Hakuna Pro-CCM mwenye uwezo wa kujadili mambo ya maana hadi sasa

Hakuna Pro-CCM mwenye uwezo wa kujadili mambo ya maana hadi sasa

Hapana, hapana, hapana, tena naomba nitake radhi, sijawahi kudharau kazi yoyote ya MTU yoyote, mimi nawaheshimu sana Barmaids, Wapiga debe na watu wote kwa ujumla, kwa hili wala sisubiri nisifiwe na MTU. Nakuheshimu sana ila tu tunaweza kutofautiana mitizamo na ndio maana huwa najadili hoja na sio watu. Naamini umenilewa. Barikiwa
Sawa mkuu....

Nilitaka kushangaa tu uliposema "ndio maana...."

Ok ndugu 👍
 
Sawa mkuu....

Nilitaka kushangaa tu uliposema "ndio maana...."

Ok ndugu 👍
Hapana hapana, tutazungumza yooote,z tutatofautiana kwenye kila kitu ila KAMWE siwezi kugusa vitu vifuatavyo, Moja, IMANI ya MTU, pili, Utu wa MTU, tatu WAZAZI! Hayo kamwe, kamwe siwezi kuyasema, nayaheshimu na ndio my Life principles, kuwa na amani sana sana. Niko very matured Mpwa. JF ni kijiwe tu cha kujengana
 
Hapana hapana, tutazungumza yooote,z tutatofautiana kwenye kila kitu ila KAMWE siwezi kugusa vitu vifuatavyo, Moja, IMANI ya MTU, pili, Utu wa MTU, tatu WAZAZI! Hayo kamwe, kamwe siwezi kuyasema, nayaheshimu na ndio my Life principles, kuwa na amani sana sana. Niko very matured Mpwa. JF ni kijiwe tu cha kujengana
Awesome .....👍

Be blessed amen!

Karibu CCM mwana....🤣
 
Hili liko wazi kabisa, CCM wote ni low minded pakubwa sana, huwezi kusikia wanakuja na mijadala makini yenye maslahi kwa Taifa, huwezi kamwe kuwasikia wakijadili kuhusu hatma ya Taifa, huwezi kuwasikia wakizungumzia mapungufu ya Katiba, huwezi kuwasikia wakizungumzia kwa mfano kuhusu Ujinga wa Tozo, kupanda kwa ruzuku ya mbolea etc.

Leo hii baada ya kupinga Covid 19 Vaccination kwa nguvu, ndio wa kkwanza kupanga foleni ili wachanjwe. Leo hii hawaimbi tena kuhusu kuwekeza Chato, huwasikii tena wakizungumzia kuhusu Elimu bure!

Wao ni CHADEMA kucha kuchwa, CHADEMA na Mbowe yaani utadhani hao ndio Taifa, ndio serikali au ndio Katiba ya nchi.

Natambua uwepo wa Wana-CCM wenye akili wachache ambao kila wakijaribu kufukurukuta wanabinywa.

CCM ni chama cha wapiga soga wasiojua wanachokitaka.
1627154717128.png


hawa apa wanaweza kujadili anza nao
 
Karibu CCM mwana....🤣
Hahahahaha nasikia CCM mmekimbilia kujichanja wenyewe kimya kimya huko, Nyie watu nyie dah, mkitoka hadharani mnasema Hamtaki chanjo ya mabeberu then mnaenda kuchanjwa kimya kimya.

IMG-20210724-WA0081.jpg
 
Mfuasi mtiifu wa Tundu 🤣🤣
Hahaha yaani Yule Braza sijui kanipa nini aisee. Sprit yake ya kufanya kazi mult-tasking ilinivutia sana.

Pale unapona mtu anakuwa chawa wa mtu ndio hivi
 
Hili liko wazi kabisa, CCM wote ni low minded pakubwa sana, huwezi kusikia wanakuja na mijadala makini yenye maslahi kwa Taifa, huwezi kamwe kuwasikia wakijadili kuhusu hatma ya Taifa, huwezi kuwasikia wakizungumzia mapungufu ya Katiba, huwezi kuwasikia wakizungumzia kwa mfano kuhusu Ujinga wa Tozo, kupanda kwa ruzuku ya mbolea etc.

Leo hii baada ya kupinga Covid 19 Vaccination kwa nguvu, ndio wa kkwanza kupanga foleni ili wachanjwe. Leo hii hawaimbi tena kuhusu kuwekeza Chato, huwasikii tena wakizungumzia kuhusu Elimu bure!

Wao ni CHADEMA kucha kuchwa, CHADEMA na Mbowe yaani utadhani hao ndio Taifa, ndio serikali au ndio Katiba ya nchi.

Natambua uwepo wa Wana-CCM wenye akili wachache ambao kila wakijaribu kufukurukuta wanabinywa.

CCM ni chama cha wapiga soga wasiojua wanachokitaka.
Ndivyo walivyo. Wanacheza kulingana na mdundo. Hawapo kwa maslahi ya taifa letu wengi wao. [emoji1303][emoji1303][emoji1303]
 
kuna kategori mbili tu ccm, Fisadi na mwimba mapambio na maskini sana wa akili na pesa. Wale wa Saizi ya kati wote hatuko huko
Sawa.....

Ila mimi si maskini wa fikra....kwa pesa ni kweli sina kama ulivyo wewe kundi la Kati kiuchumi....its undisputable....

Ninaijua vyema itikadi ya CCM ,malengo yake na historia kuntu ya nchi hii....sijali mafisadi wachache....sijali middle income wachache...wengi wa wanachama wa CCM ni wananchi wa hali ya chini kabisa(wanajivunia utanzania wao na utulivu wa taifa lao kuliko kuwa materialistic)...

Ninaitafuta RIZKI yangu halali hata Kama ndogo kupitia jasho langu na ninaridhika kulisha vitoto vyangu cha halali na wanafurahia mkuu!

#SiempreCCM
#NchiKwanza
#KaziIendelee
 
Hahahaa umeona sasa, ona umethibitisha sasa upimbi wako!

Mngekua na akili mngekua mshajenga ofisi kitambo sana mil 400 kwa mwezi unaongelea billions of money kwa mwaka mngekua na ofisi saaahv. ila kwa sababu akili zmewapauka endeleeni ivo ivo mpaka mwenye ile guest awafukuze
 
Hebu mtafakari mh.Mbowe....

Mfikirie vyema tu kuwa yeye ,kamati kuu na Dr.Slaa walikuwa na MKUTANO MKUBWA ULIOFANA pale Mwembeyanga Temeke.....

Mkutano ule wa hadhara uliibuka na kiitwacho "LIST OF SHAME"...ya kwamba CCM imetamalaki mafisadi wanaoitafuna nchi yetu....wakamshambulia Sana mh.Laigwanan E.N.Lowassa.....

Miaka michache baadaye WALIMPOKEA mh.Lowassa na KUMSAFISHA kwa zile tuhuma walizotoa.....

Mh.Mbowe aliongoza "KUPIGA DEKI" huko kwa kusema "AMEBADILI GIA ANGANI"[emoji1787]

KUBADILI HUKO GIA ANGANI kukamfanya Dr.Slaa AIKIMBIE NCHI na kusema HAWEZI KUGEUKA tambara la kusafisha uchafu......
[emoji115][emoji115][emoji115][emoji115][emoji115][emoji115][emoji115][emoji115][emoji115]

Hii ndiyo CHADEMA YA MH.MBOWE....

Wakati wao wakiisema CCM imeishiwa na kupauka ,WAZEE WA GIA ANGANI wanakuachia "maswali mengi yasiyo majibu".......

#KaziIendelee
#SiempreCCM
Hiki chama ni cha wajanja wajanja wapigaji tu, Bahati mbaya kuna watanzania wameingia cha kike na kuwaamini. Inawezekana vipi makamu mwenyekiti anaongoza chama kupitia mitandao ya kijamii na wakati kuna wanachama wapo active hapa tz?
Chama hakina ajenda, wao ni kudakia mada mpya kila siku..
 
Sawa.....

Ila mimi si maskini wa fikra....kwa pesa ni kweli sina kama ulivyo wewe kundi la Kati kiuchumi....its undisputable....

Ninaijua vyema itikadi ya CCM ,malengo yake na historia kuntu ya nchi hii....sijali mafisadi wachache....sijali middle income wachache...wengi wa wanachama wa CCM ni wananchi wa hali ya chini kabisa(wanajivunia utanzania wao na utulivu wa taifa lao kuliko kuwa materialistic)...

Ninaitafuta RIZKI yangu halali kupitia jasho langu na ninaridhika kulisha vitoto vyangu cha halali na wanafurahi mkuu!

#SiempreCCM
#NchiKwanza
#KaziIendelee
Mwanaccm maslahi.
 
Mngekua na akili mngekua mshajenga ofisi kitambo sana mil 400 kwa mwezi unaongelea billions of money kwa mwaka mngekua na ofisi saaahv. ila kwa sababu akili zmewapauka endeleeni ivo ivo mpaka mwenye ile guest awafukuze
Nadhani sasa nilichokiongea kinazidi kuthibitika wazi kabisa, unaongea Hiki Pro CCM anakuja na kilichomo akilini mwake.
CHADEMA wanajenga ofisi zao wenyewe nchi nzima! CCM hawana hata kibanda for your own information, walipora majengo ya kipindi hicho! So you better shut up
 
Sawa.....

Ila mimi si maskini wa fikra....kwa pesa ni kweli sina kama ulivyo wewe kundi la Kati kiuchumi....its undisputable....

Ninaijua vyema itikadi ya CCM ,malengo yake na historia kuntu ya nchi hii....sijali mafisadi wachache....sijali middle income wachache...wengi wa wanachama wa CCM ni wananchi wa hali ya chini kabisa(wanajivunia utanzania wao na utulivu wa taifa lao kuliko kuwa materialistic)...

Ninaitafuta RIZKI yangu halali hata Kama ndogo kupitia jasho langu na ninaridhika kulisha vitoto vyangu cha halali na wanafurahi mkuu!

#SiempreCCM
#NchiKwanza
#KaziIendelee
Jumbe, wacha kujishusha kiasi Hiki please, don't take it too personal, ni mijadala ya afya ya akili tu. Asante kunielewa
 
Mwanaccm maslahi.
Unaweza kusema lolote mkuu....

Hivi huko ukiwaona akina MDUDE NYAGALI na uzalendo/uthubutu alionao basi mnajua UVCCM wote wamejaa "vitambi" tu,wako kimaslahi tu....notion ya hovyo kabisa....mkuu huku kuna GREEN GUARD pia....endelea kujifurahisha nafsi yako....
 
Unaweza kusema lolote mkuu....

Hivi huko ukiwaona akina MDUDE NYAGALI na uzalendo/uthubutu alionao basi mnajua UVCCM wote wamejaa "vitambi" tu,wako kimaslahi tu....notion ya hovyo kabisa....mkuu huku kuna GREEN GUARD pia....endelea kujifurahisha nafsi yako....
Tunaongea kwa experience. Hali iliyopita ya miaka mitano ilikuwa jehanamu kwa kiumbe mwenye akili na dhamiri. Lakini nyie wanufaika mnaisifia sana na kuipongeza.
 
Ha ha ha 🤣🤣Laigwanan El Comandante ENL hakuwahi kuvaa KOMBATI kila uchao mpaka anarudi Lumumba.....

Siku ile anapokewa tena na kipenzi chetu hayati JPM kwa furaha alisema maneno machache tu:

1)Assalaam alaykum
2)Tumsifu Yesu Kristu
3)Nimerudi nyumbani msiniulize kwanini.

AKAMALIZA
*******************

Premier mstaafu Sumaye yeye alisema aliamua kuondoka baada ya kuambiwa"SUMU HAIONJWI...."

Maneno hayo "YALITAMKA NA KIONGOZI MMOJA MKUBWA KABISA HUKO CHADEMA.... "

Sumu gani hiyo ?!!!

Kwa hiyo MDUDE akisema "nitautumia tena WEMBE...." Basi tunaunganisha DOTS na kubaki na maswali kichwani......🤣🤣


SUMU HAIONJWI - dikteta wa cdm
 
Hili liko wazi kabisa, CCM wote ni low minded pakubwa sana, huwezi kusikia wanakuja na mijadala makini yenye maslahi kwa Taifa, huwezi kamwe kuwasikia wakijadili kuhusu hatma ya Taifa, huwezi kuwasikia wakizungumzia mapungufu ya Katiba, huwezi kuwasikia wakizungumzia kwa mfano kuhusu Ujinga wa Tozo, kupanda kwa ruzuku ya mbolea etc.

Leo hii baada ya kupinga Covid 19 Vaccination kwa nguvu, ndio wa kkwanza kupanga foleni ili wachanjwe. Leo hii hawaimbi tena kuhusu kuwekeza Chato, huwasikii tena wakizungumzia kuhusu Elimu bure!

Wao ni CHADEMA kucha kuchwa, CHADEMA na Mbowe yaani utadhani hao ndio Taifa, ndio serikali au ndio Katiba ya nchi.

Natambua uwepo wa Wana-CCM wenye akili wachache ambao kila wakijaribu kufukurukuta wanabinywa.

CCM ni chama cha wapiga soga wasiojua wanachokitaka.
Mbona mmeshindwa kuwatoa madarakani? 🙄
 
Sijajishusha mkuu wangu....

Nimemjibu huyo swahiba....

Tatizo wengi wetu tunapenda kufeki maisha humu JF.....

Ikitokea mtu anaongea ukweli ,masela wanashangaa nope haitakiwi kuwa hivyo....

Bora mimi msema ukweli kuliko wana wanaosembeza kifeki 🤣🤣

Ukweli wangu utawafundisha vijana wenzangu WASIOTAKA KUHURSTLE shughuli za chini....KWA KUONA AIBU 🤣

Kuna kitabu cha baba wa taifa kinaitwa TUJISAHIHISHE....humo Kuna mengi aliongea.....

Peace compatriot!
Jumbe, wacha kujishusha kiasi Hiki please, don't take it too personal, ni mijadala ya afya ya akili tu. Asante kunielewa
 
Back
Top Bottom