4 7mbatizaji
JF-Expert Member
- Dec 8, 2019
- 8,406
- 9,619
Waziri si ana PhD ya uchumi, au huwa wanamsingizia?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
PhD yake ni ya kwenye makaratasi tu, akiwa 'site' majibu ya maswali yote ni tozo.Waziri si ana PhD ya uchumi, au huwa wanamsingizia?
Ushahidi wa tozo? Au mfumuko wa bei? Kwani waimba taarabu wana tatizo gani?Acha kuwa kama mwimba taarabu wewe# lete ushahidi
Ni ukweli ulio wazi kuwa matatizo haya hayakuwapo wakati wa JPM, sio unafiki, siri wala kificho. Inawezekana Mpango alikuwa waziri bora kuliko Nchemba au JPM alikuwa rais bora kuliko huyu wa sasa. All in all rais ndio kiongozi wa serikali, kwahiyo haya yote kayaleta mama.Upumbavu mtupu. Aya ya mwisho ndio imeanika upumbavu wako wa wazi wazi
Labda mambo yanakwenda vizuri kwenu mafisadi mliorudi mahala penu patakatifu.Wewe mvivu kaa kimya mambo yanakwenda vizuri sana kama yule juha angeenda huvi saizi nipambali sana
Tanzania haimo miongoni mwa Nchi zinazokopa Sana Wala zenye madeni makubwa so acha kujilisha upepo wa kijinga.Utajiri ungepimwa kwa njia ya mikopo basi Tanzania tungekuwa mbali sana!
Maana tunakopa kila kukicha
Halafu kuna wengine wanaagizwa wajipimie😁😁😁
Mithali 31-6: "Mpe kileo yeye aliye karibu na kupotea; Kampe divai yeye aliye na uchungu nafsini."Tozo zipi hizo ambazo zinakufanya kuwa maskini?
Bora hata ulivyosema kupanda Kwa Bei,hata hivyo kupanda bei Kwa vitu ni faida kwa wauzaji lakini huwa shida ikiwa watu hawana uwezo wa kununua..
Mwisho kama bia zinazidi kuuzika na watu wanajaa Bar,kumbe maisha sio magumu kwa kiasi hicho.
Nchi ngum Sana hii, alafu nasikia alitakaga kuwa Rais,na wenda anautaka, ila Shaka kaisha wapiga pin huko, 2025 Kuna uwezekano wa kua na form 1 Kama 2020 kupitia chama kilePhD yake ni ya kwenye makaratasi tu, akiwa 'site' majibu ya maswali yote ni tozo.
Mkuu ishu kama izi lazimanuwe nanjustification ya takwimu sio umeshiba ugali kisha unakuja na hoja nyepesi sanaa kama wazee wa kahawa vijiweniUkweli tuuseme tu, jahazi limeanza kumshinda mama. Sio kwa ugumu wa maisha huu!
Yaani watanzania wanatozwa tozo ambazo hata mkoloni na roho yake mbaya asingethubutu kuwatendea namna hiyo.
Wengi wetu vipato vyetu ni vilevile, lakini gharama za maisha zimepata mara dufu! Kwa lugha rahisi tumekuwa masikini zaidi.
Ni tozo tozo tozo kila kona, wakati huohuo kila kitu kimepanda bei, uwezo wa kufikiri wa mheshimiwa waziri wetu wa fedha umegota kwenye tozo tu. Yeye na timu yake kila wakiumiza vichwa bado jibu lao ni tozo zaidi!
Ni nani anayenufaika na hali hii? Au ndio wale wafanyabishara walioitia 'sirikali' mfukoni wa awamu ilee wamerudi kukusanya vyote walivyopoteza wakati wa JPM?
Eeh hayati JPM rais wa wanyonge, utusamehe siye wakosefu tuliokukosea adabu na kukusemasema vibaya wakati ule, sasa yametukuta, hatujui kama kuna tumaini au hali ndio hii hadi 2030. Anyway, pumzika kwa amani, kwa maana wewe haukutuangusha ila sisi tulikuangusha.
Nimeshangaa tozo mpaka miamala benki kuweka na kutoa imebidi niitoe hela zangu nijenge kijumba Cha zege home tu hakuna namnatozo tozo tozo kila kona, wakati huohuo kila kitu kimepanda bei,
Lile dubwana la chato pamoja ja mapungufu yake lakini lilikuwa na akili nyingi na uwezo mkubwa wa kufuatilia mambo mengi in details.Tuwe wawazi shida ilianzia awamu ya 5 na pia kwa sasa kuna matatizo chungu nzima yameiangukia Dunia hata kama lingekuwepo lile dubwana la Chato bado hali isingekuwa nzuri kwani budget yote ingeelekezwa kwenye machuma chuma plus mahelicopter ya ulinzi plus msako wa mtu anayeitwa Kigogo aishiye Twitter
Kweli kila mtu na zama zake, mimi awamu ya tano vyuma vilikaza lakini maisha yalikuwa na stability, kwasasa mambo ni vurugu tupu.... Lakini wanasema historia ni mwalimu mzuri, mama akiendelea hivi basi tutajikuta tunaishi kama 1985-1995.Awamu pesa imerudi mtaani japo vitu vimepanda bei ila pesa tu imerudi mtaani huo ndo ukweli
Na ugumu wa maisha ulianza awamu ya tano kukaza vyuma
🤣🤣🤣Nimeshangaa tozo mpaka miamala benki kuweka na kutoa imebidi niitoe hela zangu nijenge kijumba Cha zege home tu hakuna namna
Mataifa yote yenye kodi kubwa inakwenda sambamba na huduma bora za jamii tena za bure! Kwa umasikini wa watanzania kuwa toza utitiri wa kodi ni kuwaongezea umasikini tu. Watakaonufaika na awamu hii ni wafanyabishara wakwepa kodi, na watumishi wa serikali wataponea kwenye rushwa kutokea kwenu.Watanzania kulilia inatusumbua sana badala ya kukaza buti. Sasa tozo gani inayokatwa hata kulalamikia mamlaka ya rais kiwango hiki. Tembea uone nchi zanazokata tozo ndio utaelewa, kuhusu maisha kuwa magumu asilimia kubwa ya watanzania tumezowea kuletewa samaki nyumbani na sio kwenda kuvua baharini. Tukazeni mikanda tuvuke mto
Kwahiyo kuwepo kwa tozo ni umasikini? Mfumuko wa bei ni umasikini we ngosha bwana! Mwangaluka gukuUshahidi wa tozo? Au mfumuko wa bei? Kwani waimba taarabu wana tatizo gani?
Alaa kwa hiyo ndicho huwa kinawapeleka Bar miaka na miaka?Mithali 31-6: "Mpe kileo yeye aliye karibu na kupotea; Kampe divai yeye aliye na uchungu nafsini."
Baa tunaenda kujisahaulisha machungu ya uchumi wa awamu ya 6.
Kila mtu ale kwa urefu wa kamba yake[emoji23]Ukweli tuuseme tu, jahazi limeanza kumshinda mama. Sio kwa ugumu wa maisha huu!
Yaani watanzania wanatozwa tozo ambazo hata mkoloni na roho yake mbaya asingethubutu kuwatendea namna hiyo.
Wengi wetu vipato vyetu ni vilevile, lakini gharama za maisha zimepata mara dufu! Kwa lugha rahisi tumekuwa masikini zaidi.
Ni tozo tozo tozo kila kona, wakati huohuo kila kitu kimepanda bei, uwezo wa kufikiri wa mheshimiwa waziri wetu wa fedha umegota kwenye tozo tu. Yeye na timu yake kila wakiumiza vichwa bado jibu lao ni tozo zaidi!
Ni nani anayenufaika na hali hii? Au ndio wale wafanyabishara walioitia 'sirikali' mfukoni wa awamu ilee wamerudi kukusanya vyote walivyopoteza wakati wa JPM?
Eeh hayati JPM rais wa wanyonge, utusamehe siye wakosefu tuliokukosea adabu na kukusemasema vibaya wakati ule, sasa yametukuta, hatujui kama kuna tumaini au hali ndio hii hadi 2030. Anyway, pumzika kwa amani, kwa maana wewe haukutuangusha ila sisi tulikuangusha.