Upepo wa Pesa
JF-Expert Member
- Aug 8, 2015
- 21,600
- 35,158
Naskia sasa ivi uwanja wa chato wakulima wanatumia kuanika mazaoHakika hii nchi watanzania tumepitia mitihani mikubwa.
Tazama miradi hapo chini jinsi inavyoonekana sasa hivi inaoza.
Kwa mtanzania lazima upate uchungu kwa upotevu huu wa mali za umma.View attachment 2552696