Hakuna Pro-CCM mwenye uwezo wa kujadili mambo ya maana hadi sasa

Hakuna Pro-CCM mwenye uwezo wa kujadili mambo ya maana hadi sasa

Mkuu eli M


Hivi Mbowe ndiye alimkaribisha Lowassa kugombea uraisi kwa tiketi ya CHADEMA? Na kwa nini walimruhusu?

Hivi kwa nini Zitto Kabwe aliondoka CHADEMA na kuanzisha chama chake?

Slaa kwa nini aliondoka CHADEMA? na sasa hivi yuko wapi?, kama Slaa alikuwa anapinga chama tawala ilikuwaje akakubali offer aliyopewa na serikali chini ya chama tawala?

Halima Mdee sasa hivi yuko wapi?
Stupidity argument. Hao walioondoka wote ni kenge...kwenye msafara wa mamba lazima wawepo! Akili za kuambiwa changanya na kamasi zako!
 
images (22).jpeg
 
Wanatumika kubaya sana
....ndio maana kwa mtu makini akizisikia TUHUMA ZA UGAIDI....hazipuuzi.....kwa makundi niliyotaja hapo juu....hakika HUWEZI KUWAPUUZA....hapohapo vijana wao wanahanikiza "MWAMBIENI MAMA YENU ,TUTAUTUMIA WEMBE ULEULE TULIOMNYOA JPM NA TUMNYOE NA YEYE"....😲😲😲

WEMBE.....
WEMBE.....
WEMBE....

Wembe gani huo ?!!
Tukiuulizia huo WEMBE ,tunajibiwa kuwa CCM hatuna uwezo wa kufikiri(diversion 🤣🤣)
 
Hao ndio aina ya watu uliowazungumzia hapo juu,wameshindwa hata kujitofautisha na hili bandiko[emoji23][emoji23][emoji23]

Wewe piga debe tupu hapo miaka 29 hamna hata mbinu za kuongoza nchi hii, hata office hamna😂😂

Mnalialia tuu na kujidekeza kama broila watoto

Mkiulizwa oooh police oooh mahakama oooh katiba mpya kha!

Mngekua mnajua mnataka nini mngeshaishika nguvu ya umma zamaaani lakini kwa utopolo mnaofanya hata mueite maandamano yanaishia twita na jf

Uliona wapi wewe wananchi 60m wanaweza kuthibitiwa na police elfu 30? Wananchi washawajua matapeli wala hawana habareeee na nyie. Labda mumwite Tundu, lema na familia zao waje waandamane😆😆😆😆

Hicho mnachokiita ukombozi hakipatikani kwa mitusi na post za twita na jf
 
Wewe piga debe tupu hapo miaka 29 hamna hata mbinu za kuongoza nchi hii, hata office hamna😂😂

Mnalialia tuu na kujidekeza kama broila watoto

Mkiulizwa oooh police oooh mahakama oooh katiba mpya kha!

Mngekua mnajua mnataka nini mngeshaishika nguvu ya umma zamaaani lakini kwa utopolo mnaofanya hata mueite maandamano yanaishia twita na jf

Uliona wapi wewe wananchi 60m wanaweza kuthibitiwa na police elfu 30? Wananchi washawajua matapeli wala hawana habareeee na nyie. Labda mumwite Tundu, lema na familia zao waje waandamane😆😆😆😆

Hicho mnachokiita ukombozi hakipatikani kwa mitusi na post za twita na jf
🤣🤣🤣
 
....ndio maana kwa mtu makini akizisikia TUHUMA ZA UGAIDI....hazipuuzi.....kwa makundi niliyotaja hapo juu....hakika HUWEZI KUWAPUUZA....hapohapo vijana wao wanahanikiza "MWAMBIENI MAMA YENU ,TUTAUTUMIA WEMBE ULEULE TULIOMNYOA JPM NA TUMNYOE NA YEYE"....😲😲😲

WEMBE.....
WEMBE.....
WEMBE....

Wembe gani huo ?!!
Tukiuulizia huo WEMBE ,tunajibiwa kuwa CCM hatuna uwezo wa kufikiri(diversion 🤣🤣)

Watatukana hapa weee ikifika 2025 wanakuja na same story za kuibiwa kura

Wewe mtu mwenye akili timamu unakua na tatizo moja miaka30 hupati suluhu!? Kama huwezi tafuta suluhu la tatizo lako kazi imekushinda achana na siasa
 
Stupidity argument. Hao walioondoka wote ni kenge...kwenye msafara wa mamba lazima wawepo! Akili za kuambiwa changanya na kamasi zako!
Nyie ndio mna akili za kushikiwa na Mbowe, mwenzenu anapiga pesa nyie mmekomaa humu hata bundle ya kusurf jf hawanunulii.... 🤣🤣 🤣🤣 🤣🤣
 
Watatukana hapa weee ikifika 2025 wanakuja na same story za kuibiwa kura

Wewe mtu mwenye akili timamu unakua na tatizo moja miaka30 hupati suluhu!? Kama huwezi tafuta suluhu la tatizo lako kazi imekushinda achana na siasa
🤣🤣
Unategemea nini chama kinachoongozwa na mfalme mwenyekiti wa maisha,DJ mjanjamjanja wa mjini ,mfanyabiashara mwekezaji wa kimataifa,mtoto wa ubatizo wa baba wa taifa huku akiwa tofauti kihulka na watoto wote wa wazazi marafiki waliopata kupendwa na baba wa taifa(familia ya Sykes,familia ya Rupia ,familia ya Hamza Mwapachu ,familia ya Dossa Aziz,familia ya Plantan)...WATOTO WA FAMILIA HIZI SI WAPINZANI....Kama wapo basi hawana upinzani wa "tug of war" na siasa hasimu alizonazo MWAMBA HUYO.....🤣
 
🤣🤣
Unategemea nini chama kinachoongozwa na mfalme mwenyekiti wa maisha,DJ mjanjamjanja wa mjini ,mfanyabiashara mwekezaji wa kimataifa,mtoto wa ubatizo wa baba wa taifa huku akiwa tofauti kihulka na watoto wote wa wazazi marafiki waliopata kupendwa na baba wa taifa(familia ya Sykes,familia ya Rupia ,familia ya Hamza Mwapachu ,familia ya Dossa Aziz,familia ya Plantan)...WATOTO WA FAMILIA HIZI SI WAPINZANI....Kama wapo basi hawana upinzani wa "tug of war" na siasa hasimu alizonazo MWAMBA HUYO.....🤣

Ukimjua muongo wala hakupi taabu😆😆😆😆
 
Mkuu eli M


Hivi Mbowe ndiye alimkaribisha Lowassa kugombea uraisi kwa tiketi ya CHADEMA? Na kwa nini walimruhusu?

Hivi kwa nini Zitto Kabwe aliondoka CHADEMA na kuanzisha chama chake?

Slaa kwa nini aliondoka CHADEMA? na sasa hivi yuko wapi?, kama Slaa alikuwa anapinga chama tawala ilikuwaje akakubali offer aliyopewa na serikali chini ya chama tawala?

Halima Mdee sasa hivi yuko wapi?
Wanafiki wote wamejichuja
 
Hili liko wazi kabisa, CCM wote ni low minded pakubwa sana, huwezi kusikia wanakuja na mijadala makini yenye maslahi kwa Taifa, huwezi kamwe kuwasikia wakijadili kuhusu hatma ya Taifa, huwezi kuwasikia wakizungumzia mapungufu ya Katiba, huwezi kuwasikia wakizungumzia kwa mfano kuhusu Ujinga wa Tozo, kupanda kwa ruzuku ya mbolea etc.

Leo hii baada ya kupinga Covid 19 Vaccination kwa nguvu, ndio wa kkwanza kupanga foleni ili wachanjwe. Leo hii hawaimbi tena kuhusu kuwekeza Chato, huwasikii tena wakizungumzia kuhusu Elimu bure!

Wao ni CHADEMA kucha kuchwa, CHADEMA na Mbowe yaani utadhani hao ndio Taifa, ndio serikali au ndio Katiba ya nchi.

Natambua uwepo wa Wana-CCM wenye akili wachache ambao kila wakijaribu kufukurukuta wanabinywa.

CCM ni chama cha wapiga soga wasiojua wanachokitaka.
Kitu cha kwanza kabisa ili uweze kuwa mfuasi kindaki ndaki wa ccm lazima hata kama ulikuwa na utimamu wa akili uuweke pembeni ubaki na fuvu tupu
 
Back
Top Bottom