyumba kitambo tu, si bure hapo alipo
Na kama JPM kama anavyodai bwana Mbowe kwamba alikuwa na agenda ya Siri kuhakikisha kwamba Sisi wachaga hatupati ajira serikalini, na wakati Mimi nimepata ajira yangu miaka mitatu tu nyuma Kwa serikali hiyo anayosema wachaga hawakutakiwa kupewa ajira na serikali ya JPM, huo ni uwongo, Kwa vile yeye anadai serikali ya JPM ilikuwa na agenda mbaya Kwa wachaga tena Ni kwa Siri, ameshindwa nini naye kulifanya Jambo hilo kuwa ni la Siri Kwa sababu Kwa kufanya hivyo, litatuweka kwenye Amani Yetu na kudhihirisha hekima ya bwana Mbowe na kama mkongwe wa siasa za kimageuzi nchini??
Kwa nini yeye atamke waziwazi Mbele ya kada mnasi na wakati huohuo akijua aliyekuwa akifanya Jambo Hilo tayari hatuko naye duniani, amejiuliza taharuki inayoweza kutokea ambapo hata mwenye chuki na wachaga hayuko duniani,
Bwana Mbowe atapata faida ipi Sisi wachaga Tulianza kunununiana na wasukuma ili Hali mgombanishi wetu hayupo?
Kwa nini hakutaja kulimeza Hilo Jambo ambalo Kwanza ninauhakika 💯% sio Kweli Bali chuki zake tu zilizosababishwa na ukwepaji Kodi wake?
Ogopa Sana mwanasiasa anapoelekea mwisho wa umarufu wake na mwisho wa kukubalika kisiasa, huamua hata kuchonganisha jamii ili ajipatie umarufu wa kijinga na kipumbavu kama anavyotaka kufanya huyu mkongwe wa siasa za upinzani aliyejizolea umaarufu kipindi cha JK.
Mbowe anaelekea kubaya, mpeni miazi yake mitano tu muone anavyovurugikiwa kichwani!!
Mbowe hawezi kuongoza watu wa Kada mbalimbali kutoka pande za Tanzania, Isipokuwa Uongozi wake inafaa aongoze watu wa kanda yake
Anasema maneno magumu Mbele ya wasukuma ambao nao wamo ndani ya Chama chake??
Hao wasukuma waliomo chamani kwake wanajisikiaje kusikia eti utawala uliokuwepo wachaga pekee hawakupewa ajira, Wakati kina mnyika mpaka Leo hii hata mishahara hawalipwi na chadema Kwa muda sasa, Magufuli kama msukuma, alishindwa nini kumfuata mnyika ili ampe hata ukurugenzi Kwa kuwa ni msukuma?
Mambo ya kipuuzi Sana haya
Kwanza ninaamini Hana ushahidi wa anachokisema,
Pili, amekuwa na siasa za chuki na kichochezi zisizovumilka kwa kila mtanzania mwenye akili timamu na mwenye kupenda amani na utulivu
Tatu, mpeni miezi mitatu tu Mbele, tayari itajidhihirisha kwamba dishi lilishaanza kuyumba kitambo tu, si bure hapo alipo
Na kama JPM kama anavyodai bwana Mbowe kwamba alikuwa na agenda ya Siri kuhakikisha kwamba Sisi wachaga hatupati ajira serikalini, na wakati Mimi nimepata ajira yangu miaka mitatu tu nyuma Kwa serikali hiyo anayosema wachaga hawakutakiwa kupewa ajira na serikali ya JPM, huo ni uwongo, Kwa vile yeye anadai serikali ya JPM ilikuwa na agenda mbaya Kwa wachaga tena Ni kwa Siri, ameshindwa nini naye kulifanya Jambo hilo kuwa ni la Siri Kwa sababu Kwa kufanya hivyo, litatuweka kwenye Amani Yetu na kudhihirisha hekima ya bwana Mbowe na kama mkongwe wa siasa za kimageuzi nchini??
Kwa nini yeye atamke waziwazi Mbele ya kada mnasi na wakati huohuo akijua aliyekuwa akifanya Jambo Hilo tayari hatuko naye duniani, amejiuliza taharuki inayoweza kutokea ambapo hata mwenye chuki na wachaga hayuko duniani,
Bwana Mbowe atapata faida ipi Sisi wachaga Tulianza kunununiana na wasukuma ili Hali mgombanishi wetu hayupo?
Kwa nini hakutaja kulimeza Hilo Jambo ambalo Kwanza ninauhakika 💯% sio Kweli Bali chuki zake tu zilizosababishwa na ukwepaji Kodi wake?
Ogopa Sana mwanasiasa anapoelekea mwisho wa umarufu wake na mwisho wa kukubalika kisiasa, huamua hata kuchonganisha jamii ili ajipatie umarufu wa kijinga na kipumbavu kama anavyotaka kufanya huyu mkongwe wa siasa za upinzani aliyejizolea umaarufu kipindi cha JK.
Mbowe anaelekea kubaya, mpeni miazi yake mitano tu muone anavyovurugikiwa kichwani!!
Mbowe hawezi kuongoza watu wa Kada mbalimbali kutoka pande za Tanzania, Isipokuwa Uongozi wake inafaa aongoze watu wa kanda yake
Anasema maneno magumu Mbele ya wasukuma ambao nao wamo ndani ya Chama chake??
Hao wasukuma waliomo chamani kwake wanajisikiaje kusikia eti utawala uliokuwepo wachaga pekee hawakupewa ajira, Wakati kina mnyika mpaka Leo hii hata mishahara hawalipwi na chadema Kwa muda sasa, Magufuli kama msukuma, alishindwa nini kumfuata mnyika ili ampe hata ukurugenzi Kwa kuwa ni msukuma?
Mambo ya kipuuzi Sana haya
Ameshaanza kuchanganyikiwa sio bure,Kwa maneno hayo anaamini anajenga Chama, kumbe ni upumbavu tu
Kufukuzwa chuo tu mkuu ! Mandela kafungwa, tz watu wako magereza, wengine wamepigwa marisasi 36, wengine hatujui Kama wapo hai au la , Mbowe kalala gerezani mala kibao nje ya mateso mengine.Tumehubiriwa bila matokeo kwa miaka 32 sasa na hata wengine tuli fukuza chuo mwaka 1994 na UDSM kufungwa wote kufukuzwa.
Kuchelewa kupata matokeo na mabadiliko yemefanya munkari wa mageuzi upungue nguvu sana. Na sasa hivi mtu yeyote akwambiae Chadema ina nguvu Kilimanjaro kama ilivyokuwa zamani anakudanganya.