Herr muller
JF-Expert Member
- May 28, 2018
- 1,017
- 1,210
aki wewe bwana yaani wewe unaona tu hela ikitiririka kwanzia bandari, ngos na hata askari ccm huko mipakani, ona huruma mkuuhii vita ikitokea kweli Tanzania tunaweza kunufaika sana kuliko tunavyofikiria kwanza zana nyingi za kivita zitapitia bandarini kwetu na mamia ya wakimbizi watakuja kwenye kambi zetu kwa hiyo ajira njenje na kwa maaskari walioko mipakani pesa ni za kujiokotea kabisa kutoka kwa hao wakimbizi kwahiyo kama mimi ningekuwa ndio nawashauri ningewashauri waanze kutwangana hata Jana asubuhi
Haaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaamajambazi ni watoto wadogo sana kuweza kumvamia kila mtu niamini mimi faida za hao vichaa kutwangana ni kubwa sana kwetu kuliko hasara harafu mazingira hayawezi kuharibika sana kama yanavyoharibiwa na viwanda huko China kwahiyo wewe kaa standby ukisikia kagame kalianzisha wahi rusumo na kabanga fasta kwaajili ya zoezi la kuchota pesa za burebure
just google it plsSamahan kwqnza hizo ant tank ni nini mkuu maana sizijui kabisa ndugu yangu
ahaa how mkuu? alifanya nini na kuleta influence ipi?
Hatari Sana mkuuSubiri wapigane tukapate ajira WFP na UNHCR si hawasikii la mkuu
1."DAHIR INSAAT UNMANNED DEPLOYABLE"walinunua alafu za kisasa zaidi
alafu wana ant tank aina zaid ya kumi
jina lake nimelisahau japo inasemekana zina akili sana na zinapiga long target kwa ufasaha zaid
Iv kuna google gan nyungine tofaut jamiiforum? Mimi google Yangu ni hiijust google it pls
[emoji15] [emoji15] [emoji15]tanzania
hii vita ikitokea kweli Tanzania tunaweza kunufaika sana kuliko tunavyofikiria kwanza zana nyingi za kivita zitapitia bandarini kwetu na mamia ya wakimbizi watakuja kwenye kambi zetu kwa hiyo ajira njenje na kwa maaskari walioko mipakani pesa ni za kujiokotea kabisa kutoka kwa hao wakimbizi kwahiyo kama mimi ningekuwa ndio nawashauri ningewashauri waanze kutwangana hata Jana asubuhi
matope eti eeh sawaAm sorry mkuu but hz akili au matope?
that why nikasema now hana makali kivile[emoji15] [emoji15] [emoji15]
Tanzania huyu watu wake kucha kuunga juhudi????
that why nikasema now hana makali kivile
unajua ata sudan walitaka kuweka mtu wao CIA wakaingilia kutibua kwa mgongo wa kenya
hii habari sio ya kweli hata kidogo gisenyi hamna tukio kama hiloJuzi kati kuna waasi wanajiita wachunguzi walipiga wanajeshi wa kagame na kuuwa 14 na 60 kuumizwa vibaya sana, kifupi walichoma kambi nzima ya RDF huko maeneo ya kisenyi. Sasa pata picha.
limetokea lini hilo tukioHizi taarifa ni za kweli ila walijitahidi sana kuzificha!
Ndiyo maana huko juu nimeandika 'PK ana maadui wengi ndani ya nchi yake kuliko walioko nje'!
walitaka wamuweke nan?Sudani kusini,ni kweli ,na baadhi ya mipango ilipangwa Arusha ,Ngurdoto
walitaka wamuweke nan?
alafu kwanini cia walitibua huo mpango
walitaka kumpa nchi huyo maza?Habari ndefu kdg
Kuna Mama mmoja mtz alikua pale Adis Ababa ofc za AU enzi hizo OAU ,alipelekwa Juba /Sudan ,before kugawanywa kitambo Sana ,ndio aliweka mazingira sawa [ nadhani kuna kilichotokea ]
Inakua SS ,lile bomba la gesi ni nani mdau Mkuu
walitaka kumpa nchi huyo maza?
mafanikio ya kiuchumi mliyopata mpaka sasa ni yap?
huyo maza now yupo wap?
kama tz ndio walikuwa master plan mbona kenya ndio kawa kiherehere alafu yeye ndio anaonekana mkomboziHapana hakutakiwa kupewa ,yy aliratibu kupatikana kwa nchi ya SS ,bado yuko SS
Kiuchumi sijui ,kwani kipindi Sera ya ukombozi kusini mwa jangwa la sahara,kuna faida ya kiuchumi ilipatikana?