Gulio Tanzania
JF-Expert Member
- Jan 30, 2018
- 3,325
- 7,807
Huyu Burna boy ni balaa kwa sasa kwanza anajiita giant yani mkubwa anashow yake mwezi sita netherland uwanja wa mpira tayari ticket zimeshaisha tiketi moja ni laki mbiliEmbu mpe burna boy heshima yake kuanzia kwenye utunzi,mziki mzuri , performance kwenye stage hakuna wakumfikia sasahivi hapa africa
Hii comment nimeitafuta Sana sijui ilikuwa imejificha wapiMpiga kelele huwa simuelewi kivile huyo..
Enewei ni majibu ya kafara ya mwanae 🤫
Basi mtakuwa na ugonjwa, kasikilize feel, risk na hata no competition ft asakeHii comment nimeitafuta Sana sijui ilikuwa imejificha wapi
Overated!? Davido ni kama Ali Kiba tu alivyokuwa anashanga_shangaa Diamond akawa juu yake. Ndivyo Burna Boy alivyofanya.Overrated tu, ila huezi mshindanisha na wizzy au Davido
Burna naona alikua vizuri kwa kipindi Fulani ila sio LEGEND
Burna boy ni mkali ila kwa obo atasubiriHuyu Burna boy ni balaa kwa sasa kwanza anajiita giant yani mkubwa anashow yake mwezi sita netherland uwanja wa mpira tayari ticket zimeshaisha tiketi moja ni laki mbili
BurNa Boy ni complete package. Kwa sasa hakuna kama yeye kwa stage performance.Msanii anaeweza kujaza uwanja wa mpira ulaya we unasema overrated angalia show hiyo ya Burna boy ndio utajua huyu jamaa ni mwanamziki ana power sana show zake zote anafanya live na band masaa ata matatu sound imetulia tofauti na hao wengine
Angalia hii
Una chekesha Sana, mtu hebu kasikilize over Dem, uone huyo burna boy alivyochanwaOverated!? Davido ni kama Ali Kiba tu alivyokuwa anashanga_shangaa Diamond akawa juu yake. Ndivyo Burna Boy alivyofanya.
Dah ni hatarii, mtu siku ya 1 ana streams 10m audio Mack, wakati wasanii wetu miaka 2 wanna streams 20mJamaa wako mbali sana hawa
Hapa kwetu kuna shida, roho mbaya na chuki zinatukosesha mambo mengiDah ni hatarii, mtu siku ya 1 ana streams 10m audio Mack, wakati wasanii wetu miaka 2 wanna streams 20m
Angalau album ya only one king ya alikiba ilifanya vizuri chart za africaHapa kwetu kuna shida, roho mbaya na chuki zinatukosesha mambo mengi
Ilifanya nini? ebu lete data zakeAngalau album ya only one king ya alikiba ilifanya vizuri chart za africa
Ipo hapohapo mkuu, kafara ya damu malipo yake ni makubwa mno.Hii comment nimeitafuta Sana sijui ilikuwa imejificha wapi
Unajua population ya WaNaija inacheza kwenye million 200, hapo hujazungumzia Diaspora waliotapakaa duniani kote na influence waliyonayo kwa watu wa jamii nyingine wenye mahusiano nao. Huwezi kuwalaumu wasanii wetu, at least wameonesha njia kwa Afrika Mashariki yetu.Dah ni hatarii, mtu siku ya 1 ana streams 10m audio Mack, wakati wasanii wetu miaka 2 wanna streams 20m
Yeah no kweli mkuuUnajua population ya WaNaija inacheza kwenye million 200, hapo hujazungumzia Diaspora waliotapakaa duniani kote na influence waliyonayo kwa watu wa jamii nyingine wenye mahusiano nao. Huwezi kuwalaumu wasanii wetu, at least wameonesha njia kwa Afrika Mashariki yetu.
Haswaaaah Patoranking hana nyotaa, ila nyimbo zake ni kaliii mnoooo.Kuna mwamba anaitwa Patoranking huyu mwamba Huwa namkubali sana.Ila nyota ni kitu kingine make anajuwa sana ila ndo hivo.
Dance hall flani za kinyama Kama my woman, abule ni 🔥🔥Haswaaaah Patoranking hana nyotaa, ila nyimbo zake ni kaliii mnoooo.
Jamaa ni moto ana flow flan kama Jamaican yaan anakuja halafu anapotea unyama kwenye wimbo alioshirikiswha na Simi ebwana weeeeee.Dance hall flani za kinyama Kama my woman, abule ni [emoji91][emoji91]