Hakuna Pro-CCM mwenye uwezo wa kujadili mambo ya maana hadi sasa

Hakuna Pro-CCM mwenye uwezo wa kujadili mambo ya maana hadi sasa

Hahahahaha nasikia CCM mmekimbilia kujichanja wenyewe kimya kimya huko, Nyie watu nyie dah, mkitoka hadharani mnasema Hamtaki chanjo ya mabeberu then mnaenda kuchanjwa kimya kimya.

View attachment 1866806

Msimchukulie Rais SSH powa, ni imara zaidi ya mnavyofikiria

Chuma hunoa chuma

Wanaogawa chanjo wanavaa barakoa🚶‍♀️🚶‍♀️🚶‍♀️🚶‍♀️🚶‍♀️🚶‍♀️


 
Huko chadema ndio kuna sifa ipi kwa mfano!? Hawa majamaa hamna kitu wanaweza mwambia mtanzania mwenye akili. Watabaki huko twita, jf, wakisaidiwa na wafadhili wao CNN, BBC na wenzao

Ila kwetu sie wananchi tulio wengi tunasemaaaaa hamna kitu wanaweza kutuambia

View attachment 1866592View attachment 1866593
Akhsante sana kwa kututhibitishia ukweli wa maandishi ya mleta uzi.
 
Hahahahaha nasikia CCM mmekimbilia kujichanja wenyewe kimya kimya huko, Nyie watu nyie dah, mkitoka hadharani mnasema Hamtaki chanjo ya mabeberu then mnaenda kuchanjwa kimya kimya.

View attachment 1866806
Buddy.....

Binafsi nimekuwa ADVOCATE wa hiyo CHANJO tangu awamu ya 5.......

Nimekuwa nikisema SAYANSI na SIASA ni vitu viwili tofauti....

Binafsi nilikuwa ninaisubiria hiyo chanjo kwa hamu mno...hapa kijiweni kwangu tumeshakuwa na wadau wanaopinga hiyo chanjo kupita maelezo ila leo hii wako wengi wamebadilika......

Mimi ninausubiri utaratibu utufikie TUDUNGWE then tupambane na huo UGONJWA ili incase we contract it ,we don't step into it's complications....
 
Tunaongea kwa experience. Hali iliyopita ya miaka mitano ilikuwa jehanamu kwa kiumbe mwenye akili na dhamiri. Lakini nyie wanufaika mnaisifia sana na kuipongeza.
Pythagoras ujue unajichanganya Kaka....

Well....

Hwenda umetengeneza mentality kuwa KILA UVCCM ananufaika (kimikabala)....so if you happen to meet few of us ,u never even believe that we are such an ordinary party members who are just zealout tu!

Ninanufaika kwa kuiona amani ,utulivu na usalama wa nchi yangu ili niendelee kuuza kahawa kijiweni kwangu na siku ziende mpwa....
 
...
Msimchukulie Rais SSH powa, ni imara zaidi ya mnavyofikiria

Chuma hunoa chuma

Wanaogawa chanjo wanavaa barakoa🚶‍♀️🚶‍♀️🚶‍♀️🚶‍♀️🚶‍♀️🚶‍♀️



...CHUMA hunoa CHUMA....👊💪

Rest easy JPM ,amen🙏
 
Buddy.....

Binafsi nimekuwa ADVOCATE wa hiyo CHANJO tangu awamu ya 5.......

Nimekuwa nikisema SAYANSI na SIASA ni vitu viwili tofauti....

Binafsi nilikuwa ninaisubiria hiyo chanjo kwa hamu mno...hapa kijiweni kwangu tumeshakuwa na wadau wanaopinga hiyo chanjo kupita maelezo ila leo hii wako wengi wamebadilika......

Mimi ninausubiri utaratibu utufikie TUDUNGWE then tupambane na huo UGONJWA ili incase we contract it ,we don't step into it's complications....
Wewe ni miongoni mwa wale wana CCM wachache wanaojitambua. Good
 
Mngekua na akili mngekua mshajenga ofisi kitambo sana mil 400 kwa mwezi unaongelea billions of money kwa mwaka mngekua na ofisi saaahv. ila kwa sababu akili zmewapauka endeleeni ivo ivo mpaka mwenye ile guest awafukuze
Duuh 🤣🤣🤣
 
Nadhani sasa nilichokiongea kinazidi kuthibitika wazi kabisa, unaongea Hiki Pro CCM anakuja na kilichomo akilini mwake.
CHADEMA wanajenga ofisi zao wenyewe nchi nzima! CCM hawana hata kibanda for your own information, walipora majengo ya kipindi hicho! So you better shut up

Tulipora kutoka kwa nan? Tanu ni chadema??? Hizo ofisi za chadema kama sio watu wa ccm kuwacheka mngejenga mpaka leo? mna mdomo wa kumwambia mbowe chochote? Hata huyo mbowe mwenyewe kuachia madaraka 2023 si ni ccm wamewasaidia kuongea, Hata 2015 si ni lowasa aliwasaidia, niendelee ama niishie apa?
 
Sifa ya kwanza ya Kuwa CCM ni kuwa mhafidhina (hardliner) kwa Chama sio Taifa wala Wananchi wenzio ndio maana mengi ya ma CCM ni Majinga [emoji28]
 
Hiki chama ni cha wajanja wajanja wapigaji tu, Bahati mbaya kuna watanzania wameingia cha kike na kuwaamini. Inawezekana vipi makamu mwenyekiti anaongoza chama kupitia mitandao ya kijamii na wakati kuna wanachama wapo active hapa tz?
Chama hakina ajenda, wao ni kudakia mada mpya kila siku..
🤣🤣Ha ha ha makamu mwenyekiti anasema ATAIONGOZA kamati itakayozunguka DUNIANI kuwaambia wadau WATUNYIME MISAADA NA MIKOPO....

Najiuliza hiyo kamati itamhusisha Mdude et al ,ama watateuliwa walio ULAYA TU?

Hiyo kamati nayo ni FURSA YA KUZITUMBUA ZA WAHISANI wa Brussels 🤣🤣
 
Back
Top Bottom