Hakuna umuhimu wa kuoa mke mfanyakazi. Labda kwa waliofeli maisha wafanye hivyo wasije kufa njaa

Hakuna umuhimu wa kuoa mke mfanyakazi. Labda kwa waliofeli maisha wafanye hivyo wasije kufa njaa

Mwamuzi wa Tanzania

JF-Expert Member
Joined
Apr 7, 2020
Posts
15,486
Reaction score
45,256
Hello!
Ofisi yetu ya umma ina mabinti zaidi ya 20, iko Dar es salaam.
Kati ya hao mabinti zaidi ya 20 mabinti zaidi ya 10 kila mtumishi anajua kuwa bosi kawapitia. Hapo hatujahesabu wengine ambao aliweza kutembea nao kwa siri zaidi.
Kati ya hawa mabinti wapo wake za watu na wachumba wa watu .
Kuna mapenzi mengine baina ya mfanyakazi na mfanyakazi, mfanyakazi na mkuu wa kitengo chake.
Kitendo cha mwanamke kukaa ofisni na mwanaume ambaye si mune wake masaa zaidi ya 8 hakina afya. Kuna binti mmoja katoka kwenye honey money tu akataka anitunuku.
Kwa ujumla sioni umuhimu wa kuoa mke mfanyakazi.
Hakuna umuhimu wowote.
Watoto wengi wa wanawake wanaofanya kazi si wa waume zao. Kama unabisha kapime DNA. Sura za watoto wengi zimegoma kulandana na baba zao.
Wanawake wafanyakazi wana tamaa kubwa sana ya fedha ukilinganisha na wamama wa nyumbani.
 
Hello!
Ofisi yetu ya umma ina mabinti zaidi ya 20, iko Dar es salaam.
Kati ya hao mabinti zaidi ya 20 mabinti zaidi ya 10 kila mtumishi anajua kuwa bosi kawapitia. Hapo hatujahesabu wengine ambao aliweza kutembea nao kwa siri zaidi.
Kati ya hawa mabinti wapo wake za watu na wachumba wa watu .
Kuna mapenzi mengine baina ya mfanyakazi na mfanyakazi, mfanyakazi na mkuu wa kitengo chake.
Kitendo cha mwanamke kukaa ofisni na mwanaume ambaye si mune wake masaa zaidi ya 8 hakina afya. Kuna binti mmoja katoka kwenye honey money tu akataka anitunuku.
Kwa ujumla sioni umuhimu wa kuoa mke mfanyakazi.
Hakuna umuhimu wowote.
Watoto wengi wa wanawake wanaofanya kazi si wa waume zao. Kama unabisha kapime DNA. Sura za watoto wengi zimegoma kulandana na baba zao.
Wanawake wafanyakazi wana tamaa kubwa sana ya fedha ukilinganisha na wamama wa nyumbani.

Kama mkeo ni wa tabia hizo hatashindwa kumtunuku House boy wenu; kumuonjesha boda wenu na kumpenda jirani yenu!
 
Kama mtu una mahela yako yanaingia vizuri tu. Nyumba za kutosha unakusanya kodi za mamilioni, mabiashara ya mamilioni na mabilioni. Unafungia mke ndani, au Unaajiri mke kwenye biashara zako ila kazi anazofanya muda wote anakuwa 0 distance.

Vitabu vya dini vinataka mke akae ndani.



Ila hayo masuala hayana formula
 
Hello!
Ofisi yetu ya umma ina mabinti zaidi ya 20, iko Dar es salaam.
Kati ya hao mabinti zaidi ya 20 mabinti zaidi ya 10 kila mtumishi anajua kuwa bosi kawapitia. Hapo hatujahesabu wengine ambao aliweza kutembea nao kwa siri zaidi.
Kati ya hawa mabinti wapo wake za watu na wachumba wa watu .
Kuna mapenzi mengine baina ya mfanyakazi na mfanyakazi, mfanyakazi na mkuu wa kitengo chake.
Kitendo cha mwanamke kukaa ofisni na mwanaume ambaye si mune wake masaa zaidi ya 8 hakina afya. Kuna binti mmoja katoka kwenye honey money tu akataka anitunuku.
Kwa ujumla sioni umuhimu wa kuoa mke mfanyakazi.
Hakuna umuhimu wowote.
Watoto wengi wa wanawake wanaofanya kazi si wa waume zao. Kama unabisha kapime DNA. Sura za watoto wengi zimegoma kulandana na baba zao.
Wanawake wafanyakazi wana tamaa kubwa sana ya fedha ukilinganisha na wamama wa nyumbani.
Sasa mkuu dunia ya sahv sio ya 2014 kurudi nyuma enz za jakaya Yani inao
PASWA wote kutoka maghetoni

Sema mkuu naunga Hoja mwanamke akikaa nyumbani ni bora zaidi. Itapunguza ukali wa yeye kumwegwa
 
kinachouma zaidi siyo yeye kuliwa, bali kusakiziwa na kulea matoto ambayo siyo yako, lakini msemo wako kuoa mfanyakazi hiyo ni balaa na nusu,
hakuna taasisi yoyote ambayo hawakulani, swali ni je hakuna wake za watu humo, tafakari chukua hatua
 
Back
Top Bottom