Hali ilivyo Stendi Kuu ya mabasi Chato

Hali ilivyo Stendi Kuu ya mabasi Chato

Uwepo wa hayo majengo yasiyo na watu kusionekane kama ndio mwisho wa dunia, hapo kinachotakiwa kufanyika ni serikali kusogeza huduma za jamii eneo husika, mfano wahamishie soko karibu, na magari ya abiria yatakiwe kuingia hapo stand, hapatuchukua muda mrefu patachangamka tu.
Kazi ya diwani, mbunge ma halmashauri ya Chato. Lakini je Wanajali?
 
Uwepo wa hayo majengo yasiyo na watu kusionekane kama ndio mwisho wa dunia, hapo kinachotakiwa kufanyika ni serikali kusogeza huduma za jamii eneo husika, mfano wahamishie soko karibu, na magari ya abiria yatakiwe kuingia hapo stand, hapatuchukua muda mrefu patachangamka tu.
Nilitamani uone mobutu's gbadolite , halafu uje utofautishe hapa na hIzi picha za chato
Watu walitabiri haya kabla hata kifo cha jpm
 
Haya sasa kiko wapi ?
571A633C-3770-4B7F-880F-35C7FBF8B185.jpeg
 
Sasa mnalalamika nini? Nani kawakataza serikali wasiendeleze? Alie anzisha alikuwa na lengo zuri kwa wananchi..

Basi nendeni mbomoe na mabati pelekeni. Project ngapi za jpm zimetekekezwa?

Mnajifanya kujizima data.
Sio swala la kuendeleza, hapo pamekamilika tatizo watumiaji hakuna.
Was it necessary?
 
Hawana akili ya kufikiria na hili, hiyo project haiwezi kuwa hasara ikiwa huduma za kijamii na idadi ya watu vinaongezeka, hii ndo namna bora ya kujenga na kuendeleza miji.
Hatupo kwenye luxury ya kuslpend pesa zote hizo kwa project ambazo zitamature miaka ya mbele , hayo ni majengo ambayo with time yatakuja ku prove kuwa sio sahihi kwa wakati huo.
Hatuna shule kusustain student population ya sasa , kwa nini ujenge majengo yatakayo kula pesa nyingi kwa matumizi ya badaye.
Mobutu alifanya kitu kama chato katika mji wa gbadolite
 
Hatupo kwenye luxury ya kuslpend pesa zote hizo kwa project ambazo zitamature miaka ya mbele , hayo ni majengo ambayo with time yatakuja ku prove kuwa sio sahihi kwa wakati huo.
Hatuna shule kusustain student population ya sasa , kwa nini ujenge majengo yatakayo kula pesa nyingi kwa matumizi ya badaye.
Mobutu alifanya kitu kama chato katika mji wa gbadolite
Sasa yamebakia kuwa mazalia ya nyoka na mijusi tu
 
Nilitamani uone mobutu's gbadolite , halafu uje utofautishe hapa na hIzi picha za chato
Watu walitabiri haya kabla hata kifo cha jpm
Tulisema sana lkn tukaitwa wapinzani wa kila jambo lkn leo hii tunayaona
 
Back
Top Bottom