Evelyn Salt
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 70,916
- 141,437
Matumizi mabaya tu ya pesa za umma.....
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni hujums za wahuni 'fisadi'. Unataka kusema hakuna mabasi yanafika chato?Hakika hii nchi watanzania tumepitia mitihani mikubwa.
Tazama miradi hapo chini jinsi inavyoonekana sasa hivi inaoza.
Kwa mtanzania lazima upate uchungu kwa upotevu huu wa mali za umma.View attachment 2552696
Ni hatari sanaMungu fundi
Watu walishapiga fedha hapo na utakuta machawa wanasema jamaa alikuwa ni shujaaNi hujums za wahuni 'fisadi'. Unataka kusema hakuna mabasi yanafika chato?
MUNGU ALIAMUA UGOMVIHakika hii nchi watanzania tumepitia mitihani mikubwa.
Tazama miradi hapo chini jinsi inavyoonekana sasa hivi inaoza.
Kwa mtanzania lazima upate uchungu kwa upotevu huu wa mali za umma.View attachment 2552696
Mungu daima hanaga mshindaniMUNGU ALIAMUA UGOMVI
Ushauri mzuri sana na sisi kama raia wema kazi yetu ni kukosoa na kushauri pia.Uwepo wa hayo majengo yasiyo na watu kusionekane kama ndio mwisho wa dunia, hapo kinachotakiwa kufanyika ni serikali kusogeza huduma za jamii eneo husika, mfano wahamishie soko karibu, na magari ya abiria yatakiwe kuingia hapo stand, hapatuchukua muda mrefu patachangamka tu.
Kalaga bahoHakika hii nchi watanzania tumepitia mitihani mikubwa.
Tazama miradi hapo chini jinsi inavyoonekana sasa hivi inaoza.
Kwa mtanzania lazima upate uchungu kwa upotevu huu wa mali za umma.View attachment 2552696
Hawana akili ya kufikiria na hili, hiyo project haiwezi kuwa hasara ikiwa huduma za kijamii na idadi ya watu vinaongezeka, hii ndo namna bora ya kujenga na kuendeleza miji.Uwepo wa hayo majengo yasiyo na watu kusionekane kama ndio mwisho wa dunia, hapo kinachotakiwa kufanyika ni serikali kusogeza huduma za jamii eneo husika, mfano wahamishie soko karibu, na magari ya abiria yatakiwe kuingia hapo stand, hapatuchukua muda mrefu patachangamka tu.
Nadhan serikali inawajibu wa kuendeleza uwekezaji kama huu cz haisaidii kuachwa sababu ni kodi za watanzania zinateketea!!Hakika hii nchi watanzania tumepitia mitihani mikubwa.
Tazama miradi hapo chini jinsi inavyoonekana sasa hivi inaoza.
Kwa mtanzania lazima upate uchungu kwa upotevu huu wa mali za umma.View attachment 2552696
Ni aibu sana Kwa serikari ya mkoa na wilaya. Wameshindwa kuendeleza hili eneo??Hakika hii nchi watanzania tumepitia mitihani mikubwa.
Tazama miradi hapo chini jinsi inavyoonekana sasa hivi inaoza.
Kwa mtanzania lazima upate uchungu kwa upotevu huu wa mali za umma.View attachment 2552696
Mobutu Seseko alifanya kama hiviHakika hii nchi watanzania tumepitia mitihani mikubwa.
Tazama miradi hapo chini jinsi inavyoonekana sasa hivi inaoza.
Kwa mtanzania lazima upate uchungu kwa upotevu huu wa mali za umma.View attachment 2552696
Gbadolite PalaceHakika hii nchi watanzania tumepitia mitihani mikubwa.
Tazama miradi hapo chini jinsi inavyoonekana sasa hivi inaoza.
Kwa mtanzania lazima upate uchungu kwa upotevu huu wa mali za umma.View attachment 2552696
Wananchi wenyewe walikuwa hawaihitaji yeye alimejengea nani? Waiendeleze itumiwe na nani?Sasa mnalalamika nini? Nani kawakataza serikali wasiendeleze? Alie anzisha alikuwa na lengo zuri kwa wananchi..
Basi nendeni mbomoe na mabati pelekeni. Project ngapi za jpm zimetekekezwa?
Mnajifanya kujizima data.