Hakuna watu wenye roho mbaya kama watu kutoka Asia

Umekosea, ulitakiwa umpige kimya kimya, sasa kakuzidi ujanja keshasahihisha.

Nilipoona ukimkosoa, haraka sana nikakimbilia kwenda kuua nyani kwa kutumia aina yake ya swali, nikakuta hola.
But quote haieditiwi bwana...ipo vilevile

Huko shule mlienda kujifunza ujinga!🤣
 
But quote haieditiwi bwana...ipo vilevile

Huko shule mlienda kujifunza ujinga!🤣
Kwake akiedit inabadilika lakini kwenye quote yako haibadiliki sawa.

Sasa ukimshitua anaweza kujibaraguza kwa wale ambao walikuwa hawajayasoma makosa yake.

Nd'onikakwambia ulitakiwa umtandike na makusomea ujinga yake wakati ukimsahihisha.

Mi shamwambia kabisa, hata makosa ya panctuation marks lazima ntampiga nalo usoni kudadeki.
 
Ngoma bila. Kulewa tutaichezaje?

Pekechu, pekechu, pekechu.

Mpaka chiini, mpaka chiiiiniiiii.
 
Ngoma bila. Kulewa tutaichezaje?

Pekechu, pekechu, pekechu.

Mpaka chiini, mpaka chiiiiniiiii.
 
🤣🤣🤣
 
Ukipita sehemu nyingi za huduma za serikali,wengi ni wachaga ila ndio umri umwaenda,
ila ukienda Arusha ndio utajiuliza kwanini mkoa ni mdogo lami nyingi na hawataki madini ya manyara yauzwe Manyara.
Ila waasia ni kama sisi tu pangu pakavu ndio maana makatili.
 
Hili liko wazi mbona
 
Hio ndio akili yenyewe mkuu, hata wazungu na wao kuna vitu wanajua hawaviwezi wanawapa mataifa mengine, ukiangalia mambo ya Tech mengi yanafanywa na jamii za China, Korea, Japan, Taiwan etc ukienda Kazi za Umeneja nyingi wanapewa wahindi ndio MA CEO na Vitengo vingine, WA Iran wamejaa kwenye R&D, Waarabu wanapewa umiliki kama Investors etc.
 
Waarabu wabaguzi sana mfano mzuri ni hawa dada zetu wanaoteseka Saudia
Waarabu wana mila ya kuona mtu mweusi ni mtumwa. Yaani kama mtu anavyosema anatafuta dada wa kazi wao wanasema nimeagiza mtumwa kutoka Afrika. Na pia wana imani kuwa mtumwa ni lazima ateseke na amwogope anayemfanyia kazi. Kuna dada mmoja alikuwa anasema alipokuwa Saudia mke wa tajiri aliyekuwa anamfanyia kazi alikuwa anakwenda chooni anajisaidia halafu anatoka na kumwambia aka-flush. Hebu fikiria mama zima linaweka makimba chooni halafu linakuambia uende ku-flush. Mwarabu na mhindi (japo siyo wote) watajinyenyesha kwako wakati wanaona wanapata kitu. Watu ambao hawana ubaya ni wajapani. Wachina nao wana ka-ubaguzi kwa watu weusi.
 
Kwa kuwa umezoeshwa uvivu na uzembe ndiyo unawaona hivyo.

Wachapa kazi hao, mzembe lazima uwachukie.

Au umeshajazwa ujinga wa kuwa mzungu ndiyo mungu wako.
Huwezi fananisha wazungu na waarabu washindi na WACHINA hawa wana roho mbaya sana na ni wabaguzi sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…