Music production ya sasa kila mtu anawezafanya ila kwa zamani ilikuwa lazima ujue kutumia vyombo so producers wa zamani tuwape heshima yao maana waliproduce kwa uwezo wao na product zilikuwa na ubunifu na ubora mkubwa sana kuliko hizi copy & paste za leo. Siku hizi kuna dum loops ambazo hata kipofu anatumia na anaunda mdundo mzuri tu! Njoo inbox nikupe loops ukaunde beatz then uone kama utarudi hapa kumsifia huyo s2kizzyTechnically Zombie kamuacha mbali sana Masta jei wataalam wa muziki wananielewa
Kuna loops, unaset tempo tu kitu kimo! Hakuna producer kwa sasa, ni ubabaishaji mtupu.Vijna wa siku hizi hayo hawayajui wanachojua ni Amapiano nayo pia ni Sampling tu
Zamani walitumia Fruits Loops Ile ya Fl 5, Fl 6 na Fl 7 FL 8 ilikuja Miaka ya 2009 hivi kwa waliotumia FL na Nuendo na zile plugin Nyingine (VST) za FL studio kutumia Vinanda na Drums kutafuta Chords..Music production ya sasa kila mtu anawezafanya ila kwa zamani ilikuwa lazima ujue kutumia vyombo so producers wa zamani tuwape heshima yao maana waliproduce kwa uwezo wao na product zilikuwa na ubunifu na ubora mkubwa sana kuliko hizi copy & paste za leo. Siku hizi kuna dum loops ambazo hata kipofu anatumia na anaunda mdundo mzuri tu! Njoo inbox nikupe loops ukaunde beatz then uone kama utarudi hapa kumsifia huyo s2kizzy
Huu sasa ushabiki maandazi ,hata Diamond Platnumz mwenyewe akiona hapa atashangaa.View attachment 2891931
S2kizzy aka Zombie ni producer mkali kuliko Master Jay.
Zombie ambaye ni Grammy nominated mara kadhaa na kafanya nyimbo ambazo ana international hits kuzidi Master Jay ambaye alikuwa akimiliki studio ya MJ production ambayo alitumia wataalam wa kutengeneza muziki kama Maron linje, Profesa Ludigo, Maundi na wengine kadhaa uku akiweka sign yake kwenye nyimbo aonekane kazitengeneza yeye.
Naandika haya ili kumpa maua yake S2kizzyy ili jamii ijue ukubwa alionao kuzidi mkongwe Master Jay ambaye tunamheshimu licha ya kuwa mzee mwenye mihemko sana anaependa kutrend ambae ana historia mbaya ya kutumia wasanii wa kike kama Shaa akiwarubuni kwa studio time.
Zombie apewe heshima yake sio kila aliyetangulia anamzidi wa sasa lazima tuelezane ukweli.
Nakubaliana na weweMaster J ni mtu wa kulinganishwa na Mika Mwamba, P Funk Majani,
Kizazi cha akina Chino Kidi bila shaka 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣umezaliwa mwaka gani mkuu??
Peleka Facebook.View attachment 2891931
S2kizzy aka Zombie ni producer mkali kuliko Master Jay.
Zombie ambaye ni Grammy nominated mara kadhaa na kafanya nyimbo ambazo ana international hits kuzidi Master Jay ambaye alikuwa akimiliki studio ya MJ production ambayo alitumia wataalam wa kutengeneza muziki kama Maron linje, Profesa Ludigo, Maundi na wengine kadhaa uku akiweka sign yake kwenye nyimbo aonekane kazitengeneza yeye.
Naandika haya ili kumpa maua yake S2kizzyy ili jamii ijue ukubwa alionao kuzidi mkongwe Master Jay ambaye tunamheshimu licha ya kuwa mzee mwenye mihemko sana anaependa kutrend ambae ana historia mbaya ya kutumia wasanii wa kike kama Shaa akiwarubuni kwa studio time.
Zombie apewe heshima yake sio kila aliyetangulia anamzidi wa sasa lazima tuelezane ukweli.
😂😂😂😂😂😂kipindi tunakua ktk mabishano ya nani anaweza kula bajia nyingi kuliko wengine,mpuuzi mmoja akaropoka kwamba yeye akiwekewa bajia zikajaa bodi ya landrover akaachiwa sehemu ya kukaa tu,anamaliza.
kwa sasa baada ya umri kwenda ndio najua,mabishano yale yalikuwa sponsored by njaa😂😂.
kwa sasa kuna watu wanaamimi kabisa producer bora anapatikana WCB tu,
msanii mwenye pesa hata za kukopesha serikali ni diamond platnumz.
hata hii mada imeletwa kwa hisani ya ujinga.
Nimepitia Comments humu ndani kijana funga hii thread umepigwa MAKONZI MAZITO SANAView attachment 2891931
S2kizzy aka Zombie ni producer mkali kuliko Master Jay.
Zombie ambaye ni Grammy nominated mara kadhaa na kafanya nyimbo ambazo ana international hits kuzidi Master Jay ambaye alikuwa akimiliki studio ya MJ production ambayo alitumia wataalam wa kutengeneza muziki kama Maron linje, Profesa Ludigo, Maundi na wengine kadhaa uku akiweka sign yake kwenye nyimbo aonekane kazitengeneza yeye.
Naandika haya ili kumpa maua yake S2kizzyy ili jamii ijue ukubwa alionao kuzidi mkongwe Master Jay ambaye tunamheshimu licha ya kuwa mzee mwenye mihemko sana anaependa kutrend ambae ana historia mbaya ya kutumia wasanii wa kike kama Shaa akiwarubuni kwa studio time.
Zombie apewe heshima yake sio kila aliyetangulia anamzidi wa sasa lazima tuelezane ukweli.
Mkuu hadi wewe team hiyo lakini umemkataa basi kweli mwana kapuyanga sanaHuu sasa ushabiki maandazi ,hata Diamond Platnumz mwenyewe akiona hapa atashangaa.
Siku zote hance kwenye ukweli atasema ushabiki anaweka pembeniMkuu hadi wewe team hiyo lakini umemkataa basi kweli mwana kapuyanga sana
Umeona Tony rashid alivyochezea huko ubelgiji jamaa angemua hukoPeleka Facebook.
[emoji122][emoji122][emoji122][emoji122]View attachment 2891931
S2kizzy aka Zombie ni producer mkali kuliko Master Jay.
Zombie ambaye ni Grammy nominated mara kadhaa na kafanya nyimbo ambazo ana international hits kuzidi Master Jay ambaye alikuwa akimiliki studio ya MJ production ambayo alitumia wataalam wa kutengeneza muziki kama Maron linje, Profesa Ludigo, Maundi na wengine kadhaa uku akiweka sign yake kwenye nyimbo aonekane kazitengeneza yeye.
Naandika haya ili kumpa maua yake S2kizzyy ili jamii ijue ukubwa alionao kuzidi mkongwe Master Jay ambaye tunamheshimu licha ya kuwa mzee mwenye mihemko sana anaependa kutrend ambae ana historia mbaya ya kutumia wasanii wa kike kama Shaa akiwarubuni kwa studio time.
Zombie apewe heshima yake sio kila aliyetangulia anamzidi wa sasa lazima tuelezane ukweli.
Toni bwege tu tofauti na alivyokuwa mwanzoni.Umeona Tony rashid alivyochezea huko ubelgiji jamaa angemua huko
Ova
Una hamu sana kuikalia mashine yangu ntakuchana sirembiPeleka Facebook.