Tetesi: Hali ya hatari kati ya Burundi vs Rwanda

Tetesi: Hali ya hatari kati ya Burundi vs Rwanda

hii vita ikitokea kweli Tanzania tunaweza kunufaika sana kuliko tunavyofikiria kwanza zana nyingi za kivita zitapitia bandarini kwetu na mamia ya wakimbizi watakuja kwenye kambi zetu kwa hiyo ajira njenje na kwa maaskari walioko mipakani pesa ni za kujiokotea kabisa kutoka kwa hao wakimbizi kwahiyo kama mimi ningekuwa ndio nawashauri ningewashauri waanze kutwangana hata Jana asubuhi
aki wewe bwana yaani wewe unaona tu hela ikitiririka kwanzia bandari, ngos na hata askari ccm huko mipakani, ona huruma mkuu
 
majambazi ni watoto wadogo sana kuweza kumvamia kila mtu niamini mimi faida za hao vichaa kutwangana ni kubwa sana kwetu kuliko hasara harafu mazingira hayawezi kuharibika sana kama yanavyoharibiwa na viwanda huko China kwahiyo wewe kaa standby ukisikia kagame kalianzisha wahi rusumo na kabanga fasta kwaajili ya zoezi la kuchota pesa za burebure
Haaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
 
Am sorry mkuu but hz akili au matope?
hii vita ikitokea kweli Tanzania tunaweza kunufaika sana kuliko tunavyofikiria kwanza zana nyingi za kivita zitapitia bandarini kwetu na mamia ya wakimbizi watakuja kwenye kambi zetu kwa hiyo ajira njenje na kwa maaskari walioko mipakani pesa ni za kujiokotea kabisa kutoka kwa hao wakimbizi kwahiyo kama mimi ningekuwa ndio nawashauri ningewashauri waanze kutwangana hata Jana asubuhi
 
Juzi kati kuna waasi wanajiita wachunguzi walipiga wanajeshi wa kagame na kuuwa 14 na 60 kuumizwa vibaya sana, kifupi walichoma kambi nzima ya RDF huko maeneo ya kisenyi. Sasa pata picha.
hii habari sio ya kweli hata kidogo gisenyi hamna tukio kama hilo

wachunguzi?
 
Hizi taarifa ni za kweli ila walijitahidi sana kuzificha!
Ndiyo maana huko juu nimeandika 'PK ana maadui wengi ndani ya nchi yake kuliko walioko nje'!
limetokea lini hilo tukio

lengo la hao wachunguzi ni nn?

makao makuu yao ni wap?
 
Habari ndefu kdg

Kuna Mama mmoja mtz alikua pale Adis Ababa ofc za AU enzi hizo OAU ,alipelekwa Juba /Sudan ,before kugawanywa kitambo Sana ,ndio aliweka mazingira sawa [ nadhani kuna kilichotokea ]

Inakua SS ,lile bomba la gesi ni nani mdau Mkuu
walitaka wamuweke nan?

alafu kwanini cia walitibua huo mpango
 
Habari ndefu kdg

Kuna Mama mmoja mtz alikua pale Adis Ababa ofc za AU enzi hizo OAU ,alipelekwa Juba /Sudan ,before kugawanywa kitambo Sana ,ndio aliweka mazingira sawa [ nadhani kuna kilichotokea ]

Inakua SS ,lile bomba la gesi ni nani mdau Mkuu
walitaka kumpa nchi huyo maza?

mafanikio ya kiuchumi mliyopata mpaka sasa ni yap?

huyo maza now yupo wap?
 
Hapana hakutakiwa kupewa ,yy aliratibu kupatikana kwa nchi ya SS ,bado yuko SS

Kiuchumi sijui ,kwani kipindi Sera ya ukombozi kusini mwa jangwa la sahara,kuna faida ya kiuchumi ilipatikana?
kama tz ndio walikuwa master plan mbona kenya ndio kawa kiherehere alafu yeye ndio anaonekana mkombozi
 
Back
Top Bottom