Hakuna nchi nzuri na rahisi kutafuta maisha na kupata hela kama Afrika Kusini

Mkuu mimi nakubaliana na wewe lkn shida ya kule ni Zenophobia mkuu.

Sent from my V1901A using JamiiForums mobile app
 
South africa ipi hiyo unayosemea!!?
Ile ambayo huko fb kwenye group lao masailors kila siku ni "mzee baba tanzia,mzee baba hana nauli ya kurudi,mzee baba anaumwa yu hoi"!!? au hii wanayochoma mali za wageni kila siku na kuwataka warudi makwao
Anatagaza biashara ya usafirishaji, hayo mengine aliyosema yapuuze tu
 
Niliiona yule jamaa wa jkt ruvu ana crow kinoma
 
South africa ipi hiyo unayosemea!!?
Ile ambayo huko fb kwenye group lao masailors kila siku ni "mzee baba tanzia,mzee baba hana nauli ya kurudi,mzee baba anaumwa yu hoi"!!? au hii wanayochoma mali za wageni kila siku na kuwataka warudi makwao
Shangaaa na wewe
South ipi anayoisema mzee baba@likud ?

South hiihii yakina shibekijijini
 
Au hardens
 
Lipia tangazo
 
TUTOLEE UJINGA WAKO HAPA
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…