Mafinga hapo mjini cha mtoto ukitaka balaa ingia ndani huko ndo utakutana na balaa lenyewe .Nilishawahi kufika Mafinga tena ilikuwa ni July aisee nilioga siku ya kwanza tu siku zingine 5 sikuoga nilifikia pale Lutheran VTC baridi mnoo kwanza niliposhuka tu kwenye gari nikaitupa ile juice niliyoinunua nikanunua gloves na mzura lakini wapiii mpaka naondoka pale nikaenda kuoga Mbeya mjini, na kuna sehemu kule Mbeya kama unaenda Tunduma panaitwa kwa Mpemba napo ni ๐ฅถ
Anziaa pale chuo cha Mafinga ile barabara nyooka nayo Hadi NSSF utaona mapoksi na vichupa vya ARV za kutosha vimetupwa.
Boda boda si nchi nzima ndo ajira hiyo ๐๐Kama huko napo kuna bodaboda bado unamshauri kija a atoke mjini aje kutafuta maisha huko?
Niliwah kukaa hapo nikiwa shule Kwa miaka 4, nikaja kupita last year, baridi imepungua sn compare na those days 2000 - 2005, nakumbuka mvua za barafu zilikuwa zinanyesha Mpaka teacher anasimamisha kipindi but now namiss sn kuishi maeneo hayo Mishe Tu zinatubana huku Dar, ( Kawawa JKT)
Vijana wa Dar baridi kidogo tu mnalia.
Ila Mtibeli siku hizi ukoje kwani? Khaaaah
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kuna siku nimetoka DSM nawahi Njombe nikapanda IT nimeshuka Makambako saa 7 usiku ,,,halafu nilitoka na sweta la kibishoo ile siku nilikoma nililala na viatu gesti yaani noma aisee.Niliwahi kulala pale Njombe nikaagiza chai mimi nikabugia kwa sababu sikuona ikitoa moshi, kuja kuamka asubuhi mdomoni nimejaa vidonda kama vyote kumbe ilikuwa ya moto na mimi sikuhisi chochote kwa sababu ya baridi kali
Sent from my TECNO BC1 using JamiiForums mobile app
Niliwahi kulala pale Njombe nikaagiza chai mimi nikabugia kwa sababu sikuona ikitoa moshi, kuja kuamka asubuhi mdomoni nimejaa vidonda kama vyote kumbe ilikuwa ya moto na mimi sikuhisi chochote kwa sababu ya baridi kali
Sent from my TECNO BC1 using JamiiForums mobile app
Hivi mademu wana majotoridi, eeh!Huku Mafinga huku, Bila Mke hutoboi
Pale mafinga ipo Kali sana inavumilika Kuna makete, niliwahi kumsindikiza Odo wangu Shule inaitwa lupalilo huyu mtoto alisoma week tu akaaga mashindano๐๐๐
Hivi mademu wana majotoridi, eeh!
kwa hiyo mwendo wa kunikishana vikwapa tuu usubuhi1. Tembea duniani ukutane na baridi. Ya Mafinga cha mtoto.
2. Niliwahi kuishi Lesotho baridi mpaka Maji kwenye mabomba yanaganda. Mambomba hayatoi maji.
Kwani hujaenda na wizooo? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Huku Mafinga huku, Bila Mke hutoboi
๐๐ Aisee na baridi lile inakuja fimbo ya mgongo๐๐๐
Hata kidato cha sita wanaoenda Jeshini pale Mafinga Moto unawawakiaga