Hakuna watu wenye roho mbaya kama watu kutoka Asia

Sikupingi ni kweli
 
Mimi naona huyo anakufundisha nawe ukipata NAFASI usisahau watu wa asili yako. Mbona hata hapa kwetu upo, ukienda ofisi ambayo kiongozi ni Msukuma, lazima ukute wasukuma wa kutosha, vivyo hivyo kwa Wabena, Waha,Wahaya,Wachaga,Wapare na makabila mengine.

Hiyo inaitwa kusaidiana, au kujaliana, Sasa ikiwa wewe unajikataa kwa kukataa wenzako, hao wanakukumbusha upate somo , ili nawe baadaye ufanye hivyo.

Ukijithamini, utafanya hivyo vivyo, wewe utaida udini wenzako wanapeana fursa, utaita ukabila wenzako wanasonga mbele. Kubali dunia iko hivyo, siyo Wa ASIA tu hiyo iko kwa race zote duniani.

Wahindi majumba yao wamejazana wenyewe kwasababu zao, moja wapo ni usalama wao wenyewe, nyingine ni kuwa karibu ili wasaidiane. Hawako india, wako Tanzania au Kenya au Ufaransa, kule ni ugenini, sasa iweje wamuache mwenzao aangamie, ikiwa wana uwezo wa kumsaidia.

Nawe fanya hivyo hivyo uone, je kuna faida au hasara?
 
Wachunguze vizuri hao Wataliano na Wafaransa walioondoka kwao wakaja kuishi ulipokwenda wewe, utakuta wana asili za Kiarabu. Hilo ni 98%.

Wewe una prejudice zako tu kwa kuwa u kondoo uliyejazwa ujinga ukakujaa.

Upuuzi tu huo wa Mitandaoni.

Za kuambiwa changanya na zako.

Waarabu tunaishi nao kabla hatujawa Tanganyika, wengi wajomba zetu, hatujauona huo ujinga mnaousambaza.
Usibishe tu wewe bibi. Watu tuna mifano hai ya ubaguzi ya Wahindi na Waarabu. Mimi nina mfano wa Kampuni moja inayomilikiwa na Mhindi. Weusi aliyowaajiri pamoja na kuwa na sifa sawa za kielimu na Wahindi wenzake, anawalipa Weusi posho ndogo kulinganisha na Wahindi.
Jambo la msingi kuelewa ni kwamba wanadamu wote wana tabia za ubinafsi, ikiwemo hii ya ubaguzi- tunazidiana viwango tu. Wengine ni wakaguzi zaidi ya wenzao. Huo ndio ukweli.
 
Muhindi mmoj anafanya kazi ya Watanzania 10.

Hivi hamjijuwi Watanzania mlivyo kazini? Wavivu, wezi, majungu, wazembe. Muhinsi mmoja anaweza kukaa miaka mitatu hajafiwa, Watanzania kila mwezi anafiwa. Kuumwa ndiyo usiseme, udhuru na dharura kila siku.

Wewe mifano yako hai ya kuajiriwa, mimi mifano yangu hai ya kuajiri.

Watanzania, walio wengi, kuwaajiri ni muhali. Sisemi wote, nasema walio wengi.

Mtanzania ukibaguliwa na ukichungwa kama kondoo kazini, sishangai. Swhemu ya kuajiri Mhondi mmoja utaajiri Wagtanzania watano, na bado.
 
Wafaransa wako poa sana wenyewe wanachojali kazi ifanyike kwa kiwango cha lami hawana mambo ya kufatiliana ukizingua wanakuzingua.
Kutoka Asia wa Indonesia wako poa sana niwatu wenye roho nzuri sana halafu ni watu wa dini sana Islam.
Sometimes unaona kabisa wabongo tunazingua mahali ila hawawezi hata kumkaripia mtu na hata wakiona umekosea kitu wanakuelekeza vizuri tu yaani wengi wako hivyo
 
Watu wenye roho mbaya wako kote duniani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…