Mzee wa kupambania
JF-Expert Member
- Aug 14, 2022
- 21,111
- 53,092
Baltasar's 3rd law of relationship
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu wakati dunia ikiwa ina watu wawili tu, bado Eva alipata fursa ya kuyajenga na Ibilisi, sembuse duniaHello!
Ofisi yetu ya umma ina mabinti zaidi ya 20, iko Dar es salaam.
Kati ya hao mabinti zaidi ya 20 mabinti zaidi ya 10 kila mtumishi anajua kuwa bosi kawapitia. Hapo hatujahesabu wengine ambao aliweza kutembea nao kwa siri zaidi.
Kati ya hawa mabinti wapo wake za watu na wachumba wa watu .
Kuna mapenzi mengine baina ya mfanyakazi na mfanyakazi, mfanyakazi na mkuu wa kitengo chake.
Kitendo cha mwanamke kukaa ofisni na mwanaume ambaye si mune wake masaa zaidi ya 8 hakina afya. Kuna binti mmoja katoka kwenye honey money tu akataka anitunuku.
Kwa ujumla sioni umuhimu wa kuoa mke mfanyakazi.
Hakuna umuhimu wowote.
Watoto wengi wa wanawake wanaofanya kazi si wa waume zao. Kama unabisha kapime DNA. Sura za watoto wengi zimegoma kulandana na baba zao.
Wanawake wafanyakazi wana tamaa kubwa sana ya fedha ukilinganisha na wamama wa nyumbani.
Mke wangu ni kama pua, nataka kamasi nipengee mwenyewe, akipengea mwingine nanuna.Tatizo mie sioni hapo. Mwanamke kugegeda sii ndio aliumbiwa hicho Sasa wee Hutaki mkeo agegedwe na wanaume wengine? Why Hutaki? Acha roho mbaya wewe mizuri kula na wenzio
😀😀😀😀Huu uzi utafanya watu waanze kutazama watoto wao kwa jicho la tatu
Mbona hata wamama wa nyumbani wanaliwa mtindo mmoja?Hello!
Ofisi yetu ya umma ina mabinti zaidi ya 20, iko Dar es salaam.
Kati ya hao mabinti zaidi ya 20 mabinti zaidi ya 10 kila mtumishi anajua kuwa bosi kawapitia. Hapo hatujahesabu wengine ambao aliweza kutembea nao kwa siri zaidi.
Kati ya hawa mabinti wapo wake za watu na wachumba wa watu .
Kuna mapenzi mengine baina ya mfanyakazi na mfanyakazi, mfanyakazi na mkuu wa kitengo chake.
Kitendo cha mwanamke kukaa ofisni na mwanaume ambaye si mune wake masaa zaidi ya 8 hakina afya. Kuna binti mmoja katoka kwenye honey money tu akataka anitunuku.
Kwa ujumla sioni umuhimu wa kuoa mke mfanyakazi.
Hakuna umuhimu wowote.
Watoto wengi wa wanawake wanaofanya kazi si wa waume zao. Kama unabisha kapime DNA. Sura za watoto wengi zimegoma kulandana na baba zao.
Wanawake wafanyakazi wana tamaa kubwa sana ya fedha ukilinganisha na wamama wa nyumbani.
View attachment 3145425
Wala hamna shida wee karibu pm tupange foursome uje na wako tuenjoy vizuri mwanawane maisha ndio haya hayaNitunuku basi wa kwako tushee upendo
Haaaa haaaaa eti tukajiona wajanja'Wanawake ni viumbe dhaifu sana, Mungu alipogawa majukumu ya KE na ME, tulimuona huyu ni kama wakuja sio😁. Mwanamke kazi yake ni KUZAA na KULEA tu na kutunza familia na mume wake. sisi tukajiona wajanja kuzidi aliyewaumba sio, acha tuvune tulichopanda😂.
🤣Nimependa ulivyo jibu Umejibu kiume mwanawane hujapanick.Wala hamna shida wee karibu pm tupange foursome uje na wako tuenjoy vizuri mwanawane maisha ndio haya haya
Ah wee unapanic kisa mkeo kuliwa huo ni umama....mwanaume wa kweli amamwambia bby nipe basi style uliyompa huyo jamaa alafu tumkaribishe basi chumba I kwetu so u enjoy both of us at once🤣Nimependa ulivyo jibu Umejibu kiume mwanawane hujapanick.
Huwezi kukikimbia kivuli chako shika hiyo nukta.Wanaume tu wabinafsi sana, hamuwaoni wanawake kama binadamu kama ninyi, wewe ukiambiwa ukae ndani utaletewa kila kitu na mkeo utakubali??
Kila mtu anapenda uhuru, afanye kazi aingize kipato na sio kua ombaomba, mume ukikata moto au ukisafiri ama kuyumba kiuchumi ndo familia imekwisha ivo.
Kama kuna mahali unahisi hauko vizuri basi kwasababu hiyo mkeo atakucheat basi rekebisha ili uondoe uoga.
YesHuwezi kukikimbia kivuli chako shika hiyo nukta.
kila kiumbe kimeumbwa na hulka yake kama ilivyo wanaume kutongoza wanawake na kuku kukimbizana kwenye lile jambo lao.
Ukweli usiopingika wanaume tupo kwa ajili ya kuzipambania familia zetu na kukuta dume linajisifu kwa kugawana majukumu ya familia hapo tunakuona wewe mzazi wa hovyo.
mahusiano yaliyo mengi huanza na mazoea kifuatacho kubadilishana namba na hitimisho mitongozano