Mkaruka
JF-Expert Member
- Feb 5, 2013
- 19,629
- 34,199
Ingia Fiverr, fungua account then andika huduma unazotoa.Connection sasa mzee
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ingia Fiverr, fungua account then andika huduma unazotoa.Connection sasa mzee
Control room direct ??Nenda garda mkuu au unachagua kazi?kazi zipo kama unataka kazi ya kujishikisha wakati unatafuta kazi uipendayo utashinda vp na njaa boss? Watu wa kada yako wanaitajika ofisini control room
Garda wapo mikocheni b zamani ofisi za kk zilipokua ukipitia jkt ni sifa ya ziada kwako mkuu nieleweKwa mtu anayetoka Magomeni anafikaje huko.? Na kama huna mafunzo ya ulinzi unapataje kazi.?
Boss nikipanda daladala nashuka kituo gnGarda wapo mikocheni b zamani ofisi za kk zilipokua ukipitia jkt ni sifa ya ziada kwako mkuu nielewe
Unaweza kuanzia guard then nafasi zikitoka za taaluma ni raisi kuomba boss kwenye kampuni za ulinzi kuna wahasibu na vitengo vingine watu wanakula salary nzuri tuControl room direct ??
Mimi mwenyewe Mlinzi mkuu. Tena tangu 2017, Kwahiyo hakuna kitu nisichojua huko🤣Unaweza kuanzia guard then nafasi zikitoka za taaluma ni raisi kuomba boss kwenye kampuni za ulinzi kuna wahasibu na vitengo vingine watu wanakula salary nzuri tu
Hii ndiyo shida ya wabongo misifa haya mtoto wa kiume analialia eti kula shida kwahiyo nadanganya?Mimi mwenyewe Mlinzi mkuu. Tena tangu 2017, Kwahiyo hakuna kitu nisichojua huko[emoji1787]
Muhimu kwa mtoto wa kiume ni kupambana chaka lolote. Kama ulinzi sawa ila asiingie akiwa na matarajio makubwa ya mshahara, heshima na vyeo.Hii ndiyo shida ya wabongo misifa haya mtoto wa kiume analialia eti kula shida kwahiyo nadanganya?
CorrectMuhimu kwa mtoto wa kiume ni kupambana chaka lolote. Kama ulinzi sawa ila asiingie akiwa na matarajio makubwa ya mshahara, heshima na vyeo.
Vijana wetu bado ni shida Mkuu, kuna dogo mmoja nikimwambia katafute hata kazi ya ulinzi ya 150,000 analeta ubitozi, lakini kila siku anapiga mizinga ya 2,000, 3,000.
Yaani yeye anataka kazi za supermarket au za kufanyia ubitozi.
Yah Mimi mwenyewe nina taaluma yangu lakini nipo kwenye ulinzi nimekosa garda ila Leo nimepata kampuni nyingine ya ulinzi nimetumia cheti Cha kidato Cha 4 na nina familia watoto wataishi vp napiga lindo mwanaume wanangu wanakula lakini mtu yupo single analialiaCorrect
Hayo mavitu sijui fiverr na Upwork nayasikiaga sn Ila sikuwahi kuwa na time nayo..ngoja nianze kufatiliaVideo edting ni huduma ambayo watu wanahitaji sana kwaajili ya masoko.
Ngoja nijaribu kukupambaniaNdugu zangu msinichoke bado sijapata ajira. Nilisoma IT lakini ninaweza kufanya kazi yoyote. Kama una duka au biashara naomba uniamini nije nifanye kazi yako kwa ufanisi. Napatikana Dar es salaam.
Hata wale wenye vibanda sabasaba kama unahitaji kibarua, nipo.
Mkuu kumbe na wewe ni mdau wa hizi mambo. Mimi Fiverr siko active sana kule hivyo siwezi kukupa ushauri, mimi zaidi ni Upwork, Freelancer na LinkedIn.Si wanadai uki paste unakuwa disregarded, tatizo siwezi ona hadi nimalize process ya kujaza detail ambapo ndio kuna hio mandatory field ya kujieleza
Kama we mtalaam, basi ina uhitaji mkubwa sana hasa kwa wanaotengeneza video za YT. Mtu akupe video ya madakika au masaa uedit iwe ya dakika kadhaa ni wengi kwe hizi freelancing platformConnection sasa mzee
Freelancer hawasumbui?Mkuu kumbe na wewe ni mdau wa hizi mambo. Mimi Fiverr siko active sana kule hivyo siwezi kukupa ushauri, mimi zaidi ni Upwork, Freelancer na LinkedIn.
Kumejaaa wahindi ni matapeli balaa ukizubaa wanapita na ela yako, halafu kunawabangladesh ukizubaa utapiga kazi ukidhani utapata dollar 2000 kumbe hata mia hakulipi. Ila si mbaya ukiwa wajua tofautisha tapeli na asiyetapeli na ukafuata utaratibu hakuna kufanya kazi bila milestone na hutoi ela eti ya sijui hao matapeli uwa wanaitaje nimesahau.Freelancer hawasumbui?
Ila kwa kifupi ni kwamba hizi platform kwasas zimejaa yani kuna watu wanafanya kazi kwa ela ndogo kabisa hivyo hailipi sana kama zamani unless unafanya professional jobs ambazo si kila mtu anaweza fanyaFreelancer hawasumbui?
Yeah ukisema hivyo naelewa maana nimeona kazi za usd 5 kibao!Ila kwa kifupi ni kwamba hizi platform kwasas zimejaa yani kuna watu wanafanya kazi kwa ela ndogo kabisa hivyo hailipi sana kama zamani unless unafanya professional jobs ambazo si kila mtu anaweza fanya
Zile za kubid niliona wananiletea habari sijui za kulipia hela ya nini nikaona wezi hawa 🤣🤣🤣 nikakimbiagaKumejaaa wahindi ni matapeli balaa ukizubaa wanapita na ela yako, halafu kunawabangladesh ukizubaa utapiga kazi ukidhani utapata dollar 2000 kumbe hata mia hakulipi. Ila si mbaya ukiwa wajua tofautisha tapeli na asiyetapeli na ukafuata utaratibu hakuna kufanya kazi bila milestone na hutoi ela eti ya sijui hao matapeli uwa wanaitaje nimesahau.
Mimi nshaacha kubid freelancer nipo tu nina clients wawili wa permanent japo mmoja nilikuwa nimempoteza toka mwez wa tatu naona jana karudi.