Na pesa za wananch zilizotumika nani atazirejesha?Kamwambie mama yenu mlifukie na bwawa la nyerere pia usisahau kumwambia mbowe mfanye kampen ya kumshawishi rais mlivunje daraja la wami pia linaloenda mpaka kwao moshi pumbavu nyie.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na pesa za wananch zilizotumika nani atazirejesha?Kamwambie mama yenu mlifukie na bwawa la nyerere pia usisahau kumwambia mbowe mfanye kampen ya kumshawishi rais mlivunje daraja la wami pia linaloenda mpaka kwao moshi pumbavu nyie.
Kwa hiyo unataka na mm nijiunge na majizi niaharibu uzalendo wangu na kusaliti watanzania wenzangu?, hapana kwakweli hizo tabia wanaweza fanya Chadema.Wewe kalia kusema majizi huku ukilia na umasikini wako na kulalamika vitu kupanda wakati wenzio maisha yako vizuri tu
Walazimishwe kupanda mabasi mpaka huko mashambani kwao, hatuwezi kuchezea hela za miradi.Hii ndiyo hali ilivyo katika Stendi ya Mabasi Chato, Je, tatizo ni nini? au watu wapo busy na kilimo hawasafiri tena? Je, nini kifanyike kwenye huu mradi ili fedha (kodi za wanyonge) zilizotumika ziweze kuwanufaisha Wananchi?
View attachment 2552469
Asante sana mkuu kwa taarifa muhimuPicha ya makao makuu ya TANESCO Chato pls..
Miradi ya kimkakati Chato yakwama - Sauti KubwaJengo la TANESCO Chato, kubwa kuliko la Wilaya Temeke lenye wateja milioni na nusu
Jengo la TANESCO Chato, wilaya yenye mji wa wakazi 28,000 tu, ni kubwa kubwa kupitiliza. Wilaya ya Temeke ina wakazi milioni moja na nusu, lakini hakuna jengo la kutisha na huduma inaendelea. Hizo ndio zilikuwa sera za upendeleo maalum Chato, alizoanzishwa na Mwendazake na henchman Kalemani...www.jamiiforums.com
![]()
Miradi ya kimkakati Chato yakwama - Sauti Kubwa
Mikakati kamambe ya kuigeuza Wilaya ya Chato mkoani Geita kuwa kitovu cha uwekezaji na neema ya maendeleo nchini Tanzania, sasa imekwama, SAUTI KUBWA inaeleza pasipo shaka. Wachambuzi wa kisiasa nchini wanasema lukwama kwa mikakati hiyo kumetokana na kifo cha Rais John Pombe Magufuli, mwenyeji...sautikubwa.org
View attachment 2553839
Kule usafiri wao ni punda ambao waliwekewa traffic lightWalazimishwe kupanda mabasi mpaka huko mashambani kwao, hatuwezi kuchezea hela za miradi.
Wewe ni masikini tu hakuna cha uzalendo.Kwa hiyo unataka na mm nijiunge na majizi niaharibu uzalendo wangu na kusaliti watanzania wenzangu?, hapana kwakweli hizo tabia wanaweza fanya Chadema.
Yaani nyinyi majitu ni wa ajabu sana eti unakubali kuitwa masikini mnyonge nawewe unakenua meno kama zuzuKwa hiyo unataka na mm nijiunge na majizi niaharibu uzalendo wangu na kusaliti watanzania wenzangu?, hapana kwakweli hizo tabia wanaweza fanya Chadema.
Hapo ujue nyingi zilikuwa ni za kukopa hapo walipaji ni sisi na wajukuuNa pesa za wananch zilizotumika nani atazirejesha?
Miradi ya kibabe yote itaelekea huko hukoMataga,walinda legacy,Washabiki wa chuma nk kwani wao wanasemaje?
Na Bado Sgr nayo itakuwa tembo mweupe kama hiyo stand.
Hakuna wa kuwaamini tena wale hawana huruma hata kidogoCcm inaweza kuendelea kutawala lakini Sukuma gang hapana, yule ibilisi alichofanya ni kibaya sana
Alafu wanamwita eti ni shujaa wa AfrikaKuna watu wana utani sana, eti wanamwita Jiwe shujaa wao
Taa za barabarani sasa, hata ukipita umefumba macho hakuna gari linaweza kukugonga, gari moja linaweza kupita kila baada dk 40.Magufuli bhana badala ya kureinforce Mwanza sehemu ambayo chochote ukiendeleza lazima kilipe anaenda kule chato , moja ya akili mbovu Sana hyo
10,000 yote hiyo? Sema 1000Mwendazake amekwenda na stendi yake!!! R.I.P kwa Mwendazake. . .!!! R.I.P Kwa Stendi. . .!!!
Hizo fremu wakipangisha hata kwa Tsh 10,000/= kwa mwezi, hawapati mpangaji ng'o.
Nyinyi ni watu wajinga tu mradi mmeshindwa kuukamirisha mnamlaumu JPM! Stupid!Alafu wanamwita eti ni shujaa wa Afrika
KeHii ndiyo hali ilivyo katika Stendi ya Mabasi Chato, Je, tatizo ni nini? au watu wapo busy na kilimo hawasafiri tena? Je, nini kifanyike kwenye huu mradi ili fedha (kodi za wanyonge) zilizotumika ziweze kuwanufaisha Wananchi?
View attachment 2552469
Ata wewe ni Masikini tena pengine kuliko sisi wengine,ndio maana unatumika na wenzako wao wapo kimya tu.Yaani nyinyi majitu ni wa ajabu sana eti unakubali kuitwa masikini mnyonge nawewe unakenua meno kama zuzu
Mimi na wewe ni masikini,Matajiri hawako humu wanatumia machawa yao kama wewe.....Mm najitegemea mana ninaempigania keshakufa stegemei ujira kwake...Yupo Kaburini.Wewe ni masikini tu hakuna cha uzalendo.
CRDB Chato branch hali ipoje?Hii ndiyo hali ilivyo katika Stendi ya Mabasi Chato, Je, tatizo ni nini? au watu wapo busy na kilimo hawasafiri tena? Je, nini kifanyike kwenye huu mradi ili fedha (kodi za wanyonge) zilizotumika ziweze kuwanufaisha Wananchi?
View attachment 2552469
Dar,dodoma,morigoro,Kitu gani kimefanyika chato ambacho hakijafanyika Mwanza? Angekua anaionea wivu mwanza asingejenga lile daraja la billioni 700..tunapo critisize tusiweke chumvi na uongo mwingi tunaondoa mantiki nzima ya hoja.