Huyu jamaa nimemfuatulia vizuri sana muda mrefu tangu akiwa CCM tena kwa cheo cha mwanasheria mkuu wa SMZ.
Kama kwenye bunge la katiba aliamua kusimama na Wazanzibar na kukubali kupoteza nafasi ya AG wa SMZ ni lazima mjue huyu ni zaidi ya Maalim Seif, Maalim Seif anamzidi huyu jamaa umri tu, historia na kuwa ndio icon ya upinzani Zanzibar, sikushangaa hata kidogo baada ya kifo cha Maalim Seif ni yeye ndio akateuliwa kuziba nafasi ya Maalim ya VP.
Na kwakuwa Rais wa JMT ni Mzanzibar huyu jamaa hakuna wa kumnyamazisha, awamu ya sita ndio ya kuclear dhuluma zote walizofanyiwa Wazanzibar.
Kwahiyo unataka tuwaache ili waikaloe zenji..muungano unamapungufu yake sana..ila kuipa uhuru kamili zenji ni kuhatarisha maisha ya watanganyika.
Tunazijua itikadi hizo zikikita mizizi..
#MaendeleoHayanaChama
Tatizo wanzanzibar mnajikaanga wenyewe kwa wenyewe. Bara kazi yao ni kuwaletea kuni na kuwaacha nyie mkoke moto, muinjike sufuria, muweke mafuta na kujikaanga wenyewe. Sasa hivi rais ni kutoka Zanzibar, kwa nini asikubali mabadiliko ya katiba yatakayozingatia maslahi ya wazanzibar wanayodai? Bungeni Dodoma mnaenda kufanya nini kama mnaona muungano haufai? Nachelea kusema malalamiko yenu ni visingizio baada ya uongozi wenu kushindwa kuwaletea wananchi wake maendeleo. Punguzeni kula urojo na viongozi wenu waache kutumikia serikali ya muungano na mjiongoze wenyewe kama mnadhani mambo ni rahisi sana.
Ukiwatumia "wasiojulikana" ili wapelekwe "chocho", basi nyie wapeleka watu chocho ndiyo mnakuwa mmeshindwa na sio wakweli. Kuua/kupoteza watu sio suluhisho, bali ni ushenzi na uwendawazimu kwa wafanyao hayo...!!Wazenji wengi hawana fahamu kuwa Muungano huu ni "iron-clad" yaani hauvunjiki sababu waliouanzisha ni marehemu kwasasa.
Wapiga kelele kama hao kina Othman ni kuwatumia "watu wasiojulikana" tu wapelekwe chocho na kutulizwa!
Huyu Othman anajua idadi ya wazanzibari walioko huku Tanganyika na biashara zao?
Muungano ukivunjika hawa wote watalipa vibali vya ajira.
Jamaa is very radical.
Nakumbuka kipindi kile cha kesi ya mashekhe wa uamsho alikua anawahamasisha wananchi kuwachangia mawakili wa mashehe wa uamsho.
Inashangaza mtu kuchukua upande wa mtuhumiwa wazi wazi wakati upo ndani ya serikali inayowashitaki hao mashehe.
Wazanzibar wanaotaka kujitenga ni wahuni tu Kwa Sababu kihalali Watanganyika ndo wanaunizwa na huu muungano Watu wanamiliki uchumi wa Tanganyika halafu Leo wanajiona wanjanja na kuanzia kulia eti wanaonewa huu ni ujinga tu .
Ndio mnaloweza tu hilo lá wasiojulikana washenzi wakubwa.Wazenji wengi hawana fahamu kuwa Muungano huu ni "iron-clad" yaani hauvunjiki sababu waliouanzisha ni marehemu kwasasa.
Wapiga kelele kama hao kina Othman ni kuwatumia "watu wasiojulikana" tu wapelekwe chocho na kutulizwa!
Hayo ndio mawazo mgando mtu akiwa tofauti ya maono na nyinyi hafai. Nanllomo.Kwa maoni yangu, huyu mtu anatakiwa awekwe pembeni, apate muda wa kutosha ajishughulishe na siasa, kwasababu ACT ndani ya GNU wanatakiwa kutekeleza Ilani na sera za CCM!.
Ushauri kama huu kumhusu mtu huyu huyu niliwahi kuutoa kule nyuma na ukatekelezwa, Dr. Shein Mfute Kazi Haraka, Mwanasheria Mkuu wa Zanzibar Kabla Hajamwaga Sumu Hii
P
Wewe huoni faida ya umoja amani na undugu..kingine bahari na vilivyomo.Ndio mnaloweza tu hilo lá wasiojulikana washenzi wakubwa.
Hakuna mzanzibar anaehitaji muungano isipokuwa hão mliowaeka ili kutimiza matakwa yenu ya kiunyonyaji na kwanini mng'ang'anie wakati hampati faida mnayoipata huko znz.
Sent from my SM-N9150 using JamiiForums mobile app
Huyu atawasumbua sana CCM kwa ujinga wao tu, wa kuamini kwamba njia nzuri ya kunyamazisha upinzani ni ku'appease', kama kutoa hongo za nafasi za uongozi.Na kwakuwa Rais wa JMT ni Mzanzibar huyu jamaa hakuna wa kumnyamazisha, awamu ya sita ndio ya kuclear dhuluma zote walizofanyiwa Wazanzibar.
Anatumia udhaifu wa CCM kujibaraguza hivi.Huyu si hardliner ni kwamba hautaki muungano. Ukisikia kauli zake utashangaa sana
Rejea clip ya pili ya bandiko#6 anatukana na kusema Tanganyika ni wagonjwa wameziba njia za Zanzibar
OMO hajui gharama za ving'ora anavyozunguka navyo, usalama wa nchi wa mipaka na ndani n.k.
Wachina hawataki kuipa Zanzibar kwa kuchelea kuwa haidhaminiki kwa uchumi wake.
Yeye anasema Tanganyika inawazibia, akili za jabu sana, kwamba izibe Zanzibar isikope kwa faida gani.
Kauli zote hizo ni kuchochoea kwamba Zanzibar inapunjwa ingawa haelezi kwa lipi bali lalama tu
Kuna watu waliojificha lakini hawataki muungano. VP OMO, Ali Salehe na yule wa London Rajabu
Jitokezeni mpige chapuo kura ya maoni. OMO katoa mfano wa Scotland katika jitihada za kuwaambia Wazaznibar wadai kura ya maoni. Tatizo lake hasemi wazi anatumia code na kuzua uongo dhidi ya Tanganyika
OMO waambie ACT wasidai tume ya uchaguzi au katiba mpya, Wazanzibar wadai kura ya moni tutawaunga mkono 100%
Mkuu, mimi sjasema hivyo. Hiyo itakuwa ni tafsiri yako mwenyewe juu ya nilichoandika mimi.Kwa hiyo mtu anayepewa ulaji na kutulia kumbe ndio mzuri kuliko asiyenyamazishwa na ulaji?
EeeeenHeeee!Huyu ni katika wanafunzi wa Siasa Maalim Seif kama ulikua hulifahamu. Hapo akiwa na Ismail Jussa wakiwa wadogo sana.
View attachment 2280695
😂😂😂😂Mimi siwaoni wote wawili!!
Fear of the unknown...Kwahiyo unataka tuwaache ili waikaloe zenji..muungano unamapungufu yake sana..ila kuipa uhuru kamili zenji ni kuhatarisha maisha ya watanganyika.
Tunazijua itikadi hizo zikikita mizizi..
#MaendeleoHayanaChama