Hali ni mbaya, Watanzania wengi wamekuwa masikini zaidi awamu hii ya sita

Hali ni mbaya, Watanzania wengi wamekuwa masikini zaidi awamu hii ya sita

Kwahiyo kuwepo kwa tozo ni umasikini? Mfumuko wa bei ni umasikini we ngosha bwana! Mwangaluka guku
I really wanted to type the maths here and explain it to you.... But then I doubt your dummy ass will get it. So let's just leave it like this, when inflation hits middle & lower income people get poorer, if you throw in high taxes and nonsensical government levies it's a disaster for them.
 
Tozo zipi hizo ambazo zinakufanya kuwa maskini?

Bora hata ulivyosema kupanda Kwa Bei,hata hivyo kupanda bei Kwa vitu ni faida kwa wauzaji lakini huwa shida ikiwa watu hawana uwezo wa kununua..

Mwisho kama bia zinazidi kuuzika na watu wanajaa Bar,kumbe maisha sio magumu kwa kiasi hicho.
Una huhakika kama watu wakienda bar wanakunywa beer!?? Kama.ulikuwa hujui bar watu wanakunywa ngumu kumeza ili wapatr vibe mapema bapa ya 10000 wanakunywa watu watatu mpaka 5 huo ni umasikini .
 
Embu acha kuongea jumla jumla hapa, Tozo zipi zilizokuongezea umasikini kutoka kwenye utajiri ulio kuwa nao awali, unazani hata hizo nchi za ulaya zilifika hapo zilipo kwa kukaa na kusubiri walipa Kodi wa nchi nyingine wawape pesa,

Lazima ufahamu kuwa hakuna nchi inaendelea kwa kuitegemea nchi nyingine, lazima sisi wenyewe ndio tujifunge mikanda ili kuijenga nchi yetu wenyewe, lazima tuhakikishe kuwa ujenzi wa huduma za kijamii tunajikusanyia hela zetu na kujenga wenyewe na kutunza miradi hiyo kwa uchungu na umakini

Mh Rais anafanya kazi kubwa ya kuhakikisha kuwa pamoja na uchumi wa dunia kuyumba lakini serikali inabeba baadhi ya gharama kumsaidia mwananchi mnyonge, ndio maana unaona serikali ikitoa Ruzuku mabillioni kwa mabillioni ili mwananchi apate unafuu wa kumudu gharama za vitu Kama mbolea na hata mafuta
 
Mimi sina cha kupoteza nihesabiwe au nisihesabiwe sensa sioni kama itasaidia chochote katika maisha yangu.
 
Jifunze kutafuta suluhu ya mattzo yako acha kuraumu kla ktu serikal maisha magumu badili mfumo wako wa maisha sio lazma kula mara tatu kwa sku
 
Ukweli tuuseme tu, jahazi limeanza kumshinda mama. Sio kwa ugumu wa maisha huu!

Yaani watanzania wanatozwa tozo ambazo hata mkoloni na roho yake mbaya asingethubutu kuwatendea namna hiyo.

Wengi wetu vipato vyetu ni vilevile, lakini gharama za maisha zimepata mara dufu! Kwa lugha rahisi tumekuwa masikini zaidi.

Ni tozo tozo tozo kila kona, wakati huohuo kila kitu kimepanda bei, uwezo wa kufikiri wa mheshimiwa waziri wetu wa fedha umegota kwenye tozo tu. Yeye na timu yake kila wakiumiza vichwa bado jibu lao ni tozo zaidi!

Ni nani anayenufaika na hali hii? Au ndio wale wafanyabishara walioitia 'sirikali' mfukoni wa awamu ilee wamerudi kukusanya vyote walivyopoteza wakati wa JPM?


RIP JPM.
Wananchi hali mbaya Kiuchumi ila Yeye anaendelea tu na Ukarabati wa Hekalu lake Mbweni linalopakana na Uwanja ( Eneo ) la Jirani yake ambaye pia alikuwa ndiyo Boss wake kabla Israeli hajafanya yake tarehe 17 Machi, 2021 kwa Mzena Makumbusho Dar es Salaam Tanzania Afrika Mashariki.
 
Wanaume mnalalamika kupita kiasi[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Ukweli tuuseme tu, jahazi limeanza kumshinda mama. Sio kwa ugumu wa maisha huu!

Yaani watanzania wanatozwa tozo ambazo hata mkoloni na roho yake mbaya asingethubutu kuwatendea namna hiyo.

Wengi wetu vipato vyetu ni vilevile, lakini gharama za maisha zimepata mara dufu! Kwa lugha rahisi tumekuwa masikini zaidi.

Ni tozo tozo tozo kila kona, wakati huohuo kila kitu kimepanda bei, uwezo wa kufikiri wa mheshimiwa waziri wetu wa fedha umegota kwenye tozo tu. Yeye na timu yake kila wakiumiza vichwa bado jibu lao ni tozo zaidi!

Ni nani anayenufaika na hali hii? Au ndio wale wafanyabishara walioitia 'sirikali' mfukoni wa awamu ilee wamerudi kukusanya vyote walivyopoteza wakati wa JPM?


RIP JPM.
Yaani ulipoweka "RIP JPM" ndio nimekuona matacor kinyama!
 
Wasukuma wasukuma kaeni kimya. Sisi tunaendelea hesabuni tu mikia ya ng’ombe. Msukuma mleta thread nenda Gambosj kafufue shetani mwendazake Magufuli.
 
Tuwe wawazi shida ilianzia awamu ya 5 na pia kwa sasa kuna matatizo chungu nzima yameiangukia Dunia hata kama lingekuwepo lile dubwana la Chato bado hali isingekuwa nzuri kwani budget yote ingeelekezwa kwenye machuma chuma plus mahelicopter ya ulinzi plus msako wa mtu anayeitwa Kigogo aishiye Twitter
Magufuli aliangusha uchumi wa Nchi, serikali ilifirisika kabisa kabisa, matokeo yake ndio haya tunayoyaona Sasa, wakulaumiwa ni mwendazake
 
Back
Top Bottom