Kuna kichaa amebwatuka Leo mchana,ati hata ukijifanya unakijua na kuongea sana kiingereza bado wewe ni mwafrika😝Nyang'au bado zinaamini katika wazungu.
Wanajivunia Sana kiingereza kuliko kiluhya,Kikuyu,Kikamba au hata Kijaluo!😁
Ujinga mtupuZile maabara zilizokuwa Ukraine wamezihamishia nchi mbalimbali ikiwemo Kenya na ndio wanatumia kutengeneza magonjwa mbalimbali
Huo ugonjwa upo mbona kitambo, unaitwa pangusa! Kwani umerudi tena?
tutaanza kutembea na vipimio sasa😂tulia Dawa ikukolee😝
ya nami nlitaka kuusema ulikuwa unaitwa pangusa, tena kitambo kidogo na sijauskia miaka kadhaa.Huo ugonjwa upo mbona kitambo, unaitwa pangusa! Kwani umerudi tena?
Mi kondom siiwezi kiukweli ...ndo maana napenda nimgande mmoja na kupima si ombi ila lazimaKuna wale wa kufanya usiku taa imezimwa walee au anavulia nguo chooni kumbe maeneo yameungua na kuisha
Angalia picha pale juuya nami nlitaka kuusema ulikuwa unaitwa pangusa, tena kitambo kidogo na sijauskia miaka kadhaa.
Umerudi tena au ndo fear sellers wamerudi na jina jipya, I ain't buy that.
Ngono ninaacha kwa sababu za kiroho ambazo hata kondomu ya chuma haiwezi zuia.
Tena mkipima mnakuwa free kwelitutaanza kutembea na vipimio sasa
kumbe wanaficha mengi, unaesa kuta mbususu imejaa mapunye, wengine ukiweka kichwa kihasara anakubania mzigoni😂😂 ni balaaKuna wale wa kufanya usiku taa imezimwa walee au anavulia nguo chooni kumbe maeneo yameungua na kuisha
KabisaHapo vizuri...kuwa na patner mmoja ni vyema na haki
napo bado vipimio vingine feki😂Tena mkipima mnakuwa free kweli
Em acha uongo bhananapo bado vipimio vingine feki😂
Ni hatari SanaYah magonjwa mengi yaliua sana miaka ya nyuma..ref HIV