Hali ilivyo Stendi Kuu ya mabasi Chato

Hali ilivyo Stendi Kuu ya mabasi Chato

Hii ndiyo hali ilivyo katika stendi ya mabasi chato, Je tatizo ni nini? au watu wapo busy na kilimo hawasafiri tena? Je Nini kifanyike kwenye huu mradi ili fedha (kodi za wanyonge) zilizotumika ziweze kuwanufaisha wananchi?
Wanapanda sana ndege kuliko mabasi.
 


Acha porojo mradi aujakamilika kwa sababu serikali aijapeleka hela za kuumalizia na zingine mkandarasi kaanza nazo kazi ajafanya.

Hiyo stand aijawahi kufunguliwa rasmi kwa matumizi ya mabasi ndio maana ipo ivyo; serikali ya Bi Tozo ndio imeitelekeza mradi sio kwamba auna tija.
 
Hii ndiyo hali ilivyo katika stendi ya mabasi chato, Je tatizo ni nini? au watu wapo busy na kilimo hawasafiri tena? Je Nini kifanyike kwenye huu mradi ili fedha (kodi za wanyonge) zilizotumika ziweze kuwanufaisha wananchi?
Watanzania bana.... Nguvu nyingi inatumika kuonyesha kuwa haiwezekani... Sio inawezekana
 
Maghufuli bhana badala ya kureinforce Mwanza sehemu ambayo chochote ukiendeleza lazima kilipe anaenda kule chato , moja ya akili mbovu Sana hyo
Maamuzi ya watawala tu waliopo. Hiyo ni stand gari zinaweza kuingia na kutoka.

Shida hii nchi kila Raisi anakuja na mambo yake ili tu awafurahishwe wanao mzunguka.
 
Miradi mingi ilistahili ijengwe Mwanza badala ya Chato kutokana na aidha wingi wa uhitaji wa jambo husika, kulingana na idadi wa wakazi wa eneo husika.
Jpm alikuwa na lengo zuri sana.alijitahidi kupanua miji .. unaikumbuka iliyokuwa stendi ya zamani Dodoma???asingepambana kujenga nane nane pale ingekuwa je??? Majengo sokoni na barabara zile . nakumbuka vizuri aliahidi kujenga barabara mpya hapa Ihumwa ambayo ingeanzia stesheni hadi barabara kuu ya Dodoma_dar.. lakini nenda kaangalie saa ivi njia ilivyo.msimlalamikie sana kama vile yeye ndiye genius wa bongo
 
Hii ndiyo hali ilivyo katika stendi ya mabasi chato, Je tatizo ni nini? au watu wapo busy na kilimo hawasafiri tena? Je Nini kifanyike kwenye huu mradi ili fedha (kodi za wanyonge) zilizotumika ziweze kuwanufaisha wananchi?
Gharama za uendeshaji unatakiwa utokane na inavyojiendesha sio kutegemea ruzuku
 
Hii ndiyo hali ilivyo katika stendi ya mabasi chato, Je tatizo ni nini? au watu wapo busy na kilimo hawasafiri tena? Je Nini kifanyike kwenye huu mradi ili fedha (kodi za wanyonge) zilizotumika ziweze kuwanufaisha wananchi?
SIO KWELI!! Hii video itakuwa ya zamani sana... kabla ya stendi kuanza kutumika. Kwamba hakuna gari wala mtu yeyote? Can you show some respect to God your creator, at least kwa kupost taarifa yenye ukweli?
 
Hii ndiyo hali ilivyo katika stendi ya mabasi chato, Je tatizo ni nini? au watu wapo busy na kilimo hawasafiri tena? Je Nini kifanyike kwenye huu mradi ili fedha (kodi za wanyonge) zilizotumika ziweze kuwanufaisha wananchi?
.
Screenshot_20230315-151447.jpg
 
Hii ndiyo hali ilivyo katika stendi ya mabasi chato, Je tatizo ni nini? au watu wapo busy na kilimo hawasafiri tena? Je Nini kifanyike kwenye huu mradi ili fedha (kodi za wanyonge) zilizotumika ziweze kuwanufaisha wananchi?
Vitu kama hivyo ndivyo vinavyothibitisha ushamba na uendawazimu wa Magufuli
 
Hii ndiyo hali ilivyo katika stendi ya mabasi chato, Je tatizo ni nini? au watu wapo busy na kilimo hawasafiri tena? Je Nini kifanyike kwenye huu mradi ili fedha (kodi za wanyonge) zilizotumika ziweze kuwanufaisha wananchi?
Aisee 🙏🏽
 
SIO KWELI!! Hii video itakuwa ya zamani sana... kabla ya stendi kuanza kutumika. Kwamba hakuna gari wala mtu yeyote? Can you show some respect to God your creator, at least kwa kupost taarifa yenye ukweli?
Umefika Chato lakini mkuu? Unajua magari mangapi yanaanzia safari zake Chato? Unajua magari mangapi yanapita Chato kuelekea Mwanza kutokea Bukoba na kutokea Bukoba kwenda Mwanza?

Hiyo video ni ya stendi ndogo ambayo ukifika saa 11 jioni hakuna mtu wala gari kabisa.
Stendi ya mabasi ndo ilikua inakamilishwa lakini ndo itakuwa hahari kuliko hiyo ya magari madogo. Kumbuka hakuna Basi inayoanza safari yake Chato hivyo stendi ya Mabasi kuna Mabasi yataanza kupita hapo saa tano asubuhi kutokea Mwanza kwenda Bukoba na pia zitapita hapo saa tatu/nne kutokea Bukoba kwenda Mwanza.
Stendi kubwa utashangaa haina watu kabisa.

Wito: Serikali ichukue hatua madhubuti namna ya kutumia hayo majengo ili kuyaokoa na uchakavu kwasababu yatakaa muda mrefu bila kutumika tofauti na hapo SIJUI.
 
A
Hii ndiyo hali ilivyo katika stendi ya mabasi chato, Je tatizo ni nini? au watu wapo busy na kilimo hawasafiri tena? Je Nini kifanyike kwenye huu mradi ili fedha (kodi za wanyonge) zilizotumika ziweze kuwanufaisha wananchi?
Aisee hata baiskeli hakuna! Sasa kule uwanja wa ndege itakuwaje, miti itakuwa imeanza kuota. Niliwaambia kuna mengi tu Magufuli alifanya bila weledi na ni hasara kwa taifa letu.
 
Back
Top Bottom