Hakuna Pro-CCM mwenye uwezo wa kujadili mambo ya maana hadi sasa

.....wote hao WABAYA WAKOROFI,MAPANDIKIZI....isipokuwa mzalendo mmoja tu....mzalendo mh.mfalme ,mwenyekiti wa maisha Freeman Mbowe 🤣🤣
 
Ptuuuu mbakaaaa[emoji706][emoji706][emoji706][emoji706]
 
Mleta mada mjinga CCM tupo wengi tu na tuna uwezo mkubwa Sana. Msio CCM mmefanya nini nchi hii. Acha ufala.
Hahahaa umeona sasa, ona umethibitisha sasa upimbi wako!
Hao ndio aina ya watu uliowazungumzia hapo juu,wameshindwa hata kujitofautisha na hili bandiko[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Asee nimecheka sana....
 
Shida ya Chadema ni kujiona wanajua kila kitu, na wengine wote vilaza.
 
Shida ya Chadema ni kujiona wanajua kila kitu, na wengine wote vilaza.
Umesoma nilichokiandika? Umesoma ukaelewa au umesoma title ukajibu? Hebu tulia soma tena I am sure utakuja na observation na comment tofauti
 
Ptuuuu [emoji706][emoji706][emoji706][emoji706][emoji706]
 
Chadema huwa hawana soni
Ukitaka ujue hawana SONI....

Kwa muda mrefu nimechunguza TABIA ZA WENGI WA WANACHADEMA,nakumaizi HULKA ZAO....

1)Wanafunzi wa vyuo vikuu wanaoamini kuwa taifa letu ni maskini kwa sababu ya CCM-Hawa wakimaliza vyuo na kupata kazi hususani SERIKALINI ,utawagundua WAMEPOA NA KUTOKUWA TENA NA "MISHIPA YA SHINGO KISIASA"....Wakikosa kazi na kutoajiriwa ,wako wanaoendeleza CHUKI ZA KISIASA dhidi ya CCM ,pia wako wachache wanaoachana na siasa za CHADEMA na kuwa "NEUTRAL" kwa kuwekeza nguvu zao kutafuta maisha kitaa.....

Nitaendelea.......
 
Kwahiyo hizo ndo sababu za kuwa Gaidi
 
Kwahiyo huu ndio uchambuzi wako[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Unataka kusemaje? Mbona unazunguka tu? Jaribu kwenda straight kwenye hoja? Slaa, Zito na wengine wao wameondoka kwa maslahi binafsi, una swali lingine?
 
Uzi unasemaje na ww umepost nin?,mtoa post watu anaowazungumzia kwenye hii thread ww ni mmojawapo,hizi pumba zako ni za [emoji706][emoji706][emoji706][emoji706][emoji706]

Wewe naweeee, kutwa kucha mnajadili CCM mara pro CCM halafu hamtaki kutajwa.

CCM mmewashindwa huu ni muda wa kupambana na mambo yenu😆😆
 
Unataka kusemaje? Mbona unazunguka tu? Jaribu kwenda straight kwenye hoja? Slaa, Zito na wengine wao wameondoka kwa maslahi binafsi, una swali lingine?
Hao MATAGA ni small minded
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…