..ameleta vurugu gani?
..kuna watu walioleta vurugu na dhuluma Znz kuliko viongozi wa Ccm na Smz?
Othman Masoud ni mtu asieutaka Muungano ata Zanzibar ipewe nini atakuja na dai jipya.
Sasa kwa yeyote mwenye kuelewa misimamo yake si ajabu kuona uzushi, uongo na sumu anayosambaza leo.
Binafsi ukipekua mada ya kutafuta mrithi wa Maalim Seif, kabla ya ACT kupeleka jina lolote nilisema watamteua huyo jamaa (kumbuka hakuwa na senior position ndani ya chama muda huo) bali itakuwa kwa sababu la kuanzisha vugu-vugu la kuuvunja muungano tu.
Maalim Seif alikuwa moderate kwenye kudai nyongeza ya autonomy ya Zanzibar and wise kuepuka vurugu. Huyu Othman Masoud ni radical na ajali sana lolote zaidi ya independence again ukisoma hizo mada za kutafuta replacement nilisema ACT wakimteua huyo jamaa serikali imkatae kwa sababu mbeleni wanamtengenezea jukwaa la kugawa wazanzibari (na ndio kinachoanza kutokea sasa).
Mgawanyiko ya Hizbu na asili Zanzibar auna tofauti na Loyalists na Unionist (North Ireland) bila ya serikali ya uingereza apakaliki kule; ndio kama visiwani bila ya bara.
Asifananishe na Scotland kutumia vita za kifalme kama sababu; huo ni utaratibu mwingine wa mediaeval chiefdoms ambapo walikuwa wanaona wenyewe kwa wenyewe wafalme Europe na kupelekeana vita wakati mwingine kwa madai ya fulani yeye ndio mrithi. King George wa uingereza alikuwa mjerumani mbona hizi sio nchi moja leo. Sasa asichanganye historia za kifalme na siasa nation unions ni vitu viwili tofauti.
Anyway mimi sio pro muungano anymore tuwaache tu wafanye yao; ila kwa serikali huyo jamaa ni tatizo.
Ana siasa za ki demagoguery za kutunga uongo na kuhamasisha makundi kusambaza uongo wake plus ana malalamiko ya kitoto sana ata EAC community kuna baadhi ya sheria zinatungwa kwenye bunge community na nchi wanachama wote wana implement that is how Union works mkishakubaliana maswala ya Union na mkaliwekea bunge la kutunga sheria.
Yeye anapotosha jinsi sheria zinavyotungwa anaongopa ya kuwa serikali ya Tanzania ndio guarantor wa mikopo yao waki default bara inatakiwa kulipa ndio maana wakopeshaji wanataka ridhaa ya serikali kuu kwanza. Wao madeni ya ndani kulipa shida tu; wana madeni ya TANESCO in billions tsh awataki kurejesha god know madeni yao mengine yenye guarantee ya serikali kama ata wanachangia kulipa.
Huyo jamaa ni muongo na nakubaliana kabisa na wanaosema interview zake anazofanya huwa akutani na watu wenye uelewa mpana ndio maana anaropoka ovyo uongo.
Kama nilivyosema awali huyo jamaa ni tatizo la serikali kwa upande namuunga mkono for one simple reason it’s time ya kuuvunja huu muungano. My reasons are kwa umoja wao viongozi wa Zanzibar ni ungrateful people and selfish wanataka vya bara tu vyao nehi.