Wakisemwa warabu unachukia au kisa wamekuletea din ya mnyeezmunguKufikiria mtu ana roho nzuri na mbaya ni "abstract prejudice" siyo reality.
Wewe fata yako, roho yake iwe nzuri au mbaya inakusaidia nini?
Abstract.Ngoja nikuwekee top 5 ya wabaguzi
1. Mtu Mweusi
2. Mrusi
3. Mhindi
4. Mwarabu
5. Mzungu
Alichokosa mtu mweusi ni uchumi mzuri tu.
Ni kweli wana roho mbaya bt hawajatufikia sisi waafrika.Japokuwa watu Usema kuwa wanzungu wana roho mbayaa za ubaguzi hasa kwa watu weusi huu ni uongo kabisa kwasisi ambao tunaishi katika nchi za wazungu tunaona tabia za mataifa mbali mbali
Ukweli ni kwamba hakuna watu wabaguzi na wenye roho mbaya kama watu kutoka bara la Asia
Hawa watu wana roho mbaya hasa hasa waarabu na ,wahindi, mpaka Sasa imefikia kipindi wameanza kubagua wenye nchi wenyewe
Muhindi akiwa supervisor kazini tegemea asilimia kubwa ya wafanyakazi waapo watakuwa wahindi tu
Na mwaarabu akiwa na kacheo fulani kazini anaweza kukutafutia sababu yeyote akufukuze ili achukuwe wa kwao
Na mzungu akiwa na cheo kazini
Tegemea wafanyakazi wa mataifa mbali mbali watakuwepo hapo mzungu anachojali nacho kwa mtu ni experiance yake na juudi zake hana haweki utaifa mbele kama hawa wenzetu kutoka asia
Umekosea, ulitakiwa umpige kimya kimya, sasa kakuzidi ujanja keshasahihisha.Kweli mganga hajigangi..
Soma ulivyoandika Tena🤣
Kwani kifungo cha edit kipo kwa kazi gani?Umekosea, ulitakiwa umpige kimya kimya, sasa kakuzidi ujanja keshasahihisha.
Nilipoona ukimkosoa, haraka sana nikakimbilia kuua myani kwa kutumia aina yake ya swali, nikakuta hola.
Mwarabu ujanjawa wake ni mmoja tuu. Anajijua yeye hana akili lakini kabarikiwa mafuta. So weka mzungu mwenye akili maisha ya songe.Dunia hii hakuna Kampuni zozote zile ambazo zina watu wenye diversity kushinda za Kiarabu.
Gusa kampuni yoyote ile unakuta CEO mzungu, ofisa fulani mhindi, Msaidizi wa Colombia, katibu mchina etc.
Mfano kampuni yenu ya Dp world angalia Exec wake hapa
Leadership
Discover the leadership behind DP World. Meet the experienced DP World board & management team driving global trade and logistics innovation.www.dpworld.com
Hata Hapa Tanzania Waarabu wengi kampuni zao zina diversity za maana.
Ni mpuuzi tu ndio anafkiri unaweza ukawa successfull level ya MO, ama Bakhresa kwa kuendekeza ubaguzi.
Mambo haya ya ubaguzi yapo huko serikalini ambapo unaweza ukawa mzembe miaka hata 10 hakuna wa kukugusa.
Niliona clip moja waarabu wa Gaza wanagawa chakula cha msaada, alipofika mwafrica tena muislam wakamnyima mgao kwa kumruka na kuendelea kuwapa weupe tu. Hii Ina ukweli asilimia 100. Wahindi hata mishahara wanawalipa kwa ubaguzi hata kama mna sifa sawa wahindi wenzao hulipwa zaidi, kwenye makampuni yao.Wachunguze vizuri hao Wataliano na Wafaransa walioondoka kwao wakaja kuishi ulipokwenda wewe, utakuta wana asili za Kiarabu. Hilo ni 98%.
Wewe una prejudice zako tu kwa kuwa u kondoo uliyejazwa ujinga ukakujaa.
Upuuzi tu huo wa Mitandaoni.Niliona clip moja waarabu wa Gaza wanagawa chakula cha msaada, alipofika mwafrica tena muislam wakamnyima mgao kwa kumruka na kuendelea kuwapa weupe tu. Hii Ina ukweli asilimia 100. Wahindi hata mishahara wanawalipa kwa ubaguzi hata kama mna sifa sawa wahindi wenzao hulipwa zaidi, kwenye makampuni yao.
Mtu akisha kunukuu, ngoma haichenjiki hata uedit.Kwani kifungo cha edit kipo kwa kazi gani?
Ukondoo huo.
Naona hata Bakhresa ana kisima cha mafuta nyumbani kwake.Mwarabu ujanjawa wake ni mmoja tuu. Anajijua yeye hana akili lakini kabarikiwa mafuta. So weka mzungu mwenye akili maisha ya songe.
Sasa njoo kwa sie watz....akili hatuna baada ya kukubali ukweli wa mambo tumkabidhi mzungu afanye mambo sie tuwe tunagegedana tuu eti tu atunisha misuli kujidai kuendesha mambo. Ujanja kuwahi...mzungu Alisha tuwahi kitambooooo.
Wewe nawe tumia akili bwana....Naona hata Bakhreza ana kisima cha mafuta nyunbani kwake.