Tetesi: Hali tete Tanzania: Baraza la Maaskofu laandaa Waraka Mzito wa X-Mass


Haina shida hata lile la PASAKA lilikuwa na mbwembwe na lilipita kama Giza na mwanga
 
WATAZUNGUMZIA KUWA SERIKALI IKUBALI USHOGA????
 
TENA AENDELEE KUKAZA UZI
 
Sema baraza la kkt na lowassa sio baraza la maaskofu.
Mtatumia kila gear safari hii kazi mnayo hakuna kuwaachia hatajimbo moja 2020
 
Kumbe ni tetesi!!
 
waainishe ni haki zipi za binadamu..au USHAGA NA USAGAJI NDO WANAUKUMBATIA NA WAO
 
Wakati wanandika huo waraka wazingatie maandiko ya kutii mamlaka maana mamlaka zote zina kibali cha Mungu Mwenyezi. Wasije wakabebwa na wimbi la mirengo ya kisiasa. Mhashamu Kilaini yuko wapi?
 
Jiwe lazima ataomba "poo" kama sio kupagwa.

Christmas inaweza kupigwa marufuku kama zile sherehe zilizokuwa zifanyike hivi karibuni.
Itakuwa ameshaupata ndio maana kawananga kwenye zile sherehe za lile baraza ambalo wengi wenye baraza lao wanadai sio lao ni la Chama twawala.
 
Itakuwa ameshaupata ndio maana kawananga kwenye zile sherehe za lile baraza ambalo wengi wenye baraza lao wanadai sio lao ni la Chama twawala.
Bakwata na uvccm zote ni jumuiya za ccm.
 
Source ya habari hiyo tafadhari !
 
Maaskof wa wakristo nawakubali sana hawana tabia za kulamba watu miguu ...

kama wenzao
 
Jiwe sijui yukoje sahv pale white.....naona anaona joto na AC kawasha vilevile....
 
Kwa nini asijaribu kuwapa million 30 kila madhehebu watumie kadri wanavyoona inafaa?
Mengine anajitakia mwenyewe. Penye kadhia mwaga rupia. Teh teh teh
 
Tupeni zawadi viongozi wetu wa dini, tunaisubiri kwa hamu sana, we shall appreciate
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…