Hakuna watu wenye roho mbaya kama watu kutoka Asia

Hakuna watu wenye roho mbaya kama watu kutoka Asia

Umekosea, ulitakiwa umpige kimya kimya, sasa kakuzidi ujanja keshasahihisha.

Nilipoona ukimkosoa, haraka sana nikakimbilia kwenda kuua nyani kwa kutumia aina yake ya swali, nikakuta hola.
But quote haieditiwi bwana...ipo vilevile

Huko shule mlienda kujifunza ujinga!🤣
 
But quote haieditiwi bwana...ipo vilevile

Huko shule mlienda kujifunza ujinga!🤣
Kwake akiedit inabadilika lakini kwenye quote yako haibadiliki sawa.

Sasa ukimshitua anaweza kujibaraguza kwa wale ambao walikuwa hawajayasoma makosa yake.

Nd'onikakwambia ulitakiwa umtandike na makusomea ujinga yake wakati ukimsahihisha.

Mi shamwambia kabisa, hata makosa ya panctuation marks lazima ntampiga nalo usoni kudadeki.
 
Kwake akiedit inabadilika lakini kwenye quote yako haibadiliki sawa.

Sasa ukimshitua anaweza kujibaraguza kwa wale ambao walikuwa hawajayasoma makosa yake.

Nd'onikakwambia ulitakiwa umtandike na makusomea ujinga yake wakati ukimsahihisha.

Mi shamwambia kabisa, hata makosa ya panctuation marks lazima ntampiga nalo usoni kudadeki.
Ngoma bila. Kulewa tutaichezaje?

Pekechu, pekechu, pekechu.

Mpaka chiini, mpaka chiiiiniiiii.
 
Kwake akiedit inabadilika lakini kwenye quote yako haibadiliki sawa.

Sasa ukimshitua anaweza kujibaraguza kwa wale ambao walikuwa hawajayasoma makosa yake.

Nd'onikakwambia ulitakiwa umtandike na makusomea ujinga yake wakati ukimsahihisha.

Mi shamwambia kabisa, hata makosa ya panctuation marks lazima ntampiga nalo usoni kudadeki.
Ngoma bila. Kulewa tutaichezaje?

Pekechu, pekechu, pekechu.

Mpaka chiini, mpaka chiiiiniiiii.
 
Mwarabu ujanjawa wake ni mmoja tuu. Anajijua yeye hana akili lakini kabarikiwa mafuta. So weka mzungu mwenye akili maisha ya songe.
Sasa njoo kwa sie watz....akili hatuna baada ya kukubali ukweli wa mambo tumkabidhi mzungu afanye mambo sie tuwe tunagegedana tuu eti tu atunisha misuli kujidai kuendesha mambo. Ujanja kuwahi...mzungu Alisha tuwahi kitambooooo.
🤣🤣🤣
 
Ukipita sehemu nyingi za huduma za serikali,wengi ni wachaga ila ndio umri umwaenda,
ila ukienda Arusha ndio utajiuliza kwanini mkoa ni mdogo lami nyingi na hawataki madini ya manyara yauzwe Manyara.
Ila waasia ni kama sisi tu pangu pakavu ndio maana makatili.
 
Japokuwa watu Usema kuwa wanzungu wana roho mbayaa za ubaguzi hasa kwa watu weusi huu ni uongo kabisa kwasisi ambao tunaishi katika nchi za wazungu tunaona tabia za mataifa mbali mbali.

Ukweli ni kwamba hakuna watu wabaguzi na wenye roho mbaya kama watu kutoka bara la Asia.

Hawa watu wana roho mbaya hasa hasa waarabu na ,wahindi, mpaka Sasa imefikia kipindi wameanza kubagua wenye nchi wenyewe.

Muhindi akiwa supervisor kazini tegemea asilimia kubwa ya wafanyakazi waapo watakuwa wahindi tu.

Na mwaarabu akiwa na kacheo fulani kazini anaweza kukutafutia sababu yeyote akufukuze ili achukuwe wa kwao
Na mzungu akiwa na cheo kazini.

Tegemea wafanyakazi wa mataifa mbali mbali watakuwepo hapo mzungu anachojali nacho kwa mtu ni experiance yake na juudi zake hana haweki utaifa mbele kama hawa wenzetu kutoka asia.

Mzungu ni muelewa sana pia ni mvumilivu hasa hasa wa Italiano na wafaransa hawa watu wana roho nzuri
Kwenye appartement za wahindi ukiona mtu mweusi labda awe na asili ya kwao
Hili liko wazi mbona
 
Mwarabu ujanjawa wake ni mmoja tuu. Anajijua yeye hana akili lakini kabarikiwa mafuta. So weka mzungu mwenye akili maisha ya songe.
Sasa njoo kwa sie watz....akili hatuna baada ya kukubali ukweli wa mambo tumkabidhi mzungu afanye mambo sie tuwe tunagegedana tuu eti tu atunisha misuli kujidai kuendesha mambo. Ujanja kuwahi...mzungu Alisha tuwahi kitambooooo.
Hio ndio akili yenyewe mkuu, hata wazungu na wao kuna vitu wanajua hawaviwezi wanawapa mataifa mengine, ukiangalia mambo ya Tech mengi yanafanywa na jamii za China, Korea, Japan, Taiwan etc ukienda Kazi za Umeneja nyingi wanapewa wahindi ndio MA CEO na Vitengo vingine, WA Iran wamejaa kwenye R&D, Waarabu wanapewa umiliki kama Investors etc.
 
Waarabu wabaguzi sana mfano mzuri ni hawa dada zetu wanaoteseka Saudia
Waarabu wana mila ya kuona mtu mweusi ni mtumwa. Yaani kama mtu anavyosema anatafuta dada wa kazi wao wanasema nimeagiza mtumwa kutoka Afrika. Na pia wana imani kuwa mtumwa ni lazima ateseke na amwogope anayemfanyia kazi. Kuna dada mmoja alikuwa anasema alipokuwa Saudia mke wa tajiri aliyekuwa anamfanyia kazi alikuwa anakwenda chooni anajisaidia halafu anatoka na kumwambia aka-flush. Hebu fikiria mama zima linaweka makimba chooni halafu linakuambia uende ku-flush. Mwarabu na mhindi (japo siyo wote) watajinyenyesha kwako wakati wanaona wanapata kitu. Watu ambao hawana ubaya ni wajapani. Wachina nao wana ka-ubaguzi kwa watu weusi.
 
Kwa kuwa umezoeshwa uvivu na uzembe ndiyo unawaona hivyo.

Wachapa kazi hao, mzembe lazima uwachukie.

Au umeshajazwa ujinga wa kuwa mzungu ndiyo mungu wako.
Huwezi fananisha wazungu na waarabu washindi na WACHINA hawa wana roho mbaya sana na ni wabaguzi sana.
 
Back
Top Bottom