Hali ni tete Mtwara Leo, Sakata la Gesi

Yes pamoja na Zanzibar to the East, Arusha to the North na Mbeya to west, together they constitute the four cardinal points of the compass that will set us free. Let freedom ring!


 
Mitambo zaidi kujengwa Mtwara inayohusu gesi na mafuta.
 
Yes pamoja na Zanzibar to the East, Arusha to the North na Mbeya to west, together they constitute the four cardinal points of the compass that will set us free. Let freedom ring!
Usisahau Mwanza to the lake zones!
 
Hakuna kuogopa ntu hapa, ukilala nchale,ukisimama nchale na ukikaa nchale.Cha msingi usisafirishe gesi yetu wana Ntwara!
 
Jamani bomba Hili ni kwa manufaa ya Taifa. .wabunge na maofisa ws juu CCM na Chadema pamoja na vyama vyote vya siasa waelimishe Wananchi.

tatizo huu mradi inasemekana mafisadi 50% yao.

Hivyo kuwaelimisha wanamtwara ni sawa kuhalisha ufasadi, acha serikali iendelee kutumia ubabe bila kujua hata bokho haramu walianzaga hivihivi
 
Mtwara wote wataajiriwa wenye sifa za kuajirika.
 
Nimepata taarifa kuwa kuna vurugu zimeanza Mtwara na mabomu ya machozi yameanza kupigwa.

Mwenyee taarifa zaidi atujuze.
 
Kila kitu kinamwanzo na mwisho wake, sasa wanamtwara huu ni wakati wa kusubiri maendeleo yako njiani kwa mikoa ya mtwara na lindi.
 

mkuu hizi picha kule kwetu wangekwambia umeangukia pua
 
Nimepata taarifa kuwa kuna vurugu zimeanza Mtwara na mabomu ya machozi yameanza kupigwa.

Mwenyee taarifa zaidi atujuze.

duuuuh, hv serikalini hawana waliosomea conflicts and conflict solving' mbona hawatak kuwa crius na huko chini....hii ni ishara kwamba ipo ck mioto itawaka kila mkoa kwa ck moja..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…