Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 122,494
- 96,074
Kajinyonge basi we sukuma gang wa burigiMwenye kazi ya kukosoa ni mchawi tu,mtu mwema hushauri jambo jema badala yake.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kajinyonge basi we sukuma gang wa burigiMwenye kazi ya kukosoa ni mchawi tu,mtu mwema hushauri jambo jema badala yake.
Kajinyonge basi we sukuma gang wa burigi
Kuna tofauti kubwa kati ya Mobutu na hayo majengo ya Chato, Mobutu alijenga majengo kwaajili ya makazi yake, lakini sio kwa hayo ya umma hapo Chato.
Sana tuMungu fundi
Mshamba utamjua tuHapana niko kwa ajiri ya kukunyandua.
Ipo siku uyu mzee nitakutana naye,huko aliko nitampa za chembe mpaka Malaika wa pande zote wataingilia katiHakika hii nchi watanzania tumepitia mitihani mikubwa.
Tazama miradi hapo chini jinsi inavyoonekana sasa hivi inaoza.
Kwa mtanzania lazima upate uchungu kwa upotevu huu wa mali za umma.View attachment 2552696
Mshamba utamjua tu
Jiwe limeshageuka mchangaMjanja aina ya juma lokole
Jiwe limeshageuka mchanga
Mchanga tuFalsafa zake zinaishi
Ulishindwa duniani utaweza huko kusiko julikanaIpo siku uyu mzee nitakutana naye,huko aliko nitampa za chembe mpaka Malaika wa pande zote wataingilia kati
Ni sawa kabisaUwepo wa hayo majengo yasiyo na watu kusionekane kama ndio mwisho wa dunia, hapo kinachotakiwa kufanyika ni serikali kusogeza huduma za jamii eneo husika, mfano wahamishie soko karibu, na magari ya abiria yatakiwe kuingia hapo stand, hapatuchukua muda mrefu patachangamka tu.
Ushajizima data tiyari , sasa angekuwepo KLM, Qatar Airways etc na za humu ndani si zingekuwa zinatua chatle kwanza ndo ziendelee na safari? Famasihara na chuma nini?Sasa hasira za nini? Haya tuambie tangu huu mwaka umeanza zimetua ndege ngapi pale chato International Airport?
Mbona povu bro wewe ni mtoto wake niniSasa mnalalamika nini? Nani kawakataza serikali wasiendeleze? Alie anzisha alikuwa na lengo zuri kwa wananchi..
Basi nendeni mbomoe na mabati pelekeni. Project ngapi za jpm zimetekekezwa?
Mnajifanya kujizima data.
Ile HOTELI ya NYOTA 5 imeshamalizika kujengwa ama bado?Hakika hii nchi watanzania tumepitia mitihani mikubwa.
Tazama miradi hapo chini jinsi inavyoonekana sasa hivi inaoza.
Kwa mtanzania lazima upate uchungu kwa upotevu huu wa mali za umma.View attachment 2552696
Inasikitisha sanaaHakika hii nchi watanzania tumepitia mitihani mikubwa.
Tazama miradi hapo chini jinsi inavyoonekana sasa hivi inaoza.
Kwa mtanzania lazima upate uchungu kwa upotevu huu wa mali za umma.View attachment 2552696
Mtu mpumbavu ndio huangaika na Visio za mtu alie kwisha kufa. Hii ni dalili huna kitu kipya na alie ondoka anakutisha kila inaponitwa leo. Mtu alie masikini wakufikiri humponda mtu asie kuwa na uwezo wakumjibu...Hakika hii nchi watanzania tumepitia mitihani mikubwa.
Tazama miradi hapo chini jinsi inavyoonekana sasa hivi inaoza.
Kwa mtanzania lazima upate uchungu kwa upotevu huu wa mali za umma.View attachment 2552696
Sasa kuwa DC ni mradi wa maendeleo?Kama Zanzibar inavyotunyonya Sasa yaani wanatufanyia ufisadi mpaka kwenye nafasi za uongozi unakuta DC bara ni Mzanzibari.
Ila hayo hauoni kwakua mpo kwenye maridhiano.