Mzalendo Uchwara
JF-Expert Member
- Jan 26, 2020
- 4,437
- 13,836
- Thread starter
-
- #41
I really wanted to type the maths here and explain it to you.... But then I doubt your dummy ass will get it. So let's just leave it like this, when inflation hits middle & lower income people get poorer, if you throw in high taxes and nonsensical government levies it's a disaster for them.Kwahiyo kuwepo kwa tozo ni umasikini? Mfumuko wa bei ni umasikini we ngosha bwana! Mwangaluka guku
Una huhakika kama watu wakienda bar wanakunywa beer!?? Kama.ulikuwa hujui bar watu wanakunywa ngumu kumeza ili wapatr vibe mapema bapa ya 10000 wanakunywa watu watatu mpaka 5 huo ni umasikini .Tozo zipi hizo ambazo zinakufanya kuwa maskini?
Bora hata ulivyosema kupanda Kwa Bei,hata hivyo kupanda bei Kwa vitu ni faida kwa wauzaji lakini huwa shida ikiwa watu hawana uwezo wa kununua..
Mwisho kama bia zinazidi kuuzika na watu wanajaa Bar,kumbe maisha sio magumu kwa kiasi hicho.
Hapana, najaribu kukwambia kwamba baa kujaa haina maana kwamba hali ni nzuri. Inaweza kuwa dalili ya watu kukata tamaa.Alaa kwa hiyo ndicho huwa kinawapeleka Bar miaka na miaka?
Kwakweli wenye kamba ndefu wata enjoy maisha, kama walivyofaidi 1985-1995.Kila mtu ale kwa urefu wa kamba yake[emoji23]
Acha blaa blaa wewe,Bar hawagawi bia bure zinanunuliwa tena kwa bei ya kutosha tuu.Hapana, najaribu kukwambia kwamba baa kujaa haina maana kwamba hali ni nzuri. Inaweza kuwa dalili ya watu kukata tamaa.
Wanakunywa nini? Mikojo au?Una huhakika kama watu wakienda bar wanakunywa beer!?? Kama.ulikuwa hujui bar watu wanakunywa ngumu kumeza ili wapatr vibe mapema bapa ya 10000 wanakunywa watu watatu mpaka 5 huo ni umasikini .
Shika jembe acha uvivu chakula kinasoko sana ainayoyote pesa nizakuzoaLabda mambo yanakwenda vizuri kwenu mafisadi mliorudi mahala penu patakatifu.
Wananchi hali mbaya Kiuchumi ila Yeye anaendelea tu na Ukarabati wa Hekalu lake Mbweni linalopakana na Uwanja ( Eneo ) la Jirani yake ambaye pia alikuwa ndiyo Boss wake kabla Israeli hajafanya yake tarehe 17 Machi, 2021 kwa Mzena Makumbusho Dar es Salaam Tanzania Afrika Mashariki.Ukweli tuuseme tu, jahazi limeanza kumshinda mama. Sio kwa ugumu wa maisha huu!
Yaani watanzania wanatozwa tozo ambazo hata mkoloni na roho yake mbaya asingethubutu kuwatendea namna hiyo.
Wengi wetu vipato vyetu ni vilevile, lakini gharama za maisha zimepata mara dufu! Kwa lugha rahisi tumekuwa masikini zaidi.
Ni tozo tozo tozo kila kona, wakati huohuo kila kitu kimepanda bei, uwezo wa kufikiri wa mheshimiwa waziri wetu wa fedha umegota kwenye tozo tu. Yeye na timu yake kila wakiumiza vichwa bado jibu lao ni tozo zaidi!
Ni nani anayenufaika na hali hii? Au ndio wale wafanyabishara walioitia 'sirikali' mfukoni wa awamu ilee wamerudi kukusanya vyote walivyopoteza wakati wa JPM?
RIP JPM.
Mkishashiba huwa mna Dharau mno.Jifunze kutafuta suluhu ya mattzo yako acha kuraumu kla ktu serikal maisha magumu badili mfumo wako wa maisha sio lazma kula mara tatu kwa sku
Hatuwezi kuwa jamii ya wakukima pekee, lakini mfumuko wa bei na utitiri wa kodi unawaumiza hata wakulima.Shika jembe acha uvivu chakula kinasoko sana ainayoyote pesa nizakuzoa
Yaani ulipoweka "RIP JPM" ndio nimekuona matacor kinyama!Ukweli tuuseme tu, jahazi limeanza kumshinda mama. Sio kwa ugumu wa maisha huu!
Yaani watanzania wanatozwa tozo ambazo hata mkoloni na roho yake mbaya asingethubutu kuwatendea namna hiyo.
Wengi wetu vipato vyetu ni vilevile, lakini gharama za maisha zimepata mara dufu! Kwa lugha rahisi tumekuwa masikini zaidi.
Ni tozo tozo tozo kila kona, wakati huohuo kila kitu kimepanda bei, uwezo wa kufikiri wa mheshimiwa waziri wetu wa fedha umegota kwenye tozo tu. Yeye na timu yake kila wakiumiza vichwa bado jibu lao ni tozo zaidi!
Ni nani anayenufaika na hali hii? Au ndio wale wafanyabishara walioitia 'sirikali' mfukoni wa awamu ilee wamerudi kukusanya vyote walivyopoteza wakati wa JPM?
RIP JPM.
Magufuli aliangusha uchumi wa Nchi, serikali ilifirisika kabisa kabisa, matokeo yake ndio haya tunayoyaona Sasa, wakulaumiwa ni mwendazakeTuwe wawazi shida ilianzia awamu ya 5 na pia kwa sasa kuna matatizo chungu nzima yameiangukia Dunia hata kama lingekuwepo lile dubwana la Chato bado hali isingekuwa nzuri kwani budget yote ingeelekezwa kwenye machuma chuma plus mahelicopter ya ulinzi plus msako wa mtu anayeitwa Kigogo aishiye Twitter
Hakukuwa na haja ya kunitukana.Yaani ulipoweka "RIP JPM" ndio nimekuona matacor kinyama!