Hakuna umuhimu wa kuoa mke mfanyakazi. Labda kwa waliofeli maisha wafanye hivyo wasije kufa njaa

Hakuna umuhimu wa kuoa mke mfanyakazi. Labda kwa waliofeli maisha wafanye hivyo wasije kufa njaa

Hello!
Ofisi yetu ya umma ina mabinti zaidi ya 20, iko Dar es salaam.
Kati ya hao mabinti zaidi ya 20 mabinti zaidi ya 10 kila mtumishi anajua kuwa bosi kawapitia. Hapo hatujahesabu wengine ambao aliweza kutembea nao kwa siri zaidi.
Kati ya hawa mabinti wapo wake za watu na wachumba wa watu .
Kuna mapenzi mengine baina ya mfanyakazi na mfanyakazi, mfanyakazi na mkuu wa kitengo chake.
Kitendo cha mwanamke kukaa ofisni na mwanaume ambaye si mune wake masaa zaidi ya 8 hakina afya. Kuna binti mmoja katoka kwenye honey money tu akataka anitunuku.
Kwa ujumla sioni umuhimu wa kuoa mke mfanyakazi.
Hakuna umuhimu wowote.
Watoto wengi wa wanawake wanaofanya kazi si wa waume zao. Kama unabisha kapime DNA. Sura za watoto wengi zimegoma kulandana na baba zao.
Wanawake wafanyakazi wana tamaa kubwa sana ya fedha ukilinganisha na wamama wa nyumbani.
Mkuu wakati dunia ikiwa ina watu wawili tu, bado Eva alipata fursa ya kuyajenga na Ibilisi, sembuse dunia
hii ya sasa yenye wakazi wapatao bilioni 8!?

Tambua kuwa ndoa ni "partnership" tu, na pia kuwa figa moja haliwezi kuegema chungu. Hata maandiko yanakwambia ishi na mkeo kwa akili, maarifa, pamoja na hekima. Unawasema wanawake wa maofisini ambao wanaweza kuliwa papuchi na mabosi ama wenza wao wa kazi!

Je! Vipi kuhusu akina mama wa nyumbani kuliwa na madeteva wa bodaboda, wachuuzi wa masokoni, watembeza vipodozi na ukataji wq kucha, wauza mitumba, n.k.

They are all exposed to similar risks, Suala ni la mke kujitambua na kuilinda heshima yake. Haijalishi eneo analo ishi ama kufanyika kazi.
 
Kila mahali tabu iko pale pale,mtaani hadi makanisani mambo ni mabaya.
Kuhusu makazini kuna kundi kubwa sana lina megwa kwasababu tu ya mazoea wala sio pesa.
Kuna wake za watu tunafanya nao kazi wanapenda sana story za kunjunjana, inabidi uamue kuheshimu waume zao hata kama huwajui, maana wanawake wenyewe beki zote zimekula red, wako open for use
 
Kuna Halmashauri fulani Dar niliacha kazi baada ya mizengwe kazini ambayo chanzo ni boss kuhisi nina mahusiano na binti ambaye yeye boss alikuwa anamtaka.

Huyo jamaa amechakata 90% ya wafanyakazi wa kike walio chini yake na amewatongoza wengine wengi.

Makazini kuna ndoa na mahusiano holela sana.
 
Wanaume tu wabinafsi sana, hamuwaoni wanawake kama binadamu kama ninyi, wewe ukiambiwa ukae ndani utaletewa kila kitu na mkeo utakubali??

Kila mtu anapenda uhuru, afanye kazi aingize kipato na sio kua ombaomba, mume ukikata moto au ukisafiri ama kuyumba kiuchumi ndo familia imekwisha ivo.

Kama kuna mahali unahisi hauko vizuri basi kwasababu hiyo mkeo atakucheat basi rekebisha ili uondoe uoga.
 
Hello!
Ofisi yetu ya umma ina mabinti zaidi ya 20, iko Dar es salaam.
Kati ya hao mabinti zaidi ya 20 mabinti zaidi ya 10 kila mtumishi anajua kuwa bosi kawapitia. Hapo hatujahesabu wengine ambao aliweza kutembea nao kwa siri zaidi.
Kati ya hawa mabinti wapo wake za watu na wachumba wa watu .
Kuna mapenzi mengine baina ya mfanyakazi na mfanyakazi, mfanyakazi na mkuu wa kitengo chake.
Kitendo cha mwanamke kukaa ofisni na mwanaume ambaye si mune wake masaa zaidi ya 8 hakina afya. Kuna binti mmoja katoka kwenye honey money tu akataka anitunuku.
Kwa ujumla sioni umuhimu wa kuoa mke mfanyakazi.
Hakuna umuhimu wowote.
Watoto wengi wa wanawake wanaofanya kazi si wa waume zao. Kama unabisha kapime DNA. Sura za watoto wengi zimegoma kulandana na baba zao.
Wanawake wafanyakazi wana tamaa kubwa sana ya fedha ukilinganisha na wamama wa nyumbani.
View attachment 3145425
Mbona hata wamama wa nyumbani wanaliwa mtindo mmoja?
 
Wanawake ni viumbe dhaifu sana, Mungu alipogawa majukumu ya KE na ME, tulimuona huyu ni kama wakuja sio😁. Mwanamke kazi yake ni KUZAA na KULEA tu na kutunza familia na mume wake. sisi tukajiona wajanja kuzidi aliyewaumba sio, acha tuvune tulichopanda😂.
Haaaa haaaaa eti tukajiona wajanja'
na leo wanataka 50 kwa 50 na siku wakiambukizana huu ujinga kwa kiwango kikubwa basi nchi nyingi watatawala wao
 
Wanaume tu wabinafsi sana, hamuwaoni wanawake kama binadamu kama ninyi, wewe ukiambiwa ukae ndani utaletewa kila kitu na mkeo utakubali??

Kila mtu anapenda uhuru, afanye kazi aingize kipato na sio kua ombaomba, mume ukikata moto au ukisafiri ama kuyumba kiuchumi ndo familia imekwisha ivo.

Kama kuna mahali unahisi hauko vizuri basi kwasababu hiyo mkeo atakucheat basi rekebisha ili uondoe uoga.
Huwezi kukikimbia kivuli chako shika hiyo nukta.
kila kiumbe kimeumbwa na hulka yake kama ilivyo wanaume kutongoza wanawake na kuku kukimbizana kwenye lile jambo lao.
Ukweli usiopingika wanaume tupo kwa ajili ya kuzipambania familia zetu na kukuta dume linajisifu kwa kugawana majukumu ya familia hapo tunakuona wewe mzazi wa hovyo.
mahusiano yaliyo mengi huanza na mazoea kifuatacho kubadilishana namba na hitimisho mitongozano
 
Huwezi kukikimbia kivuli chako shika hiyo nukta.
kila kiumbe kimeumbwa na hulka yake kama ilivyo wanaume kutongoza wanawake na kuku kukimbizana kwenye lile jambo lao.
Ukweli usiopingika wanaume tupo kwa ajili ya kuzipambania familia zetu na kukuta dume linajisifu kwa kugawana majukumu ya familia hapo tunakuona wewe mzazi wa hovyo.
mahusiano yaliyo mengi huanza na mazoea kifuatacho kubadilishana namba na hitimisho mitongozano
Yes
Kila mwanaume anajua kuwa ukaribu mwisho wake ni kupelekeana moto.
Mwanamke anayefanya kazi hana namna ya kukwepa ukaribu na wanaume wengine wengi. So mke mfanyakazi oa lakini jua tu kuwa huna ndoa
 
Back
Top Bottom