mimiamadiwenani
JF-Expert Member
- Mar 9, 2022
- 5,718
- 7,784
- Thread starter
-
- #81
Kiranga hukuwahi kuanguka chooni kweli utotoni?Kwani kuna ulazima gani wa kunyamazisha watu wasitoe maoni yao?
Hoja inapingwa kwa hoja. Hujatoa hoja, unanyamazisha hoja.
Wewe unayeniambia mimi kwa nini nisiwe napita kimya tu, mbona wewe mwenyewe umeshindwa kupita kimya tu?
A hominem et non sequitur.Kiranga hukuwahi kuanguka chooni kweli utotoni?
Unaweza kuongea kiswahili tafadhali?A hominem et non sequitur.
Mkuu Waswahili wanasema"Ukiona vyaelea VIMEUNDWA"Unathibitishaje ulimwengu huu umeumbwa na Mungu?
Unajua kwamba ulimwengu kuwa haujajiumba wenyewe si lazima uwe umeumbwa na Mungu.
wewe mungu wako ni yupi?Siri ya kufanikiwa kiuchumi ni kuenenda katika HAKI!
Kwenye Biblia hakuna tajiri yeyote aliyemuambia Mungu "naomba unipe utajiri" na akapata, never na sijaona andiko hilo kwa mwenye nalo alilete.
Wajanja walishaachaga kuomba utajiri. Kumbuka, Ufalme wa Mungu hutekwa na WENYE NGUVU NA MAARIFA. Yatafute sana maarifa.
Mkristo na hata Muislam hutakiwi kuomba utajiri wala mafanikio ya mwili. Ombea adui zako, fanya kazi kwa maarifa na uyatafute popote yatakapopatikana. Narudia, popote yatakapopatikana.
Mungu anajua wewe unahitaji nini! Anakujua kuliko unavyojijua. Anajua haja ya moyoni mwako.
Tembea humo humo ili baraka zake ndizo zikupe utajiri. Naam, baraka za kuishika haki na kuifuata.
Kamwe usiombe Mungu akupe sijui mavazi mazuri[emoji38], magari, hela n.k[emoji10]
Wewe fanya aliyoyaagiza tu utaona mambo yatakavyojipa. Huna haja ya kumpigia kelele kumuomba hela!
Tafuta sana neno la kweli lililofichwa karne na karne, na baadhi ya hawa Wachungaji na uanze kuliishi, narudia, NENO LA KWELI.
Chukua hiyo!
Kiranga nitafurahi mno siku nikionana nawe live! Nina shauku mno ya kukuona Kiranga!A hominem et non sequitur.
Ni BWANA, muumba wa mbingu na nchi.wewe mungu wako ni yupi?
utajiri hupi huo unaoanzia rohoni kisha mwilini?Kanuni za kuwa tajiri zinajulikana. Utajiri huanzia rohoni ndipo huja mwilini
Kwani uko wapi mkuu?Kiranga nitafurahi mno siku nikionana nawe live! Nina shauku mno ya kukuona Kiranga!
Mimi niko Dar es SalaamKwani uko wapi mkuu?
Hapo Mzizima kwetu tutakutana tu.Mimi niko Dar es Salaam
Ukiweza fanya kila liwezekanalo uje huku. Miongoni mwa watu humu JF nina ndoto za kuonana nao live, wa kwanza ni wewe Kiranga.Hapo Mzizima kwetu tutakutana tu.
Tatizo langu kila nikitaka kuja likizo, ndugu zangu nao wanakuja likizo huku hivyo nashindwa kuja.
Siku hizi hata kupanga miadi ya kuja naogopa uongo.
Kwa unavyoniona mimi nataka nije nianzishe TV Show mkuu!Ukiweza fanya kila liwezekanalo uje huku. Miongoni mwa watu humu JF nina ndoto za kuonana nao live, wa kwanza ni wewe Kiranga.
Kiranga unaamini katika uchawi/ndumba?Kwa unavyoniona mimi nataka nije nianzishe TV Show mkuu!
Siamini katika kuamini, let alone uchawi/ndumba.Kiranga unaamini katika uchawi/ndumba?
Nimekuelewa mkuu[emoji120]Siamini katika kuamini, let alone uchawi/ndumba.
Umenielewa hapo?
Ni kufru siyo?Sijasoma ila kichwa juu chajieleza kua bado na mitihani yote na kheri zoote kuna watu wanajiona wanapata wanacho pata kwa akili na nguvu zao sawa muda utaongea
Fafanua Mkuu.Kanuni za kuwa tajiri zinajulikana. Utajiri huanzia rohoni ndipo huja mwilini
Creation - making something out of nothingKwanza kabisa hujathibitisha huyo Mungu yupo.