Hakuna watu wenye roho mbaya kama watu kutoka Asia

Hakuna watu wenye roho mbaya kama watu kutoka Asia

Japokuwa watu Usema kuwa wanzungu wana roho mbayaa za ubaguzi hasa kwa watu weusi huu ni uongo kabisa kwasisi ambao tunaishi katika nchi za wazungu tunaona tabia za mataifa mbali mbali
Ukweli ni kwamba hakuna watu wabaguzi na wenye roho mbaya kama watu kutoka bara la Asia
Hawa watu wana roho mbaya hasa hasa waarabu na ,wahindi, mpaka Sasa imefikia kipindi wameanza kubagua wenye nchi wenyewe
Muhindi akiwa supervisor kazini tegemea asilimia kubwa ya wafanyakazi waapo watakuwa wahindi tu
Na mwaarabu akiwa na kacheo fulani kazini anaweza kukutafutia sababu yeyote akufukuze ili achukuwe wa kwao
Na mzungu akiwa na cheo kazini
Tegemea wafanyakazi wa mataifa mbali mbali watakuwepo hapo mzungu anachojali nacho kwa mtu ni experiance yake na juudi zake hana haweki utaifa mbele kama hawa wenzetu kutoka asia
Ni kweli wana roho mbaya bt hawajatufikia sisi waafrika.
 
Dunia hii hakuna Kampuni zozote zile ambazo zina watu wenye diversity kushinda za Kiarabu.

Gusa kampuni yoyote ile unakuta CEO mzungu, ofisa fulani mhindi, Msaidizi wa Colombia, katibu mchina etc.

Mfano kampuni yenu ya Dp world angalia Exec wake hapa

Hata Hapa Tanzania Waarabu wengi kampuni zao zina diversity za maana.

Ni mpuuzi tu ndio anafkiri unaweza ukawa successfull level ya MO, ama Bakhresa kwa kuendekeza ubaguzi.

Mambo haya ya ubaguzi yapo huko serikalini ambapo unaweza ukawa mzembe miaka hata 10 hakuna wa kukugusa.
Mwarabu ujanjawa wake ni mmoja tuu. Anajijua yeye hana akili lakini kabarikiwa mafuta. So weka mzungu mwenye akili maisha ya songe.
Sasa njoo kwa sie watz....akili hatuna baada ya kukubali ukweli wa mambo tumkabidhi mzungu afanye mambo sie tuwe tunagegedana tuu eti tu atunisha misuli kujidai kuendesha mambo. Ujanja kuwahi...mzungu Alisha tuwahi kitambooooo.
 
Wachunguze vizuri hao Wataliano na Wafaransa walioondoka kwao wakaja kuishi ulipokwenda wewe, utakuta wana asili za Kiarabu. Hilo ni 98%.

Wewe una prejudice zako tu kwa kuwa u kondoo uliyejazwa ujinga ukakujaa.
Niliona clip moja waarabu wa Gaza wanagawa chakula cha msaada, alipofika mwafrica tena muislam wakamnyima mgao kwa kumruka na kuendelea kuwapa weupe tu. Hii Ina ukweli asilimia 100. Wahindi hata mishahara wanawalipa kwa ubaguzi hata kama mna sifa sawa wahindi wenzao hulipwa zaidi, kwenye makampuni yao.
 
Niliona clip moja waarabu wa Gaza wanagawa chakula cha msaada, alipofika mwafrica tena muislam wakamnyima mgao kwa kumruka na kuendelea kuwapa weupe tu. Hii Ina ukweli asilimia 100. Wahindi hata mishahara wanawalipa kwa ubaguzi hata kama mna sifa sawa wahindi wenzao hulipwa zaidi, kwenye makampuni yao.
Upuuzi tu huo wa Mitandaoni.

Za kuambiwa changanya na zako.

Waarabu tunaishi nao kabla hatujawa Tanganyika, wengi wajomba zetu, hatujauona huo ujinga mnaousambaza.
 
Kwani kifungo cha edit kipo kwa kazi gani?

Ukondoo huo.
Mtu akisha kunukuu, ngoma haichenjiki hata uedit.

Na mimi tangu nilipokosea spelling ukanambia shule nilienda kusomea ujinga, nakufuatilia maandishi yako neno kwa neno kuliko unavyodhani.

Ndiyo namwambia yule kakujanjarusha, ilitakiwa upigwe na ma'kusomea ujinga' yako kwanza ndiyo akushitue. Kakosea sana.
 
Mwarabu ujanjawa wake ni mmoja tuu. Anajijua yeye hana akili lakini kabarikiwa mafuta. So weka mzungu mwenye akili maisha ya songe.
Sasa njoo kwa sie watz....akili hatuna baada ya kukubali ukweli wa mambo tumkabidhi mzungu afanye mambo sie tuwe tunagegedana tuu eti tu atunisha misuli kujidai kuendesha mambo. Ujanja kuwahi...mzungu Alisha tuwahi kitambooooo.
Naona hata Bakhresa ana kisima cha mafuta nyumbani kwake.
 
Nilishafanya kaz ya Uoperator wa mitambo nchi moja ya kiarabu, alooo jamaa ni wabaguzi halafu ukiwa dini tofauti na wao wanakuona kama mnyama
 
Back
Top Bottom