granitized
JF-Expert Member
- Jul 5, 2016
- 3,249
- 7,948
Pia tumuache ili tuone kama ana consistency.Huo ufungaji tu sio kitu kidogo aisee, ndio striker pekee aliyefanya vizuri chini ya Pep
YesPia tumuache ili tuone kama ana consistency.
madrid wapeleke wapi hilo galasa?Huyu jamaa mbona sisikii timu zikimuwania kumchukua eg madrid
Waambie hao Gen ZMimi nihitaji gugo kujua Hilo. Michael Owen wakati anachukua ballon dor huenda ulikua bado tumboni😂
Mkuu mm maisha yangu huwa pia ni soka, soka lipo kwa damu
NakaziaHalland hata affunge goli afu10 bado atakuwa hayupo katik kiwango cha messi na cr7 hao jamaa ni exeptional achana nao nimemuangalia sana messi kuanzia Television ya taifa TVT akitambulishwa na frankie Rijcard hadi pep jamaa kafny mabalaaa ya kutisha sana halland ni halland ni mfungaji mzuri ila sio kwa messi na ronaldo.
NIMELIA SANA[emoji24][emoji24][emoji24]
Huna unachojua.caree ya Ronaldo EPL ni ya aibu sana ukilinganisha na halland. Speed ya Halland ni ya kutisha sana na ndio mana washabiki wa Messi na Ronaldo wanamchukia sana
Hivi kweli arsenal unawahesabia kuutwaa ubingwa mwaka huu...? Hawa watabondwa sana huu mwakaErling Haaland ameweka rekodi kuwa mchezaji wa kwanza kwenye historia ya EPL kufunga mabao 70 mapema zaidi.
➜ 69 - Games.
➜ 70 - Goals scored.
Ni wachezaji wawili pekee kwenye historia waliofunga Hat-tricks back to back mara mbili katika ligi kuu ya England (EPL) 🙌
Harry Kane :
⚽⚽⚽ vs Burnley
⚽⚽⚽ vs. Southampton
⚽⚽⚽⚽ vs Leicester
⚽⚽⚽ vs Hull
Erling Haaland
⚽⚽⚽ vs Palace
⚽⚽⚽ vs Nottingham Forest
⚽⚽⚽ vs Ipswich
⚽⚽⚽ vs West Ham
ℹ️ Bernardo Silva amefikisha Assists (44) EPL, Assists nyingi kuliko mchezaji yoyote wa Portugal 🇵🇹 kwenye historia ya EPL.
Full - West Ham 1 - 3 Man City
⚽️⚽️⚽️ Haaland — 10', 30', 83'
⚽ Dias (Own Goal) — 19'
Ni kosa kubwa sana kumuacha kipara (Pep) akutangulie points, Arsenal wameshafanya kosa hilo mapema sana ! 😀
Full - Arsenal 1 - 1 Brighton.
Tom Cruz facts 🧠
Ni either Lionel Messi alinganishwe na Cristiano Ronaldo au Cristiano Ronaldo alinganishwe na Lionel Messi. Hakuna nafasi ya mwingine hapo.Ofcourse kwa Sasa huwezi mlinganisha na hao, Ila akiwa na hii consistency kwa misimu 10, basi bila shaka atalinganishwa.
Kweli, juzi kati last season Saliba alimuhifadhi kwapani.Hayo mambo wakina mess na ronaldo walishafanya back to back....
CR7 amechukua tuzo ya ballon dior akiwa EPL nitajie mwengine aliyefanya ivo.
Huyu halland anatamba Man city akicheza na team ndogo akicheza na wakubwa wenzie anafichwa haonekani,watu wanamweka kwapani
Alafu kingine Dinho alikuwa mtu anaejua kuuchezea mpira ila sio wa kutegemea sana kwenye timuKwa Ronaldo siwezi sema ila kwa Messi ninaweza kusema wapi kamzidi Ronaldinho.
Messi ni mwepesi wa kudribble na ana dribble za kasi na zilizofupi kuliko Ronaldinho,ndio maana walimuita messi the best dribbler in history.
Messi ana accuracy katika dead ball kuliko Ronaldinho.
Yani yule jamaa kwa football skill alikua vizuri ila kusema kuichezesha timu aaagh wee hajamfikia messi.Alafu kingine Dinho alikuwa mtu anaejua kuuchezea mpira ila sio wa kutegemea sana kwenye timu
Messi yupo katika ligi ya peke yake ndio maana ana ballon dor 8Yani yule jamaa kwa football skill alikua vizuri ila kusema kuichezesha timu aaagh wee hajamfikia messi.
Messi akipanda timu inapanda messi akishuka timu inashuka.
Ndio maana hata Barcelona ilikua ukimkaba Messi umeua timu.
Maana mipita itakua haitembei.
Anapocheza messi mnaona utofauti kabisa na wachezaji wengine hata timu ikiwa mbovu.Messi yupo katika ligi ya peke yake ndio maana ana ballon dor 8
Pale Norway timu ya taifa uki waambia wachague kati ya Messi na Haaland watamchukua Messi wa leo hiiAnapocheza messi mnaona utofauti kabisa na wachezaji wengine hata timu ikiwa mbovu.
Fuatilia assist anazotoa intermiami uone balaa lake.
mkuu mm nimelia usiku kucha baada ya kuona et cr7 na messi wanalinganishwa na haaland?Halland hata affunge goli afu10 bado atakuwa hayupo katik kiwango cha messi na cr7 hao jamaa ni exeptional achana nao nimemuangalia sana messi kuanzia Television ya taifa TVT akitambulishwa na frankie Rijcard hadi pep jamaa kafny mabalaaa ya kutisha sana halland ni halland ni mfungaji mzuri ila sio kwa messi na ronaldo.
NIMELIA SANA