Nas Mapesa
JF-Expert Member
- Jul 31, 2014
- 5,286
- 5,421
Mambo ya kujifanya tunajua kuliko MUNGU haya ndio majibu yakeWanaume tu wabinafsi sana, hamuwaoni wanawake kama binadamu kama ninyi, wewe ukiambiwa ukae ndani utaletewa kila kitu na mkeo utakubali??
Kila mtu anapenda uhuru, afanye kazi aingize kipato na sio kua ombaomba, mume ukikata moto au ukisafiri ama kuyumba kiuchumi ndo familia imekwisha ivo.
Kama kuna mahali unahisi hauko vizuri basi kwasababu hiyo mkeo atakucheat basi rekebisha ili uondoe uoga.
🤣Mkuu mkuu ogopa technolojiaAh wee unapanic kisa mkeo kuliwa huo ni umama....mwanaume wa kweli amamwambia bby nipe basi style uliyompa huyo jamaa alafu tumkaribishe basi chumba I kwetu so u enjoy both of us at once
Sasa Naelewa kwanini Huyu wa kwangu alikuwa na karibu sana padriAh wee unapanic kisa mkeo kuliwa huo ni umama....mwanaume wa kweli amamwambia bby nipe basi style uliyompa huyo jamaa alafu tumkaribishe basi chumba I kwetu so u enjoy both of us at once
Kuna Boss mmoja mhaya anatembeza rungu kwa wafanyakazi wa kike,kabaki kidogo amalize wanawake ofisi nzima.
Wanawake wa maofisini hawafai,mkiona vijana hawapapatiki na habari ya kuoa siku hizi msijiulize saana
Haujamuelewa mtoa mada, kwani amesema wote ?!! Sio wote LAKINI WENGI WANATOMBWAAAAIts not always the fact...ume-generalize sana andiko lako.
Mimi nimefanya kazi ofisi ya Uma,kuna pisi zinatembea na maboss,na kuwa pisi nyingine zinajiheshimu.
50/50 mpango wa shetani kuharibu taasisi ya Ndoa na familia kiujumla.Haaaa haaaaa eti tukajiona wajanja'
na leo wanataka 50 kwa 50 na siku wakiambukizana huu ujinga kwa kiwango kikubwa basi nchi nyingi watatawala wao
Mzee huwezi mchunga mtu mzima, si ajabu hujamkuta bikra, umemuoa akiwa na labda 24 yrs, kamaliza chuo tayari halafu wewe uanze kumchunga , utafeli.Huwezi kukikimbia kivuli chako shika hiyo nukta.
kila kiumbe kimeumbwa na hulka yake kama ilivyo wanaume kutongoza wanawake na kuku kukimbizana kwenye lile jambo lao.
Ukweli usiopingika wanaume tupo kwa ajili ya kuzipambania familia zetu na kukuta dume linajisifu kwa kugawana majukumu ya familia hapo tunakuona wewe mzazi wa hovyo.
mahusiano yaliyo mengi huanza na mazoea kifuatacho kubadilishana namba na hitimisho mitongozano