Hakuna Team ya Mpira Duniani iliyokuwa na mafanikio wakati Flani/Sasa hivi bila kuwa na Uongozi Mzuri

Hakuna Team ya Mpira Duniani iliyokuwa na mafanikio wakati Flani/Sasa hivi bila kuwa na Uongozi Mzuri

Ulichosema ni sahihi kabisa. Ukiwa na uongozi wenye maono na kujielewa ni rahisi kufanya vizuri kwenye hiyo field uliyopo na sio football peke yake. Unanikumbusha Chelsea yangu chini ya chairman wake Bruce Buck huyu jamaa amejitahidi sana kuiongoza Chelsea kutawala mpira wa uingereza na ulaya kwa vipindi kadhaa kabla hawajaingia matapeli wa kimarekani sasa hii timu inaonekana kama midtable.

Mijamaa inaonekana haishauriki kwa chochote na ukiwa na kiherehere unatoka kabisa. Uongoxi mbovu halafu hauna maono kabisa zaidi tu wana idea
 
Ulichosema ni sahihi kabisa. Ukiwa na uongozi wenye maono na kujielewa ni rahisi kufanya vizuri kwenye hiyo field uliyopo na sio football peke yake. Unanikumbusha Chelsea yangu chini ya chairman wake Bruce Buck huyu jamaa amejitahidi sana kuiongoza Chelsea kutawala mpira wa uingereza na ulaya kwa vipindi kadhaa kabla hawajaingia matapeli wa kimarekani sasa hii timu inaonekana kama midtable.

Mijamaa inaonekana haishauriki kwa chochote na ukiwa na kiherehere unatoka kabisa. Uongoxi mbovu halafu hauna maono kabisa zaidi tu wana idea
Well Said Mkuu👊
 
Fraga mtoe labda Jana una chuku binafsi. Mo nitapeli labda yanga ikikamilisha uwekezaji Simba ndio watashtuka.Kila siku alikuwa analalamika anakwamisha uwekezaji lakini alikuwa anataka hati ya jengo la Simba huku akijua zoezi halijakamilika.
Sasa hivi Simba imechuma Billion 2 za Robo fainali club bingwa, huwezi kusikia Mo anaziongelea.

Anatia kibindoni.

Jezi imejaa matangazo yake ya Mo Assurance, Mo Dewji Foundation, Mo29 na MoExtra huwezi kusikia anatoa kiasi gani.

Kila siku yeye analalamika na kutia huruma kupata hasara.
 
Shida ya mashabiki na wanachama wa Simba haya huwa yanaibuka timu yenu ikifungwa ila mkishimda utasikia tunamtaka mamelod, sisi level zetu Al ahly.

Kwenye mikutano wanaenda wazee tu wakuitikia ndio na bahati mbaya hamnaga reasoning kabisa ndo maana wachezaji mloshindwa kuwasajili mnalejewa kwenye mikutano mkuu🤔
 
Back
Top Bottom