Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nadhani Chato ndiyo Wilaya pekee Tanzania yenye stendi nzuri ya mabasi.Mji wa bukoba ungepata stendi kama hii...watu wangeshukuru sana....
Pesa za kujenga stendi kuu ya mkoa ya mkoa wa kagera hua hazipatikani wakati ushuru wanachukua kila siku
Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
Jamaa alikuwa laana kwa taifa, tushukuru Mungu kwa kumuondoa, yule ni zaidi ya shetanAnge renforce kwenye nn?kaacha bus stand 2 Mpya kubwa kuliko hio ya chato(Nyamhongolo na Nyegezi), au ulitaka ajenge stand ya 3 wapi?[emoji1745]
Kaacha rader pale airport, jengo la abiria lilo telekezwa km stand ya chato, soko kubwa linajengwa kwa kusuasua pale town, daraja kubwa Kuliko yote EAT...what else ulitaka afanye?huu sasa ndo tunaita uroho.
Unajua Sukuma gang kwanza kubalini kuwa mungu wenu kafa, haya mengine mtayaelewa kwa urahisiKitu gani kimefanyika chato ambacho hakijafanyika Mwanza? Angekua anaionea wivu mwanza asingejenga lile daraja la billioni 700..tunapo critisize tusiweke chumvi na uongo mwingi tunaondoa mantiki nzima ya hoja.
🤣🤣🤣 itakuwa maajabu bei kupanda!Nakiraka changu apo namini kitapanda bei tuh
Kipo maeneo gani?🤣🤣🤣 itakuwa maajabu bei kupanda!
Cha kwangu mpaka leo hakijapata mnunuzi na wanunuaji hakuna.
Jiwe alikuwa zaidi ya shetan, anyway Mungu katusaidia kwenye hili
Acha porojo mradi aujakamilika kwa sababu serikali aijapeleka hela za kuumalizia na zingine mkandarasi kaanza nazo kazi ajafanya.
Hiyo stand aijawahi kufunguliwa rasmi kwa matumizi ya mabasi ndio maana ipo ivyo; serikali ya Bi Tozo ndio imeitelekeza mradi sio kwamba auna tija.
Yeye ndiye alikuwa laana kwa taifaJpm alikuwa na lengo zuri sana.alijitahidi kupanua miji .. unaikumbuka iliyokuwa stendi ya zamani Dodoma???asingepambana kujenga nane nane pale ingekuwa je??? Majengo sokoni na barabara zile . nakumbuka vizuri aliahidi kujenga barabara mpya hapa Ihumwa ambayo ingeanzia stesheni hadi barabara kuu ya Dodoma_dar.. lakini nenda kaangalie saa ivi njia ilivyo.msimlalamikie sana kama vile yeye ndiye genius wa bongo
Mzee miradi inaanzishwa kulingana na uhitaji na population ya watu. Jamaa pale chato alikua anajaza mamiradi ambayo hata wananchi hawapo tayari yani ni ile ulafi kwa sababu yupo kwenye nafasi mpaka chato imevimbiwa.. ubinafsi uliopitiliza kwa kiongozi ni mbaya sana.Iko haja kwa viongozi wa wilaya kulitolea swala hili ufafanuzi. Na kama kutumika kama stand hakuna tija kwanini pasibadilishiwe matumizi, hakuna uhitaji wa majengo na eneo kwa ajili ya matumizi mengine?
Hao ndiyo wafia legacy ya mchongoMnachukia sana tunapoonesha udhaifu mkubwa wa yule jamaa mnataka tusifie upuuzi. Hamna akili kabisa nyie.
Kitimoto kwenye ubora wake!!![emoji1787][emoji1787][emoji1787] itakuwa maajabu bei kupanda!
Cha kwangu mpaka leo hakijapata mnunuzi na wanunuaji hakuna.
Mzuri sana lkn haitumiki ipasavyoNadhani Chato ndiyo Wilaya pekee Tanzania yenye stendi nzuri ya mabasi.
Jiwe alifanya maamuzi ya kijinga sanaUmefika Chato lakini mkuu? Unajua magari mangapi yanaanzia safari zake Chato? Unajua magari mangapi yanapita Chato kuelekea Mwanza kutokea Bukoba na kutokea Bukoba kwenda Mwanza?
Hiyo video ni ya stendi ndogo ambayo ukifika saa 11 jioni hakuna mtu wala gari kabisa.
Stendi ya mabasi ndo ilikua inakamilishwa lakini ndo itakuwa hahari kuliko hiyo ya magari madogo. Kumbuka hakuna Basi inayoanza safari yake Chato hivyo stendi ya Mabasi kuna Mabasi yataanza kupita hapo saa tano asubuhi kutokea Mwanza kwenda Bukoba na pia zitapita hapo saa tatu/nne kutokea Bukoba kwenda Mwanza.
Stendi kubwa utashangaa haina watu kabisa.
Wito: Serikali ichukue hatua madhubuti namna ya kutumia hayo majengo ili kuyaokoa na uchakavu kwasababu yatakaa muda mrefu bila kutumika tofauti na hapo SIJUI.
Legacy ya kutia hasara taifaTamati ya legacy katika picha
Punguza makasiriko ndugu maana hili ni jukwaa la siasa.Mtu mpumbavu ndio huangaika na Visio za mtu alie kwisha kufa. Hii ni dalili huna kitu kipya na alie ondoka anakutisha kila inaponitwa leo. Mtu alie masikini wakufikiri humponda mtu asie kuwa na uwezo wakumjibu...
Pale mabasi ya mikoa yanapita tu.Mzuri sana lkn haitumiki ipasavyo
Nakumbuka wakati Ndumbalo yupo waziri wa malia asili aliwahi kusema kuwa chato ni pivot ya utalii mbele ya JiweIle HOTELI ya NYOTA 5 imeshamalizika kujengwa ama bado?
Nilipita juzi wakati nakwenda Kampala wanachofanya ni kuwatupia wakusanya ushuru tu na basi linafyatuka tuPale mabasi ya mikoa yanapita tu.
Hakuna mabasi makubwa yanayokwenda mikoani yanayoanzia safati hapo Chato ama kumalizia safari .